Nimekosea kujaribu ku reason na mjinga.Wewe siyo muislamu.
Nimeuliza swali kwa waislamu!
Wewe siyo Muislamu!Nimekosea kujaribu ku reason na mjinga.
Talk sense to a fool and he will call you foolish.
Ni demokrasia tu lakini huna haki ya kuandika chochote hapa JF.
Tatizo la JF hata wajinga kama wewe wanaruhusiwa kujieleza.
Nimemshangaa Mufti Abubakar Zuberi kwa maneno yake baada ya kukutana na Mhe Rais kuhusu Mhe Freeman Mbowe. Yaani kiongozi mkubwa kama mufti unaongea maneno ya uoga uoga na kujipendekeza eti Rais awasamehe kina Mbowe eti wakirudia tena wachukuliwe hatua.
Yaani kiongozi anayewaza adhabu tu wakati wote badala ya huruma na misingi ya tatizo ni mbaya sana. Huyu mufti ana roho mbaya sana pamoja na tunajua ndiyo ni kada wa CCM. Anajivunija tu heshima sana, sijui hajui nini aongee mobele ya macho ya umma. Au yawezekana haya mambo ya kimahakama hajui kitu na hata kesi zinazosemwa hazijui na hana uelewa nazo. Hivi hua hawangalii kina Dr Shoo wanaongeaje?
Unaambiwa mtu ameshtakiwa makosa yote ni kesi ya Kubumba wewe unaropoka tu, hujui kulimbikiza mtu kesi ni dhambi? Asemehewe amekosea kipi wakati hata hukumu bado? Wasubiri Mbowe afungwe jela kwa hukumu ndiyo waniombee msamaha.
Kiongozi mwenye busara angeomba busara zitumike katika kufungua na kuendesha kesi, maana yake kesi zisiendeshwe kisiasa. Eti mtu ananyanyuka bila hata haya wasamehewe, wamekosa nini?
Yaani yeye yupo kimaslahi tu hata delegations za nafasi yake hazijui. Mtu unazungumzia kitu hujui msingi wake wala outcome ya utakachosema unaropoka tu.
Kwakweli Waislam kwa huyu kiongozi tumepigwa. Hakuna kiongozi hapa na huu ndio ukweli. Ifike mahali uchaguaji viongozi wa nafasi uangalie wenye elimu zote, wenye experience kwenye mambo yote.
Siye hawa walimu wa madrassa ambao mtu anapewa nafasi hajui azungumze nini anajikuta anaropoka tu.
Shelkh Ponda anatakiwa awe MuftiNimemshangaa Mufti Abubakar Zuberi kwa maneno yake baada ya kukutana na Mhe Rais kuhusu Mhe Freeman Mbowe. Yaani kiongozi mkubwa kama mufti unaongea maneno ya uoga uoga na kujipendekeza eti Rais awasamehe kina Mbowe eti wakirudia tena wachukuliwe hatua.
Yaani kiongozi anayewaza adhabu tu wakati wote badala ya huruma na misingi ya tatizo ni mbaya sana. Huyu mufti ana roho mbaya sana pamoja na tunajua ndiyo ni kada wa CCM. Anajivunija tu heshima sana, sijui hajui nini aongee mobele ya macho ya umma. Au yawezekana haya mambo ya kimahakama hajui kitu na hata kesi zinazosemwa hazijui na hana uelewa nazo. Hivi hua hawangalii kina Dr Shoo wanaongeaje?
Unaambiwa mtu ameshtakiwa makosa yote ni kesi ya Kubumba wewe unaropoka tu, hujui kulimbikiza mtu kesi ni dhambi? Asemehewe amekosea kipi wakati hata hukumu bado? Wasubiri Mbowe afungwe jela kwa hukumu ndiyo waniombee msamaha.
Kiongozi mwenye busara angeomba busara zitumike katika kufungua na kuendesha kesi, maana yake kesi zisiendeshwe kisiasa. Eti mtu ananyanyuka bila hata haya wasamehewe, wamekosa nini?
Yaani yeye yupo kimaslahi tu hata delegations za nafasi yake hazijui. Mtu unazungumzia kitu hujui msingi wake wala outcome ya utakachosema unaropoka tu.
Kwakweli Waislam kwa huyu kiongozi tumepigwa. Hakuna kiongozi hapa na huu ndio ukweli. Ifike mahali uchaguaji viongozi wa nafasi uangalie wenye elimu zote, wenye experience kwenye mambo yote.
Siye hawa walimu wa madrassa ambao mtu anapewa nafasi hajui azungumze nini anajikuta anaropoka tu.
GoodUnaambiwa mtu ameshtakiwa makosa yote ni kesi ya Kubumba wewe unaropoka tuu, hujui kulimbikiza mtu kesi ni dhambi? Asemehewe amekosea kipi wakati hata hukumu bado? Wasubiri Mbowe afungwe jela kwa hukumu ndiyo waniombee msamaha.
Kiongozi mwenye busara angeomba busara zitumike katika kufungua na kuendesha kesi, maana yake kesi zisiendeshwe kisiasa. Eti mtu ananyanyuka bila hata haya wasamehewe, wamekosa nini?[emoji1545][emoji1545][emoji1534][emoji1533]
Kwani elimu ya mufti wa Tanzania ni kiwango gani?Nimemshangaa Mufti Abubakar Zuberi kwa maneno yake baada ya kukutana na Mhe Rais kuhusu Mhe Freeman Mbowe. Yaani kiongozi mkubwa kama mufti unaongea maneno ya uoga uoga na kujipendekeza eti Rais awasamehe kina Mbowe eti wakirudia tena wachukuliwe hatua.
Yaani kiongozi anayewaza adhabu tu wakati wote badala ya huruma na misingi ya tatizo ni mbaya sana. Huyu mufti ana roho mbaya sana pamoja na tunajua ndiyo ni kada wa CCM. Anajivunija tu heshima sana, sijui hajui nini aongee mobele ya macho ya umma. Au yawezekana haya mambo ya kimahakama hajui kitu na hata kesi zinazosemwa hazijui na hana uelewa nazo. Hivi hua hawangalii kina Dr Shoo wanaongeaje?
Unaambiwa mtu ameshtakiwa makosa yote ni kesi ya Kubumba wewe unaropoka tu, hujui kulimbikiza mtu kesi ni dhambi? Asemehewe amekosea kipi wakati hata hukumu bado? Wasubiri Mbowe afungwe jela kwa hukumu ndiyo waniombee msamaha.
Kiongozi mwenye busara angeomba busara zitumike katika kufungua na kuendesha kesi, maana yake kesi zisiendeshwe kisiasa. Eti mtu ananyanyuka bila hata haya wasamehewe, wamekosa nini?
Yaani yeye yupo kimaslahi tu hata delegations za nafasi yake hazijui. Mtu unazungumzia kitu hujui msingi wake wala outcome ya utakachosema unaropoka tu.
Kwakweli Waislam kwa huyu kiongozi tumepigwa. Hakuna kiongozi hapa na huu ndio ukweli. Ifike mahali uchaguaji viongozi wa nafasi uangalie wenye elimu zote, wenye experience kwenye mambo yote.
Siye hawa walimu wa madrassa ambao mtu anapewa nafasi hajui azungumze nini anajikuta anaropoka tu.
Wenyewe wanasema "kuhifadhi Koran"Madrasa wanafundishwa au wanakaririshwa?
Mkuu unamkosea adabu kada mwenzio ujueFaizaFoxy ni bibi kizee.
Ujanani kagonga sana kitimoto kwa sasa ni kibogoyo!
Afadhali hao wanaohifadhi.Nyie hamruhusiwi hata kuisoma hiyo Biblia.Wenyewe wanasema "kuhifadhi Koran"
kumbe upo mamaUmejitahidi na umefanya kila njia ku "provoke" Waislam, wala huna haja ya kuuficha ujinga wako, upo wazi kabisa, kote kote, kuanzia Sunday School mpaka Kinywani mwako. Kuwa mkweli wa nafsi yako tu, tatizo lako sio Mufti, tatizo lako ni Samia Suluhu. Unaona donge mama wa Kiislaam leo hii kuwa ndio kashika turufu zote. Hilo la Mufti lilihusu nini "madrasa"? Fumbo mfumbie mjinga mwenzio.
Kumbuka tu, elimu ya madrasa haifundishi ukipigwa la kulia ugeuze na la kushoto. Elimu ya madrasa inafundisha kisasi ni haki. Umekuwapweza kujipapalia mkaa mwenyewe. Wewe kamaunatafita Waislam, walahatupo mbali, wala usipate shida za sunday school. Wanafunzi wa madrasa tupo hapa, kinaga ubaga.
Wewe huna elimu ya kushindana hata na mtoto wa mwaka wa kwanza wa madrasa. Unafundishwa nini Sunday School zaidi ya kila siku tunasikia mkilawitiana tu na mapadri na maaskofu, ndio maana hata hapa umeandika ushoga wako.
Ungejua maana ya neno "madrasa" usingeandika utumbo. Madrasa, Kiswahili chake ni madarasa.
Elimu iliyotoka huko ndio mpaka wewe leo unazo "alphabet" ambalo ni Alif Be Te.
Ficha upumbavu wako usifiche hekima zako - courtesy - JF Founder.
Punguani wahed.
Prof Koboko,
Umeandika mambo ya msingi kuhusu Mufti wa Tanzania ambayo ni kero hata kwa Waislamu wenyewe
Lakini ungeweza kufanya hivyo bila kutoa kashfa kwa wanaopata elimu ya Madrasa as if elimu hiyo ndio imemuelekeza Mufti Zuberi kusema hayo aliyoyasema
Inamaana wote waliopata elimu ya secular hawaungi mkono kesi ya Mbowe? Au wote waliosoma Madrasa wanaunga mkono uonevu dhidi ya Mbowe au mtu mwingine awaye yeyote anae onewa?
Mbona ulishafanikiwa kujenga hoja yako vizuri tu na imeeleweka? Hukua na haja, hoja wala sababu ya kuumiza hisia za watu wa imani nyingine ili kusema uliyoyasema, unless ulikusudia pia kutoa kashfa hiyo dhidi ya elimu itolewayo Madrasa.
Mshambulie aliyefanya kosa bila kuhusisha imani yake. Mfano makosa anayofanya Kadinali Pengo ukihusisha na Elimu ya Theolojia aliyoipata nadhani utakua unawakosea Wakatoliki wengine
Tafadhali, tuwe sensitive, responsible and considerate kwenye kila tunalosema au tunalo andika
Angalia coment ya sesten zakazaka hata mtoa maada akiisoma atajiona kaachwa uchi na anaweza kufuta andiko lake akaja na maada mpya kurekebisha alipo kosea ila wewe unahamisha mjadala na kuvuruga kuvuraga kabisa Hongera sana zakazaka. Prof koboko kwenye kuandika au kuongea unaweza ukapoteza maana ya kila kitu ulichokusudia kwa kuweka neno moja tu. Kuna watu hawana elimu ila wana ushauri wa kiwango cha juu kuna watu wana elimu ya mdrasa ila wana upeo wa kiwango cha juu and the vise vesa is true kuna ma profesor ila upeo zero na wengi tumewashuhudia. Heshim elimu za watu heshimu upeo dini za watu.Umejitahidi na umefanya kila njia ku "provoke" Waislam, wala huna haja ya kuuficha ujinga wako, upo wazi kabisa, kote kote, kuanzia Sunday School mpaka Kinywani mwako. Kuwa mkweli wa nafsi yako tu, tatizo lako sio Mufti, tatizo lako ni Samia Suluhu. Unaona donge mama wa Kiislaam leo hii kuwa ndio kashika turufu zote. Hilo la Mufti lilihusu nini "madrasa"? Fumbo mfumbie mjinga mwenzio.
Kumbuka tu, elimu ya madrasa haifundishi ukipigwa la kulia ugeuze na la kushoto. Elimu ya madrasa inafundisha kisasi ni haki. Umekuwapweza kujipapalia mkaa mwenyewe. Wewe kamaunatafita Waislam, walahatupo mbali, wala usipate shida za sunday school. Wanafunzi wa madrasa tupo hapa, kinaga ubaga.
Wewe huna elimu ya kushindana hata na mtoto wa mwaka wa kwanza wa madrasa. Unafundishwa nini Sunday School zaidi ya kila siku tunasikia mkilawitiana tu na mapadri na maaskofu, ndio maana hata hapa umeandika ushoga wako.
Ungejua maana ya neno "madrasa" usingeandika utumbo. Madrasa, Kiswahili chake ni madarasa.
Elimu iliyotoka huko ndio mpaka wewe leo unazo "alphabet" ambalo ni Alif Be Te.
Ficha upumbavu wako usifiche hekima zako - courtesy - JF Founder.
Punguani wahed.
Big up sana mkuu hii shule Ulio itoa wasipo aknowledge basi tutakua na shida vichwani mwetu. Wengi hawawezi kujenga hoja, hayo maneno aliyoyaweka yameharibu uzi wake kabisa.Prof Koboko,
Umeandika mambo ya msingi kuhusu Mufti wa Tanzania ambayo ni kero hata kwa Waislamu wenyewe
Lakini ungeweza kufanya hivyo bila kutoa kashfa kwa wanaopata elimu ya Madrasa as if elimu hiyo ndio imemuelekeza Mufti Zuberi kusema hayo aliyoyasema
Inamaana wote waliopata elimu ya secular hawaungi mkono kesi ya Mbowe? Au wote waliosoma Madrasa wanaunga mkono uonevu dhidi ya Mbowe au mtu mwingine awaye yeyote anae onewa?
Mbona ulishafanikiwa kujenga hoja yako vizuri tu na imeeleweka? Hukua na haja, hoja wala sababu ya kuumiza hisia za watu wa imani nyingine ili kusema uliyoyasema, unless ulikusudia pia kutoa kashfa hiyo dhidi ya elimu itolewayo Madrasa.
Mshambulie aliyefanya kosa bila kuhusisha imani yake. Mfano makosa anayofanya Kadinali Pengo ukihusisha na Elimu ya Theolojia aliyoipata nadhani utakua unawakosea Wakatoliki wengine
Tafadhali, tuwe sensitive, responsible and considerate kwenye kila tunalosema au tunalo andika
Kuwa na kesi ya kujibu, hakuna maana kwamba tayari Mbowe amehukumiwa kwa Ugaidi! Unaposema ukweli huo uingie kwenye vichwa vya CHADEMA, unataka wana CHADEMA Wewe wapumbavu kama Wewe, usiye jua kukutwa na kesi ya kujibu na kukutwa na hatia?! Kwa taarifa yako, Mandela alihukumiwa maisha gerezani na alitumikia miaka 27, kwa kesi ya mchongo! Hata Mbowe akifungwa au akiuwawa, haimaanishi kwamba amekuwa gaidi!Prof Koboko hakuandika lolote la msingi dhidi ya Mufti. Mbowe ana kesi ya kujibu, mahakama imeshaamua, kwa hiyo kusema ni kesi ya kubumba ni kudharau mahakama. Kumtaka Rais afute kesi ni kuvunja katiba.
Kama ukweli huu haujaingia kichwani mwa CHADEMA basi lipo tatizo kubwa. Mbowe ni gaidi, ushahidi umeonyesha, kaambiwa ajitetee. Ndiyo maana Mufti anamuomba akiri kosa, asamehewe, lakini asirudie tena. Huu ndiyo msimamo wa Viongozi wa dini kwa Rais.