Hapo poa inawezekana wamemuwahi lakini lazima wataibuka watoto wa kijeshi kama.baba yao,mara nyingi watoto kama hao biashara inayowafaa ni majumba ya kupangisha,shida ukiwa nacho hukumbuki aina ya uwekezaji.Lakini lodge zikiwa vimiji kama kasumulu,Tunduma,Namanga ,buza huko,Tandale walahi hulali njaa lodge za DSM hulali njaaVita ya mali lazima na watatangulizana wengi na biashara zote zitakufa.!
Wafrika hatutunzagi kumbukumbu kwa maandishi ndio maana imekuwa fupi hata hivyo wamejitahidi kuandika .Jina Kamili: Solomoni Sauli Mwalabhila
Kuzaliwa: August 01, 1978
Mahali: Mbeya
Elimu
Elimu ya Msingi: Shule ya Msingi Chunya kati(1988-1995)
Kazi
Alijiajiri kuanzia mwaka 1997, alianza kujishughulisha na biashara ya madini na uchimbaji na mabasi makubwa yaendayo mikoani.
Familia
Alifanikiwa kuoa wake watatu na kupata watoto 16, wa kike 7 na kiume 9.
Kufariki: August 04, 2024-Ajali ya gari
Pia, soma=> Mkurugenzi wa Kampuni ya Mabasi ya Sauli, Solomoni Mwalabhila afariki dunia
Umetag Kama tajiri wa kike au?
Washamzika fasterKwa hiyo Familia, ni wazi vita ya mali imemuondoa Baba wa watu.
Polee yake sanaa
😀😀😀😀😀😀😀Simple tu
Alizaliwa.....1
Akafanya biashara na kuwa tajir......2
Akaoa na kuzalisha......3
Akafa kwa ajari....4
Sio wengine hawa wasomi uchwaraaa misiba yao inamambo mengi mara alisoma veta, akatoka veta akarisit akaenda chuo,huko chuo akachanguliwa kuwa mwenyekit wa chama,akarudi akawa muasibu wa benk,akachaguriwa kuwa msaidizi wa kamanda, marehem amecha nyumba na gwanda pamoja na sare za chama......
Mambo mengi gani?Dadeki,ujue kuchimba madini Kuna mambo kibao,huyo alianza.pamoja na dogo langu mmoja Yuko huko Chunya mawe kama yote ni mambo mengi,kila mtu ashinde mechi zake. Mambo ya ngoswe mwachie ngoswe mwenyewe.
Kila mwanamke anakimbilia kukuzalia haraka haraka ili ajihakikishie mali.Wake wa3, watoto 16.. Legend kabisa.
Ukiwa na hela kinachofata ni kupiga MKOJO tu, duniani hakuna starehe kubwa zaidi ya kupiga MUCHINGA.
Huo ni mpango wa kishamba unaoaminiwa na wajinga tu.Na ndio mpango wa Mungu!!"zaeni mkaongezeke muijaze Dunia,"huwezi ijaza Kwa mke mmoja!!
Wake 3 na watoto 16...Iyo Ligi itakayopigwa ya kutaka mali sio ya Nchi hii
Wacha we!!Wake wa3, watoto 16.. Legend kabisa.
Ukiwa na hela kinachofata ni kupiga MKOJO tu, duniani hakuna starehe kubwa zaidi ya kupiga MUCHINGA.
Tulia weweWacha we!!
Nyambafu sana......kuzaana kuna shida gani, Haya ndo yanajiita masomi eti, ndiyo kazaa sana wewe unamzidi nn uliye na mtoto mmoja.....hvi unajua ukubwa wa Tanzania wewe mpaka uone kuzaana si jambo sahihiWatoto 16 na amezaliwa mwaka 1978
Waafrika tunapenda kuzaana sana
Natural ecosystem ita balance yenyewe kwani kuna kiumbe anaeishi milele!!?Huo ni mpango wa kishamba unaoaminiwa na wajinga tu.
Kwa hiyo mkishaijaza dunia ikajaa, atashusha tena andiko jingine kwamba sasa acheni kuzaa dunia imejaa?
😂😁Msingi KiunoWatoto 16 na amezaliwa mwaka 1978
Waafrika tunapenda kuzaana sana
HaaWasifu wa kibabe sana huo.
Kuna shughuli ndefu sana hapo ni kuwanea huruma hao watoto.Mwanaume akiwa na pesa mwanamke hata ukiolewa mke wa 7 haina shida.!!
Hapo sasa kitimtim km hajaandika mirathi kazi ipo!!
Wataondoka watu wengi kumfata marehemu alikoenda.!