Nimependa wasifu wa Sauli, umeenda moja kwa moja kwenye maisha

𝐸𝑒𝑒𝑒𝑒𝑒
 
Bahati mbaya sana mtu akifa huondoka na habari zake...

Wanaorefusha wasifu labda hufanya hivyo kwa nia ya kujifariji, kutoa funzo kwa waliobaki hai n.k
 
Wasifu Mfupi Pesa Nyingi.
 
Watoto 16 na amezaliwa mwaka 1978
Waafrika tunapenda kuzaana sana
Umasikini umekufanya uwatii watu weupe na kutudharau SISI WATU WEUSI.
Yaani UKWASI huo woooote awe na watoto watatu eti kisa tu akufurahishe wewe na hao watu weupe?

Mapori yapo mengi ya kuishi hata kama utashindwa kuwasomesha kwenye BURE ELIMU huko?
 
Viongozi wakitafakari haya ndio sababu ya kuchukua mpunga mrefu asiiache aibu
 
Nyambafu sana......kuzaana kuna shida gani, Haya ndo yanajiita masomi eti, ndiyo kazaa sana wewe unamzidi nn uliye na mtoto mmoja.....hvi unajua ukubwa wa Tanzania wewe mpaka uone kuzaana si jambo sahihi
Ukubwa wa Tanzania unakuhusuje kapuku ambaye huna hata hatua mbili za kipande cha ardhi??
 
Dunia ina watu bilioni 8, hao ni wengi sana,.aging population ni propaganda za watu wanaotafuta cheap labour.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…