Nimepata mtoto wa kiume usiku huu, baada ya kuwa kwenye ndoa kwa zaidi ya miaka 7

Nimepata mtoto wa kiume usiku huu, baada ya kuwa kwenye ndoa kwa zaidi ya miaka 7

True yaan chukia nduguzo wote ila sio wazazi wako never usifanya ivo
Hapo kajiona ana akiri sana. Hadi Sasa huyo mke wake kashamuona akiri yake ni mavi ya nyoka tu hamna kitu. Ukosane na wazaze ambao huwezi pata popote pale! Mke hata jioni unapata na anakuzalia Watoto vilevile!!
 
Usipende kuwaeleza watu kitu kinachokupa furaha, au kuwaeleza malengo yako.
Kinachokupa furaha kiwe siri yako na malengo yako acha wayaone yakiwa tayari yametimia vinginevyo watashambulia furaha yako au malengo yako ili yasitimie.

Usirudie.
 
Niko humu muda mrefu saana, najua akili za watu wahumu.

Kuna wengine Wanacomment wakiwa mirembe, kwahiyo Wala hainisumbui mkuu
Mkuu ushauri wote uchukue ila masuala ya kupima DNA ya puuze kabisa utatengeneza tatizo kubwa la kudumu kati yako na mke wako, la kutoaminiana tena upendo utaondoka.
 
Nakushauri upime DNA ili kujihakikishia umiliki wa huyo mgeni mpya aliyewasili hapa duniani leo hii.
Kipimo Cha furaha uliyonayo leo hii itakuwa sawa sawa na kipimo Cha huzuni utakayopata wakati utakapokuja kugundua kwamba kumbe wewe ni baba mlezi tu wa huyo mgeni mpya aliyewasili.

Kwa leo sitaweza kukupongeza kwa ugeni wako huo hadi hapo baadaye nitakapopata majibu ya uhakika ya DNA Test kuhusu huyo mgeni wako.
Oyaa Comment ina like nyingi...inaonyesha Bongo tunapenda uchuroo sana
 
Niko humu muda mrefu saana, najua akili za watu wahumu.

Kuna wengine Wanacomment wakiwa mirembe, kwahiyo Wala hainisumbui mkuu
Mkuu ushauri wote uchukue ila masuala ya kupima DNA ya puuze kabisa utatengeneza tatizo kubwa la kudumu kati yako na mke wako, la kutoaminiana tena upendo utaondoka.
 

Kuna msemo wa kiarabu usemao "inna baada Sabri, bushraa" yaani hakika Kila baada ya subra ni habari njema.

Hakika ndo ninavoweza kusema baada ya kuishi na mke wangu Kwa zaidi ya miaka 7 bila mtoto.

Hatimae Leo tarehe 27.07.2024 naandika historia mpya na njema katika mgongo wa ardhi hii ya dunia kwakuwa na mtoto wakiume.

Haikuwa rahisi ila kwakuwa nilimwachia mungu, naamin Leo ameamua kunijibu.

Hakika subra ni dawa na ponyo tosha Kwa wanaadamu.

Baada ya miaka mingi ya majuto na machozi Kwa mke wangu hatimae Leo amemuona mwanae mwenyewe.

Nashukuru mungu nami alinipa subra na uvumilivu wakuamini kuwa ipo siku tutapata mtoto.

Asikuambie mtu ni mtihani mkubwa saana kuwa kwenye ndoa na ukakosa mtoto Kwa muda mrefu.

Mungu alinipa maneno ya kumfariji Kila nilipomuona mke wangu analia.

Hakika nilikuwa mnyonge saana, ila usiku wa Leo mwanangu amenipa nguvu kubwa saana.

Amefuta Kila aina ya huzuni na kufanya nisahau Kila uchungu niliowahi kuwa nao.

Mungu nitunzie mwanangu, nitafanya Kila niwezalo huyu mtoto aishi Kwa furaha.

Hata kama nikiondoka Leo katika dunia hii najua kuwa nimeacha mtoto.

Tafadhali, nakuomba mungu usinicheleweshee na ndugu zake.

Mungu wape subra na uwafanyie wepesi wale wote wanaopitia katika mtihani huu, hakika wewe ndo mjuzi wa Kila kitu. Kwako halicheleweshwi jambo isipokuwa pale utakapo.

Hakika wamesubiri basi wape shufaa nao waone kizazi Chao.

Ameeeen!​
Nafahamu furaha uliyo nayo baada ya kupitia machungu mengi. Natambua hali inavyokuwa kukaa muda mrefu bila kupata mtoto hasa hasa kama kunakuwa na changamoto za uzazi kati ya wawili

Hata hivyo, nakushauri umshukuru Mungu kwa Imani yako. Si kila mtu anafurahia furaha ya mwingine. Majukwaa kama haya ya mitandao kukuondolea furaha uliyonayo na kukubadilishia mwelekeo wa kuwaza ni sekunde tu

Kwa vile umeamua kushiriki nasi furaha yako humu, basi jiandae pia kupokea makwazo , kejeli na kila aina ya maneno ambayo pengine yanaweza kuwa ya kuvunja moyo

Zaidi tu, nikupongeze na nakuombea kwa Mungu amtunze mwanao na adumishe furaha yenu. Umenikumbusha furaha niliyopata siku nilipopata mwanangu wa kwanza! Ubarikiwe sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najua mkeo amepitia mengi Sana hasa kutoka kwa ndugu zako mwenyewe.
Mimi Sasa hivi ndugu yangu ni mke wangu na watoto nilio wazaa mwenyewe. Full stop.
Mtu unamuona ndugu wa damu kumbe unafiki umejaa moyoni mwake, ukimnunulia mkeo gari roho zinawauma kisa walitaka uwanunulie wao. Hata MTU kuja kwangu sitaki. Tutakutana kwenye misiba.

Bro mpe pole Shem kwa aliyopitia maana ameitwa kila jina baya. Hao wanafiki wakija kumuona waambie, amepumzika njooni siku nyingine.
Ndugu zako ni watoto wako tu.., sio mke..
 
Anyway nimeshashuhudia wanawake wawili wakibebeshwa mimba na wanaume tofauti wasio na waume zao kwenye ndoa, mmojawapo kati ya hao ana mtoto wangu nilifanya kumsaidia baada ya kuniambia changamoto alizokuwa akipitia kwenye ndoa yake nikaona hili jukumu nilibebe tu.

Tumekubaliana na yule mwanamke akitaka mtoto wa pili arudi tena kwangu, ili mtoto wa pili awe na ufanano na huyu wa kwanza, sio akazae hovyo leo baba wa mbagala kesho wa ilala, haitakuwa vizuri.

By the way, mwanamke kuzaa nje ya ndoa hapa mjini ni kawaida sana, wengi hufanya hivyo iwe mume wake ana tatizo la uzazi au hana, tusidhani mababa walezi wote ni wale wenye matatizo ya uzazi, hata marijali pia tunaweza geuzwa mababa walezi, ni jambo la sekunde tu, wanawake ndio wanajua kila kitu, sisi ni vipofu tu.

Hii dunia tuiache kama ilivyo, pamoja na yote hapo juu mtoto wa kiume uliyempata anaweza kuwa ni wako 100%, ishi kwa amani na mkeo hasa kwa wakti huu akiwa kwenye uzazi.
Daah, utakufa vibaya wewe, usifanye hivyo unless una uhakika mume wake ana matatizo.., ila kama ana mnywea P2 sio poa..
 
Back
Top Bottom