Nimemtimua Nabii aliyekuja kumtembelea Mke wangu

Paragraph ya kwanza umetumia maneno makali sana, lkn chini kuendelea umepiga nyundo mnooo umesamehewa hiyo kwa ukali wa maneno...shida kubwa hatusomi bibilia na kuitafakari....umenyooka na kuja na.mstari....SADAKA NA.MANABII
Ha ha ha! Wanauzi Sana Hawa wa ongo na kufanya Mungu haonekane hafai
 
Kama ni mkristo na umefunzwa maandiko utajua kwanini wakina Elia/Elisha/Yeremia/Daniel na wengine weengi walifanya miujiza na wengine hawakufanya

Huyo pastor na nabii alikuja na Subaru:

Elisha/Petro/Daniel na wengine walikuwa na ndevu tu bila Subaru.
 
Well done, hakuna watu wanagonga wake za watu kama manabii
 
MTU aliyezaliwa kama we we,aliyetoka kwenye uke wa Mwanamke kama wewe atakuombea nini?.
Kama hayo maombi yanafanya Nazi aoembe Mungu ampe maisha yasiyokuwa na kifo.

Mbona Yesu Kristo alizaliwa na kutokea kwenye uke wa mwanamke??

Je unatupanujumbe gani kwenye hilo
 
Mkeo atakuwa anajilaumu kuolewa na kakisi
 
Viongozi wa kidini wanakula sana wake za watu.
Sema mara nyingi ni wanawake wenyewe wanajilengesha.
Ni kweli mimi mwenyewe mchungaji wangu ni mshikaji wangu sana sema ni mtu mzima namuhunganishiaga mademu au nampa namba zao

Utaskia dogo nipe namba ya pisi kali kwenye hizo jumuiya zenu vijana
 


Mtu akikamatika watu wanahangaika kutafuta pesa za matibabu na sio manabii.

Kuwa na Akili hata kidunchu
 
Kuna siku utawatafuta mwenyewe ili wakuombee, wao wamekunguta mavumbi mzigo umebaki kwako
Ni ujinga tu kumwita mtu aje akuombee, Mungu hana ubaguzi anamsikiliza kila mwenye shida.hao watu ni wajanja tu hakuna cha nabii wala mchungaji.
 
Unaona sifa mwenyew, yaani unajiona mwamba, hahahah ipo utawatafuta hao wakat huo utazitamani hizo kelele na mapambio yao, kwani ungewacha wakafanya ibada wakaondoka ungepungukiwa nini?


Ibada wakafanyie kanisani.

Nyumba yangu inamiongozo sio kila mtu anaweza kuja kufanya maombi atakayo.

Wapo watu siwezi waruhusu waombe kwenye nyumba yangu.
Wake wasalimie wapite kushoto.

Mimi sitishwi na wapumbavu Kama wewe, na Maneno ya KIPUUZI. Ati ipo siku,
 
Da! Hongera sana nazani mkanye mkeo asirudi kwenye hayo madhehebu asali dhdhebu mlilofungia ndoa kama hataki mwambie atalaka itamfuata
 
Roman Churches,hakunaga makelele,mzee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…