Nimetafuta kazi nimechoka, naweza kufanya biashara gani na laki tatu?

Nimetafuta kazi nimechoka, naweza kufanya biashara gani na laki tatu?

Kwa hali hiyo inabidi ujiweke kwenye survival mode kwanza kwa six months ukiwa unafanya hizo biashara ndogo ndogo.

Anza na hivi kutegemea na circle yako.

1. Nunua vile vicontainer vidogo vidogo vya plastic ingia sokoni nunua kisamvu, mchicha na mboga zingine za majani ziandae vizuri zipaki vizuri kisha pita maofisini ukiuza huko utapata wateja na utapata connection za kazi na biashara zingine. Watu wengi walioko maofisini ni lazy kujitafutia mahitaji yao lakini pia wana matumizi ya hovyo ya hela hivyo unapata wateja na utajua vitu vipi wanavihitaji zaidi.

2. Kama unajua kupika keki anza kupika keki jiji la Dar ni jiji la Starehe visherehe vidogo vidogo haviishi so unaweza kupata wateja.

3. Uza heleni na vifuniko vya asali japo kuna wenzako wengi sana wanafanya hiyo biashara.
Nyongeza anzisha huduma ya delivery ya vitu mbalimbali nenda kwenye maduka mbalimbali wewe waambie unatoa huduma ya kudeliver mzigo bei utakadiria mwenyewe.
Sema hii inafaa sana kwa watu wenye pikipiki.
 
Kuna mama anapika mihogo,chapati ,supu ,maandazi na chai sasa hivi kaongeza na maharage ikifika saa 4 kashamaliza nyumbani ila anajua sana kupika na anapikia kwenye kibaraza cha mtu .Kwa kuiangalia biashara yake haizidi laki 3.Nilimshauri ndugu yangu ajaribu akanijibu yeye hawezi kazi za moto.Kama una nafasi unaweza kujaribu.
 
Ukute na Urgue na kitoto shoga hapa, natoka
Ulishawahi kufirwa hata mara moja kwenye maisha yako?

Unachofanya ni psychological projection.

Mtu anayependa kuongelea au kuita watu mashoga wakati hata kuwaona hajawai kuna asilimia kubwa yeye ndo akawa shoga.

Nakuuliza tena ulishawai kufirwa walau mara moja kwenye maisha yako?
 
Kwanza Hongera kwakuchukua Hatua kwaajili ya kesho yako",

Pili Hakuna mtaji mdogo,Ila ulicholenga kufungua ndo kinaweza kikubwa kuliko mtaji ulionao",

Cha kwanza kubariana na hali halisi,usilenge vitu vikubwa kwasasa anza kidogo kidogo.

pili na nakushauri usiwaze frame tafuta saiti ya kukodi maeneo yaliochangamka mkubaliane na mwenye eneo kias cha kumlipa kama ni 10000 au 15000 kwa mwezi kisha tengeneza banda lako la mbao na mabati",

Nenda mjini nunua mitumba kwa bei ya jumla mitumba 70000 si haba kuanzia,Nunua yebo na ndala hazina bei sana ni kuanzia 2000 mpk 7000 kwa bei ya jumla kutokana na zilivyo,pia nunua vitu vya urembo kama heleni,cheni,saa havina bei sana afu nenda kafungue banda lako",

Naamin hutokosa chochote kwasiku kila lakheri kwako".

Good idea,
 
Hongera kwa kuwaza mbali
Naona chakula kinalipa kama upo dar tafuta eneo zuri ila sio frame maana utapunguza mtaji.
1. Sasa hivi ni msimu wa mihogo kaanga mihogo weka na visamaki na vikuku broiler unaweza weka na deli ukauza soda baridi

2. Pika chapati na maharage au utumbo either asubuhi na jioni au jioni tu

3. Pika chakula cha mchana sambaza kwenye vijiwe au ofisi

4. Uji point, saga Unga wa lishe vizuri weka hiliki unukie uwe unapika asubuhi na jioni unasambaza kwenye vijiwe au ofisini. Unaweza tengeneza na uji wa mchele kama hujui kajifunze YouTube. Uwe na maziwa kwa atakayehitaji

5. Mtindi point: hii unaweza Pata ubungo pale Kuna kituo cha maziwa asubuhi sana unaenda kujumua unauza reja reja kwa glass unauzia nyumbani au unatembeza kwa vijiwe au ofisini...hii inaweza kwenda sambamba na no 4 hapo juu au ukatafuta frame ukawa unauza maziwa tu yaani fresh na mtindi

NB biashara ya chakula inahitaji usafi wa hali ya juu, plus uchangamfu ila pia biashara Ina tuvituvitu... uwe mtu wa sala kila wakati utatoboa
 
Zaman nilikua nilikua nilikua nikiingia jf nakuta watu wanajibu kistaarabu sana ila sa hv ovyo sana jaman mtu anapofika hatua ya kuandika hapa ujue anahitaji msaada kama huwez msaidia jitahid angalau basi usimpe maumivu
Watoto wa 2000 wameshavamia na comment zao na wengine wameunga njia yani mtu kajieleza vizur watu wanakuja na kejeli zisizo na maana.
 
Back
Top Bottom