Nimetapeliwa nauli na mrembo niliyekutana naye mtandaoni

Sikuliwaza hilo mkuu
Mkuu mimi week iliyoisha pia ilitokea hvyo hvyo ila mm wa kwangu tunajuana sio wa mitandaoni baada ya kumtumia nauli siku tuliyokubaliana aje asubuh nampigia simu anasema kaamka vibaya

tumbo na kichwa vinamsumbua nikajua hapa nishapigwa tukio na mm nimeamua kumpotezea mazima hyo afanye mtaji asijichanganye akarudi na shida zake tena maana ana mizinga balaa.
 
Ameogopa picha zake kazichapa filter ila uhalisia yupo kama mfalme Zumaridi. Usije mkimbia bure.
[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji2][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2]
 
Ishanitokea hii Tena wakati mwingine unahisi amekudharau
Ila milima haikutani binadamu tunakutana
Mtoa Mada piga Moyo konde inote kwenye diary.
 
Huyo fungiaa mpaka madirisha asipate kwa kupita
 
Mapenzi yamekua mateso kwa sasa[emoji3064][emoji3064][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ebwana filter zinaharibu kinyama juzi kuna jamaa yangu kaniomba nimaindikize akakutane na demu waliojuama mtandaonii akanionyeshaa tukaenda tulichokutana nacho sikuaminii mwamba aliishiwa pozii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Umekwisha[emoji23][emoji23][emoji23].
Wanakaaga mahali wanakuzoom kwanza, kisha wanazima simu wanaondoka. Tena usiombe kama alikuja na mshikaji wake amtambulishe kwa shemeji.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Tena huyo dada bora asije tu.
Uliona thread ya yule mtu alifungua mada ya hivi kisha yule mwanamke akafika?
Yaani alimpiga picha kila tukio akatuwekea[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
[emoji1]wakati mnagaiana hela ulituomba tukuombee [emoji1][emoji1]


endelea kutesekea pande hizo baada ya kumtumia nauli mwanaume mwenzio[emoji1][emoji1][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Huu mtindo wengi wanaliwa sanaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…