Mkuu, No need for DNA, inawezekana mimi na wewe ni ndugu kabisa, tofauti ni wewe ulisoma ‘International’ School wakati mimi nilisoma kwa michango ya UPE na misaada ya SIDA😂Yani nikishaona mtu anaandika "habali" badala ya "habari" naona ni jinga limoja lililokimbia shule. Alafu hua majuaji wakati kichwani bashite.
Mkuu vipi kwanza ukiridi shule ya msingi ukajifunze kutofautisha "r" na "L" ?!
sio "Ulusi" ni "Ururi"
Sio "vizuli" ni "vizuri"
sio "habali" ni "habari"
kwa hujajibiwa huu upuuzi inabidi tuju unaposimamia,kwamba iran walirusha fataki au makombora?Wamerusha baruti kama 500 Israel. Jana nzima nlikuwa Al Jazeera kuangalia madhara ya hayo Makombola. Hamna. Sielewi ilikuwa Makombora au mafataki?
Madhara nilitegemea yawe makubwa sana. Maana Makombora 300 plus si kitu kidogo wadau. Au nasema uongo? Lakini nashangaa bado makafir wanadunda tu... Hii imekaaje wadau?
Mimi na wenzangu tulikaa mkao wa kula sasa Israel inaenda kufutwa. Lakini sioni dalili hiyo? Israel ni ka nchi kadogo sana. Iran ni kubwa kumbuka ilimsaidia hadi Russia makombora kwenye Vita yake dhidi ya Ukraine.
Sasa inakuaie? Maana hii Israel pia si ilishtakiwa huko South Africa? Alwaz na Ritz walituletea sana hizi taarifa. Sasa hukumu hajaleta mpaka leo. Walisema waisrael wote watafungwa nchi itbaki tupu wataenda kaa Wapalestine. Sasa imekuwa kimya.
Mi kwa kweli nakata tamaa maana sisi tunajipanga vizuri kuwasaidia wenzetu wao wanatuangusha. Kila tunalolianzisha linaishia njiani. FaizaFoxy alikuwa akitujulisha jinsi ambavyo makafir wanaenda kuteketea Gaza. Sasa hata taarifa hatupi tena. Wamepotea wenzangu wengi humu. Nimebaki mimi tu.
Fanyeni kazi, Tafuteni pesaWamerusha baruti kama 500 Israel. Jana nzima nlikuwa Al Jazeera kuangalia madhara ya hayo Makombola. Hamna. Sielewi ilikuwa Makombora au mafataki?
Madhara nilitegemea yawe makubwa sana. Maana Makombora 300 plus si kitu kidogo wadau. Au nasema uongo? Lakini nashangaa bado makafir wanadunda tu... Hii imekaaje wadau?
Mimi na wenzangu tulikaa mkao wa kula sasa Israel inaenda kufutwa. Lakini sioni dalili hiyo? Israel ni ka nchi kadogo sana. Iran ni kubwa kumbuka ilimsaidia hadi Russia makombora kwenye Vita yake dhidi ya Ukraine.
Sasa inakuaie? Maana hii Israel pia si ilishtakiwa huko South Africa? Alwaz na Ritz walituletea sana hizi taarifa. Sasa hukumu hajaleta mpaka leo. Walisema waisrael wote watafungwa nchi itbaki tupu wataenda kaa Wapalestine. Sasa imekuwa kimya.
Mi kwa kweli nakata tamaa maana sisi tunajipanga vizuri kuwasaidia wenzetu wao wanatuangusha. Kila tunalolianzisha linaishia njiani. FaizaFoxy alikuwa akitujulisha jinsi ambavyo makafir wanaenda kuteketea Gaza. Sasa hata taarifa hatupi tena. Wamepotea wenzangu wengi humu. Nimebaki mimi tu.
Wewe si unamuamini kamanda wa kiyahudi, endelea kubaki hukoUlitegemea kamanda wa iran angesema shambulizi lao limefeli kweli wafia dini akili hamnaga sijui ni hizi elimu za madrasa mnafundishwa chuki
Acha uongo bi kidude hizo stori na propaganda zimeandaliwa na pro Iran na ndo nyie wajinga mnaleta habar za uongo izo nchi zingne hazikuepo hata israel imefanya vingi kwa iron dome ikisaidiwa na fight jets za nchi kam US UK France na Jordan nchi zingne ni chumvi unaleta ww na wavaa makaobazi wenzako hupenda sana stor za uongo ingia kweny platform zote utakuta aloy of fake news mmeletaIran nia yake ilikuwa kupiga vituo vya kijeshi na imevipiga.
Wachambuzi wote wa mambo ya kivita wanakwambia ni pigo kubwa sana kwa mazayuni na mashoga zao.
Nchi ngapi unajuwa zimejikusanya kuzuwia makombora ya engine za pikipiki ya Iran? Hesabu; mazayuni, USA, Uingereza, Ufaransa, Jordan, Saudi Arabia, UAE, Qatar, Egypt, Kuwait, Bahrain na Oman kisirisiri.
Mainstream media zimefungwa kutoa habari.
Kwa taarifa Yako Iron dome imepata umaarufu mkubwa sana na nchi nyingi za ulaya sasa zinaitaka kuinunua kwa sababu Iran imesaidia kuitest watu tumeona ubara wake kwa ujumla israel ni kinara katika defense systemsIran nia yake ilikuwa kupiga vituo vya kijeshi na imevipiga.
Wachambuzi wote wa mambo ya kivita wanakwambia ni pigo kubwa sana kwa mazayuni na mashoga zao.
Nchi ngapi unajuwa zimejikusanya kuzuwia makombora ya engine za pikipiki ya Iran? Hesabu; mazayuni, USA, Uingereza, Ufaransa, Jordan, Saudi Arabia, UAE, Qatar, Egypt, Kuwait, Bahrain na Oman kisirisiri.
Mainstream media zimefungwa kutoa habari.
🤣aisee 🙌🏿Soon utaniona, ngoja nitikise Mgodi huku!
Pole sana.Iran nia yake ilikuwa kupiga vituo vya kijeshi na imevipiga.
Wachambuzi wote wa mambo ya kivita wanakwambia ni pigo kubwa sana kwa mazayuni na mashoga zao.
Nchi ngapi unajuwa zimejikusanya kuzuwia makombora ya engine za pikipiki ya Iran? Hesabu; mazayuni, USA, Uingereza, Ufaransa, Jordan, Saudi Arabia, UAE, Qatar, Egypt, Kuwait, Bahrain na Oman kisirisiri.
Mainstream media zimefungwa kutoa habari.
Zao la "Madrasatul" hilo, ndivyo walivyo.Mnaoelewa vizuri hii lugha tusaidieni tafsiri please.
Iran ni wajanja sana aisee!Tatizo yalitunguluwa angani, kama sio msaada wa nchi kadhaa kusaidia katika kutungua, moto ungewaka Israel. Ila Iran ni wajanja, wameanza na rasharasha, mvua kamili inaandaliwa ambapo hakuna wa kuizuia.
Irani imenivunja moyo wangu.Wamerusha baruti kama 500 Israel. Jana nzima nlikuwa Al Jazeera kuangalia madhara ya hayo Makombola. Hamna. Sielewi ilikuwa Makombora au mafataki?
Madhara nilitegemea yawe makubwa sana. Maana Makombora 300 plus si kitu kidogo wadau. Au nasema uongo? Lakini nashangaa bado makafir wanadunda tu... Hii imekaaje wadau?
Mimi na wenzangu tulikaa mkao wa kula sasa Israel inaenda kufutwa. Lakini sioni dalili hiyo? Israel ni ka nchi kadogo sana. Iran ni kubwa kumbuka ilimsaidia hadi Russia makombora kwenye Vita yake dhidi ya Ukraine.
Sasa inakuaie? Maana hii Israel pia si ilishtakiwa huko South Africa? Alwaz na Ritz walituletea sana hizi taarifa. Sasa hukumu hajaleta mpaka leo. Walisema waisrael wote watafungwa nchi itbaki tupu wataenda kaa Wapalestine. Sasa imekuwa kimya.
Mi kwa kweli nakata tamaa maana sisi tunajipanga vizuri kuwasaidia wenzetu wao wanatuangusha. Kila tunalolianzisha linaishia njiani. FaizaFoxy alikuwa akitujulisha jinsi ambavyo makafir wanaenda kuteketea Gaza. Sasa hata taarifa hatupi tena. Wamepotea wenzangu wengi humu. Nimebaki mimi tu.
Ni fikra zakonkwa juwa huna unachokielewa, unafikiri ni ushabiki wa simba na yanga.Pole sana.
Ni aibu kubwa sana kwa Khamenei na walinzi wa mapinduzi.