Ubahili 3:5-6 usitume nauli kwa mtu usiemjua hata Kama mmechati kwamiak mingi Kama hamjawahi onana face to face usitume.
Wewe mtu umemjulia Badoo unamtumia nauli seriously!
Unakua na uhakika gani kuwa picha zile ni zake? Kama Mimi tu nimefungua account Badoo kwa fake name nimechukua picha za jamaa mwingine toka Facebook Kama 20 ivi kwahiyo ukiperuzi unajua ndo Mimi kumbe walaa!. Halafu Kuna midume huwa inafungua account za kike kwaajili ya maboya Kama sisi.
NotedKutoka nilipo mpaka kufika huko kwako ni masaa matano ila wewe unataka ndani ya lisaa limoja niwe nimefika
😂😂😂Naongezea pia mstari wa 7-8 unasema
Mwanamke akiomba nauli mfate uje nae kabisa kwako akikataa usitume!
Hizo mbili mbona tabu, moja tuu huwezikabisaaKuna watu wanasemaga papuchi ni papuchi..but trust me,nyingine kupiga hata goli mbili ni kazi kubwa sana.
Naomba link[emoji16][emoji16][emoji16]Tena huyo dada bora asije tu.
Uliona thread ya yule mtu alifungua mada ya hivi kisha yule mwanamke akafika?
Yaani alimpiga picha kila tukio akatuwekea[emoji23][emoji23][emoji23]
Kama vile sijakuelewa vile,wanakujaje kama hujatuma nauli mkuu ?Hapana wale hawatumiwi nauli wanakuja wemyewe
😂😂😂 inabidi kuwa na maamuzi magumuMpaka tuje tumalize maisha yetu hapa duniani wanaume hamna rangi ambayo hakuna rangi tutacha kuona.
Kimeumana kutaneni mmalize mambo,by the way Ile biashara ya chupi uliacha ukahamia Morogoro? [emoji2]Kutoka nilipo mpaka kufika huko kwako ni masaa matano ila wewe unataka ndani ya lisaa limoja niwe nimefika
Unahisi hawana nauli? Wanayo sana it is strictly business payment after deliveryKama vile sijakuelewa vile,wanakujaje kama hujatuma nauli mkuu ?
Kama wewe sio mtu wa kuperuzi peruzi sana mitandao watu wengi sana wanachukua picha za watu mfano watoto wakaree wakiganda, kinyarwanda, kenya na south africa watu wanatumia sana picha zao ukitaka kujua picha ni halisi au laa wewe cheki picture quality ukiona quality ya picha inepungua kiasi fulani jua hapo unapigwa...Mkuu, we acha tu, tatizo ni pisi kali; unajikuta unakuwa bwege tu
Kuna kitu nimejifunza hapa mkuuKama wewe sio mtu wa kuperuzi peruzi sana mitandao watu wengi sana wanachukua picha za watu mfano watoto wakaree wakiganda, kinyarwanda, kenya na south africa watu wanatumia sana picha zao ukitaka kujua picha ni halisi au laa wewe cheki picture quality ukiona quality ya picha inepungua kiasi fulani jua hapo unapigwa...
Majirani hawana mvuto mkuuUwe unatongoza majirani zako kuepuka gharama za nauli
Nishakula sana tu mie!Haujawahi kula nauli ya mtu wewe?
Haujawahi kula nauli ya mtu wewe?
😂😂😂🤣 kuchuma mboga kama kuchuma mboga!!!!!!!!!🥱Na akimpata ni kuchuma mboga tu mwanzo mwisho
Hivi mi mbona sijawahi kula nauli ya mtoto wa mtu, dah nafeli pakubwa sana....yani kesi zooote za nauli mie simo, ngoja nitafute wa kumfanya historyMamaeee usinikumbusheee.. Siku hiyo Single maza nimelitumia 30K likazimaa simuu malaya lileeee...!!
✌️Any updates????Anasema yupo ndani ya gari,lakini najua ni usanii tu