Nimepata mshtuko mkubwa Ubungo Bus Terminal leo alfajiri!

Kwanza ubungo hayawez kaa mabasi 500-1000 kama ulivoandika mule basi nyingii saaana labda 80.
 
Nimetoka hapo asubuhi pako hivyo sana. Wakati nakaguliwa tiketi mkaguzi, basi na Mimi wote tulikuwa tumesimama kwenye maji na matope
 

Pole kwa mshituko mkuu.

Siku nyingine mpeleke akapande basi Morogoro pale Msamvu Bus Terminal. Ni ya kisasa zaid














 
Next time wapokee wageni wako wewe mwenyewe ili usishtuke wakati wa kuwarudisha.
Karibu Dar es Salaam, jiji la raha na karaha.
 
Ninaamini kwamba chama cha kutetea haki za abiria kimekusikia.
 
Hahaha maskini bibi wa watu hadi hurumaa..... sasa zile mia mbili wanazichaji kwa ajili ya nini au siku hizi wameacha kuchaji??
 
meya wa ubungo boniphace jacob hili linakuhusu.
Wengi walikuwa hawataki kunijibu hili, Asante mkuu. Mimi ni wa mkoani huku, halmashauri za Dar sizijui. Ila huku halmashauri yetu inajipanga kujenga stendi yetu ili kuiongezea mapato halmashauri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…