Nimepata mtoto wa kiume usiku huu, baada ya kuwa kwenye ndoa kwa zaidi ya miaka 7

Nimepata mtoto wa kiume usiku huu, baada ya kuwa kwenye ndoa kwa zaidi ya miaka 7

Kwa mfano Mimi watoto wangu yaan nimejizaa ukimwangalia ni Kama imepigwa photocopy of mine yaan ni photocopy hata hauulizi mara mbili MBILI...

Dunia Ina maajabu YAKE
 
Nakushauri upime DNA ili kujihakikishia umiliki wa huyo mgeni mpya aliyewasili hapa duniani leo hii.
Kipimo Cha furaha uliyonayo leo hii itakuwa sawa sawa na kipimo Cha huzuni utakayopata wakati utakapokuja kugundua kwamba kumbe wewe ni baba mlezi tu wa huyo mgeni mpya aliyewasili.

Kwa leo sitaweza kukupongeza kwa ugeni wako huo hadi hapo baadaye nitakapopata majibu ya uhakika ya DNA Test kuhusu huyo mgeni wako.
Yaweza kua wa kwake pia
Maana kila mtu ana siku yake ya kupata mtoto
Yupo rafiki wa dada angu alikaa kwenye ndoa miaka 15 hana mtoto kapata mtoto miaka mitano iliyopita tena copy ya baba akabeba tena fasta wote sura za baba mtu
Mungu tu sio kila mtu ana urahisi wa kupata mimba na sio kila mwanamke msaliti
 
Kweli dunia vurugu. Wewe unafurahia wakati hapa mimi nimevurugwwa wife hazioni siku zake week ya pili sasa.
Nahis kuvurugwa kwel kwel yan
Shuda ni kwamba kwa umri wangu wa 35 years sasa nilisha plan sitaki tena mtoto.
NB
nasisitiza ni wife, mke wangu wa miaka 14 sasa na tuna watoto wa 4.
Nimecheka ujue[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Kwenye ndoa ndo wanaongoza kutoa mimba eti
 
Kuna mmoja alikaaa miaka mitano ikabid aje nimpe mbegu tu cha kuzingatia usimwamin sana mwanamke
 
Wanaume wa jf
Mnashangaza mnoo
Mnadhani kila mwanaume kaoa malaya ?yes malaya ?kuna watu wameoa watoto wa kike wenye akili waliotoka kwenye vinena na malezi ya maadili
Hawajawahi kusaliti wala kuleta watoto wa nje ya ndoa
Msitake kusema kila aliyechelewa kuzaa baasi kaletewa mtoto sio wake

Kama hao wa kwenu makahaba ni hao sio kila mwanamke ana hizo pigo
Acheni upuuzi wenu kujifanya nyie ndo mnawajua sanaaa wanawake
Wanawake anawajua Aliyewaumba tu wengine acheni perete perete

Wapo mabinti na wanawake waaminifu msidharau taasisi tukufu ya ndoa kiasi hicho jamani
Kuna wanawake wavumilivu mnoo tu ktk ndoa zao
Muacheni kaka wa watu afurahi neema na baraka za Mungu alizoletewa
 
Yaweza kua wa kwake pia
Maana kila mtu ana siku yake ya kupata mtoto
Yupo rafiki wa dada angu alikaa kwenye ndoa miaka 15 hana mtoto kapata mtoto miaka mitano iliyopita tena copy ya baba akabeba tena fasta wote sura za baba mtu
Mungu tu sio kila mtu ana urahisi wa kupata mimba na sio kila mwanamke msaliti
Kiongozi hakuna baba halisi anaweza kuwa na hiyo akili walionao Hawa wajinga.

Sisemi kuwa hayatokei, yanaweza kutokea ila inategemea na mazingira.

Binafsi Wala sina shaka kabisa kuhusu uzao wangu, mwenye mashaka basi ujue anajua mashaka yake yalipoanzia.

Mim binafsi Nina alama katika uso wangu na hiyo alama nimeikuta Kwa mwanangu nilipoenda kumwona.

Sasa hapo DNA yanin!? Kama sio upuuzi ni Nini!
 

Kuna msemo wa kiarabu usemao "inna baada Sabri, bushraa" yaani hakika Kila baada ya subra ni habari njema.

Hakika ndo ninavoweza kusema baada ya kuishi na mke wangu Kwa zaidi ya miaka 7 bila mtoto.

Hatimae Leo tarehe 27.07.2024 naandika historia mpya na njema katika mgongo wa ardhi hii ya dunia kwakuwa na mtoto wakiume.

Haikuwa rahisi ila kwakuwa nilimwachia mungu, naamin Leo ameamua kunijibu.

Hakika subra ni dawa na ponyo tosha Kwa wanaadamu.

Baada ya miaka mingi ya majuto na machozi Kwa mke wangu hatimae Leo amemuona mwanae mwenyewe.

Nashukuru mungu nami alinipa subra na uvumilivu wakuamini kuwa ipo siku tutapata mtoto.

Asikuambie mtu ni mtihani mkubwa saana kuwa kwenye ndoa na ukakosa mtoto Kwa muda mrefu.

Mungu alinipa maneno ya kumfariji Kila nilipomuona mke wangu analia.

Hakika nilikuwa mnyonge saana, ila usiku wa Leo mwanangu amenipa nguvu kubwa saana.

Amefuta Kila aina ya huzuni na kufanya nisahau Kila uchungu niliowahi kuwa nao.

Mungu nitunzie mwanangu, nitafanya Kila niwezalo huyu mtoto aishi Kwa furaha.

Hata kama nikiondoka Leo katika dunia hii najua kuwa nimeacha mtoto.

Tafadhali, nakuomba mungu usinicheleweshee na ndugu zake.

Mungu wape subra na uwafanyie wepesi wale wote wanaopitia katika mtihani huu, hakika wewe ndo mjuzi wa Kila kitu. Kwako halicheleweshwi jambo isipokuwa pale utakapo.

Hakika wamesubiri basi wape shufaa nao waone kizazi Chao.

Ameeeen!​
ACHA UPUUZI MKUU, HEBU NENDA KAPINE DNA HUYO MTOTO
 
ACHA UPUUZI MKUU, HEBU NENDA KAPINE DNA HUYO MTOTO
Na ndo maana wewe unatumia ubia wa mama Ako?? Nilikuwa nashangaa kwanini unaitwa George Thelesia.

Kumbe baba ako alistuka mapema, wakaamua waweke jina la mam ako
 
Ila watu wana negativity sijui ndio njaa, husuda, au ni umasikini wa fikra..... too much hate...
Sio tu negativity mkuu Wana njaa pia, we mtu tangia juzi analamba chumvi tu, unadhani huyu mtu akiingia Jf atacomment Nini.
 
Kweli dunia vurugu. Wewe unafurahia wakati hapa mimi nimevurugwwa wife hazioni siku zake week ya pili sasa.
Nahis kuvurugwa kwel kwel yan
Shuda ni kwamba kwa umri wangu wa 35 years sasa nilisha plan sitaki tena mtoto.
NB
nasisitiza ni wife, mke wangu wa miaka 14 sasa na tuna watoto wa 4.
Sasa si umeshasema una watoto wa 4 mkuu? Mi ndo naanza huenda nikifisha hiyo idadi nami nitavurugwa
 
Bora ukwel unao huzunisha kuliko kujifurahisha kwa uongo. Hii hua ni suala la kitambo kifupi.

Shida hajaeleza tatizo hasa lilikuaje before walitumia njia gani kukabiliana nalo, nani kati yao alikua na changamoto na changamoto hiyo ilikua ipi?
Wakachukua hatua gani mpaka kufikia hitimisho la matokeo ya mimba.

Anaweza akaona sio muhim ila alipaswa kuandika humu maana angesaidia wengi ambao mpaka sasa huenda wana shida kama aliokua nayo yeye
Mkuu,
Mimi akili yangu ilikuwa nikuandika matokeo ya ushindi wangu ambao mungu ameamua kunitunuku.

Kama Kuna mtu anapitia kwenye hii Hali na amekaa muda mrefu na anataka kujua basi atanitafuta na kuniulizia.

Lakini mim nimeamua kuyaandika haya.
 

Kuna msemo wa kiarabu usemao "inna baada Sabri, bushraa" yaani hakika Kila baada ya subra ni habari njema.

Hakika ndo ninavoweza kusema baada ya kuishi na mke wangu Kwa zaidi ya miaka 7 bila mtoto.

Hatimae Leo tarehe 27.07.2024 naandika historia mpya na njema katika mgongo wa ardhi hii ya dunia kwakuwa na mtoto wakiume.

Haikuwa rahisi ila kwakuwa nilimwachia mungu, naamin Leo ameamua kunijibu.

Hakika subra ni dawa na ponyo tosha Kwa wanaadamu.

Baada ya miaka mingi ya majuto na machozi Kwa mke wangu hatimae Leo amemuona mwanae mwenyewe.

Nashukuru mungu nami alinipa subra na uvumilivu wakuamini kuwa ipo siku tutapata mtoto.

Asikuambie mtu ni mtihani mkubwa saana kuwa kwenye ndoa na ukakosa mtoto Kwa muda mrefu.

Mungu alinipa maneno ya kumfariji Kila nilipomuona mke wangu analia.

Hakika nilikuwa mnyonge saana, ila usiku wa Leo mwanangu amenipa nguvu kubwa saana.

Amefuta Kila aina ya huzuni na kufanya nisahau Kila uchungu niliowahi kuwa nao.

Mungu nitunzie mwanangu, nitafanya Kila niwezalo huyu mtoto aishi Kwa furaha.

Hata kama nikiondoka Leo katika dunia hii najua kuwa nimeacha mtoto.

Tafadhali, nakuomba mungu usinicheleweshee na ndugu zake.

Mungu wape subra na uwafanyie wepesi wale wote wanaopitia katika mtihani huu, hakika wewe ndo mjuzi wa Kila kitu. Kwako halicheleweshwi jambo isipokuwa pale utakapo.

Hakika wamesubiri basi wape shufaa nao waone kizazi Chao.

Ameeeen!​
Hongera sana

Kuna msemo wa kiarabu usemao "inna baada Sabri, bushraa" yaani hakika Kila baada ya subra ni habari njema.

Hakika ndo ninavoweza kusema baada ya kuishi na mke wangu Kwa zaidi ya miaka 7 bila mtoto.

Hatimae Leo tarehe 27.07.2024 naandika historia mpya na njema katika mgongo wa ardhi hii ya dunia kwakuwa na mtoto wakiume.

Haikuwa rahisi ila kwakuwa nilimwachia mungu, naamin Leo ameamua kunijibu.

Hakika subra ni dawa na ponyo tosha Kwa wanaadamu.

Baada ya miaka mingi ya majuto na machozi Kwa mke wangu hatimae Leo amemuona mwanae mwenyewe.

Nashukuru mungu nami alinipa subra na uvumilivu wakuamini kuwa ipo siku tutapata mtoto.

Asikuambie mtu ni mtihani mkubwa saana kuwa kwenye ndoa na ukakosa mtoto Kwa muda mrefu.

Mungu alinipa maneno ya kumfariji Kila nilipomuona mke wangu analia.

Hakika nilikuwa mnyonge saana, ila usiku wa Leo mwanangu amenipa nguvu kubwa saana.

Amefuta Kila aina ya huzuni na kufanya nisahau Kila uchungu niliowahi kuwa nao.

Mungu nitunzie mwanangu, nitafanya Kila niwezalo huyu mtoto aishi Kwa furaha.

Hata kama nikiondoka Leo katika dunia hii najua kuwa nimeacha mtoto.

Tafadhali, nakuomba mungu usinicheleweshee na ndugu zake.

Mungu wape subra na uwafanyie wepesi wale wote wanaopitia katika mtihani huu, hakika wewe ndo mjuzi wa Kila kitu. Kwako halicheleweshwi jambo isipokuwa pale utakapo.

Hakika wamesubiri basi wape shufaa nao waone kizazi Chao.

Ameeeen!​
Hongera sana
 
Back
Top Bottom