Nimeyatimba: Nimesex na mtu mwenye HIV, ni kipindi kigumu sana maishani mwangu

Nyege ni kitu ajabu sana
Me nlipiga dem ambae NNAJUA! Wazi ni muathilika
Ila nlitumia ndOm
Sikumbuk wazi nlipat wap ujasili ila nlikumbuka baada ya kumaliza

By the way tumia hizo dawa siku zote 30
Me nshatumia
Japo zina mawenge sana ila tumia
 
Acha kudanganya watu,vipimo viache kudanganya dunia nzima vije kudanganya Dodoma,kama ni kweli huyo Doctor wako atakuwa hajitambui..
 
Pole sana na hongera kwa ujasiri wako .
Ila nimecheka sana unaposema zinakuendesha kama nakuona unavojambajamba kila muda

Unavyohisi kuharisha kila mara na ukienda unaishia kutoa mijambo tu

Kama nakuona tumbo linavyokuunguruma

Kama nakuona unavyopagawa kichwa si kichwa mara mdomo mchungu usijali wewe ni shujaa , hongera sana kwakutambua uwepo wa PEP .

Siku nyingine kinga ni bora kuliko kutumia haya madude jifunze kupima kabla , jifunze kutumia kondom UKIMWI UPO ndugu zanguni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…