Kwahiyo tukio walilofanya Hamas October 7 lilikuwa halali.

Kwanini hamtaki kutafuta chanzo cha hii shida yote ni Nani amesababisha?
 
Ukute dogo alikuwa front line....apo apo jamaa wakamnasa,kwanza kavaa boxer ya kijeshi....

Anyway vita haicchagui wapi pa kupiga na nani wa kupigwa
Inawezekana alikuwa agent au ilitokea coincidence tu, vita inamambo mengi, mungu amrehemu
 
Na hawa hapa mabawana zako?
Hao wanafundishwa kujilinda maana wamezungukwa na magaidi wavaa vipedo kazi yanashupaza tu shingo na misemo yao ya kujijaza sumu. Magaidi yauawe popote pale yalipo ili dunia iwe sehemu salama ya kuishi. Jitu linafundishwa kujitoa mhanga hovyo kabisa... Haya na wewe imba takbir ujijaze sumu ulale nayo
 
Kwa hiyo Israel baada ya kuisikiliza redio Clouds wakaona wa release hiyo video?
 
Hamas hawawezi kuwa na majokofu ya kuhifadhi maiti.
Kama huyu alikufa oktoba 7 basi Israel waliiona maiti yake lakini wakaipuuza na kutojali hata kumtambua ni nani na kumuhesabu katika waliouliwa.
Kama hiyo video si mchezo wa kuigiza basi kwa sauti ya mmoja wa watekaji ni kwamba kulikuwa na kurushiana maneno kiasi kwamba mmoja wao alikuwa akiwazuia wenzake.
Kumbuka Israel wanajitapa kuwa wana hisroria ya kuwa na wafuasi Arusha na hata wametengeneza wafuasi wa kutosha maeneo hayo ambao wanajua baadhi ya lafdhi za kiyahudi.
 
Kwahiyo tukio walilofanya Hamas October 7 lilikuwa halali.

Kwanini hamtaki kutafuta chanzo cha hii shida yote ni Nani amesababisha?
Vita ya pale kwanza haina mwanzo ni suala la muda ,kila mtu yupo attention Hamas walishambulia kama wanavyoshambuliwa ila israel alitangaza vita .

Ukifuatilia hao israel wanau wapalestina kutwa sasa unyonge umefika mwisho.
 
Muarabu na mabeberu wakichinjani sisi watz tunatakiwa kushindana kuhesabu mizoga tu ni ujinga muafrica kuwa tetea hao wahuni wa kixungu au waarabu
 
Taarifa nyengine tunasoma kwenye twitter za Israel halfu na sisi tunapata la kusema kuwafikishia watu badala ya kutaka kupewa taarifa kimaandishi.Kwa njia ya kimaandishi huko mbele tunaweza kudai vitu vingi na fidia kutoka kwa serikali ya Israel kwa kuhusika na vifo vya wenzetu.
 
Wale ndugu zake KIpozeo watutafsirie walichokuwa wanaongea.Maana utakutana na Swala tano humu kutwa kushinda kwenye Godawn kila siku wakapewe mabikra na nguvu za kiume za kuwa mbato hao ma bikra.
Nimejikuta na hasira sana na hawa Basi acha niishie hapa
 
Halafu Kuna mtu anakaa anabisha kua UISLAM NA UGAIDI NI PETE MA KIDOLE??.


NDIO MAANA DOLA INAWAPIGA MIAKA YA KUTOSHA GEREZANI.

Israel isirudi nyuma, iwatandike Hawa wajingaa ,wasiwepo tena ukanda wa Gaza .
Kwani hayo ndiyo mafundisho ya uislamu??

Kwani palestina na Israel wanagombea dini?? Watu wanapigania ardhi yao wewe unaleta habari za uislamu na ukristo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…