Nimesikitika Nape alipotamba wamefumua hatua mbalimbali kuhusu uchumi alizochukua Magufuli

Magufuli Daima alituonesha njia sahihi Watanzania tunapaswa kupita.

Tulikua tunaona Tanzania inapiga hatu kubwa ya kiuchumi na kujenga uchumi sawa kwa raia wake.
Pumzika kwa Amani JIWE la Afrika
Tofauti ya Magufuli na Walamba asali yeye ni kuwa alikuwa anafanya vitendo zaidi na uchumi ulikuwa uko na active motion. Ila hawa walamba asali wao wame capitalize kwenye propoganda tu.
 
Tofauti ya Magufuli na Walamba asali yeye ni kuwa alikuwa anafanya vitendo zaidi na uchumi ulikuwa uko na active motion. Ila hawa walamba asali wao wame capitalize kwenye propoganda tu.
Sawa lakini alizidisha ukatili.
Asingekuwa katili jamaa angekuwa na legacy nzuri sana.
Prove me wrong.
 
We Nepi Nnauye acha kubwata hovyo na matakwimu ya kubumba.
 
SAFI SANA. UMEELEZA KITAALAMU KABISA.

MAJIZI YAMESHIKA USUKANI, TUTARAJIE MAMBO YA AJABU ZAIDI.
 
Huyo na yule mwenzake mwezi wa pili ndio vinara wa uharibifu nchi hii.

Wakiwa wanakula hutasikia kelele popote ila wakiwa benchi tu utasikia kelele kila Kona kuwa nchi haitawaliki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yale yanayoendelea Kenya na South Africa ndowatu wanayapenda na wanafurahia na kuitwa ndomaendeleo, kukua kwa democrasia, yaan mwingie kwa magomvi, mabomu yaan wazungu wanawaita mmekua! Daaa hii dunia hii!
 
Unaongele
Kumbe unaongelea huyu changudoa wa kisiasa wa kiume!
 
Pita maeneo ya sokoni nunua kamba nzuri ya katani kisha tafuta mzuri mkubwa halafu jitundike ukakutane na Magu huko aliko. ACHA KUTUPIGIA KELELE
 
Sheria gani iliutumika kuzifungia na kunyang'anya pesa??
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kapish. Ndio jibu langu, haya munijibu hayo chini bila ya shombo.

Mavi(shit)mnachagua mtu anayelindwa na asiyelindwa na sheria? Kwa mtu ambaye unahumuka hapa kila siku kuwa Sheria ndio kila kitu, haki ndio kila kitu, unakuja kuniletea maswali ya full of mavi(shit) ....shit sio tusi ehhh?

Ni sheria gani iliyotumika kuondoa Kesi anayodai alikuwa nayo Lema?

Ni sheria gani Iliyotumika kumuondolea Mbowe Kesi?

Ni sheri gani inayosema Mbowe sio Gaidi?
Ni sheria gani inayomlinda Msaliti?

Sitaki Shombo.
 
Magufuli alikuwa anaangamiza uchumi kwa siasa zake mbovu.
Hivyo basi, IMF, WB na wale wote waliokuwa wakitoa tathmini ya uchumi wetu kukua walikuwa waongo au ndio kusema walikuwa waoga? Kwamba Magufuli kitu chochote alicho kitaka, iwe Uchumi, Siasa, au Jamii akisema ' hii ndivyo ilivyo' basi, basi kila mmoja wa hao waliogopa na kutii tu. Yaani IMF, WB, na Serikali za nchi za magharibi waseme uchumi wetu umekuwa kwa sababu walikuwa wanamuogopa Magufuli? mbona Putin wanakula nae sahani moja?Kweli Hayati was A Giant. Hakika.

Aiidha kuna Ufilisi wa Fikra, au Kuna Unduminakuwili-na Ufitini na umalaya wa Siasa.

Msitudanganye, usijidanganye.
 
Hamna kitu, jiwe alikuwa mbinafsi na katili sana, angelitumbukiza taifa jalalani. Mungu aliyaona haya akapita nae. Mungu fundi nyie! Alitake advantage ya watanzania mambumbumbu kuwaambia kuwa 'nafanya haya kwa ajili ya watz maskini' basi wagogo na wasukuma woote wakajaa, mtu anabeba mabilioni anapeleka kijijini kwake kila mwezi kugawa??? Ivi kule tunduru ambako alikuwa haendi na wenyewe wangepataje pesa za umma? Mtwara walipelekewa jeshi kuwafilisi korosho eti taifa linanunua korosho za wakulima, akili au matope?? Eti unalazimisha chato kuwe na mbuga za wanyama kwa kusomba twiga nk na malori, umeambiwa ni ng'ombe zile?? Yaani ngosha ngosha tu, unabadilisha Kijiji chako kuwa mkoa Kisha makao makuu ya mkoa??? Yule mzungu aliyeshikilia ndege kule uholanzi tutamlipa ela yake possibly inalingana hata na bei ya hiyo ndege! Miradi kibao imejengwa na kampuni zake au za ndg zake Tena bila kufuata procedure wazi wazi. Ivi JK angejenga uwanja wa ndege Bagamoyo na kampuni ya ujenzi ikawa ya Riz pangekalika? Yule mwamba angekula hai sasa ivi kungekuwa na mradi wa ujenzi wa bandari ya chato na meli ya mv chato! Yaani unapeleka jeshi kwenda kufungia bureau de change kwenye mji wa kitalii Ili watalii waende BOT kubadilisha fedha kwa foleni, what a stupidity!!! Plea bargain, Sabaya, na mambo meengiii, nitakuwa wa mwisho kumsifu jiwe! Na ndiyo maana alikuwa mkali, ukiona mtu mkali sana weka ?????? Ana madudu mengi hataki kuulizwa, Raisi unawaamulia watz majimbo yote wamchague nani awe mbunge? Atakuwaje neutral kuihoji Serikali?? Yaani watu wamekubaliana kule handeni kuwa mgombea wao ni huyu, wewe ambaye kwenu ni chato unawakatalia unawaletea chawa wako kama mwijaku awe mgombea wao????
 
Vipi takwimu za uchumi zina somekaje uchumi unapanda au unashuka?!
 
Umesomeka.
 
Sukuma gang Kwanza hamna hata hoja hivi benki zikifungwa nchi itaendelea vipi hamuoni nchi hii ilikua kwenye hatari ya kufilisika ndiyo maana miradi ilikua inaendeshwa kwa pesa za kukopa china tena kwa riba ya juu zaidi halafu mkabaki mnadanganywa kwmba ni pesa zetu
 
Ni vile tu watanzania tuliamua kuwa wajinga basi hakuna mtu anafuatilia mambo ya nchi tofaut na Simba na Yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…