Nimetapeliwa nauli na mrembo niliyekutana naye mtandaoni

Hiiii imenikuta leo, pisi tumeelewana vizuri, kuja, mamaaaa yaan haiendani na viwango nilivyokusudia nimepiga kwa kujilazimisha kimoja nikasingizia kuna mgeni anakujaaa ikasepa ilaa kuanzia leo siendi mtandaoni kutafuta demu never
Ha ha ha ha hatari sana mkuu
 
Hiiii imenikuta leo, pisi tumeelewana vizuri, kuja, mamaaaa yaan haiendani na viwango nilivyokusudia nimepiga kwa kujilazimisha kimoja nikasingizia kuna mgeni anakujaaa ikasepa ilaa kuanzia leo siendi mtandaoni kutafuta demu never
Kuna watu wanasemaga papuchi ni papuchi..but trust me,nyingine kupiga hata goli mbili ni kazi kubwa sana.
 
Ukiwa Dar , mademu unaowapata mitandaoni wapo Mikoani.

Ukiwa mkoani,sio Pwani, mademu unaowapata mitandaoni wapo Dar.

This explains why kutuma nauli na kupigwa hakuishi.
 
Hiyo nauli ni km Shilingi ngapi??.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ebwana filter zinaharibu kinyama juzi kuna jamaa yangu kaniomba nimaindikize akakutane na demu waliojuama mtandaonii akanionyeshaa tukaenda tulichokutana nacho sikuaminii mwamba aliishiwa pozii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Weka picha yake Mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…