Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
unaongea kwa hisia mkuu!!Rwanda na Tanzania ni mbingu na ardhi yule hawezi kupigana na jeshi la Tanzania watamchakaza vibaya sana
Nchi yenyewe sawa na mkoa wa Tabora
Kwani Kagame ni Rais wa Drc?unaongea kwa hisia mkuu!!
Drc ni jeshi bora africa ni no 5/6
tanzania hata top ten haipo
Heshima mkuu, lakini kuhusu hili sina sababu kabisa ya kuingia youtube kama unavyo nishauri. Kenya walifanya utapeli wa hali ya juu sana na kumdanyanya Tishekedi kuwa watakwenda kupambana na M23. Walipofika Goma wimbo ukabadilika na kusema wao hawakuja kupigana vita bali kulinda amani. Hakuna mahali popote Kenya alipowasambaratisha M23, bali walianza kushirikiana na M23 na kukubaliana M23 aondoke baadhi ya maeneo kimkakati, ili kuhadaa serikali ya Congo.
Unanishangaza sana unapo sifia mafanikio waliyopata Kenya kwa kazi waliyofanya Congo, wakati imelazimika waondoke kwa aibu kubwa baada ya kustukiwa udanganyifu waliokuwa wakiufanya.
Huyo Nyaga unayemwonyesha hapo, hivi hujui alivyoondoka Congo kwa aibu?
Huyo mthenge tutamtoa mapema hapo nchini kwake tuweke tunaemtakaNa Kagame siyo wa mchezo mchezo. Ni Putin wa Afrika huyu, akiamua kumung'oa mama jua halizami.
PK aliwahi kumwambia JK, I will hit you!. JK hakutia neno.
jitahidi kuunganisha mambo mkuu!! kwaiyo hujaelewa uhusiano!Kwani Kagame ni Rais wa Drc?
Wapi nimeitaja DRC
Mbona hauleweki unataka nini? Unataka Rwanda iwekewe vikwazo? Au unataka Rwanda ifukuzwe EAC au unataka askari wa Tanzania watoke DR Congo?Sijajua wanajeshi wetu wanafia nini kule DR congo wakati sasa imejulikana bila shaka kwamba wanapigana na wanajeshi wa Rwanda ambayo ni nchi mwanachama wa EAC.
SOLUHISHO ya vita ile ni kuiwekea vikwazo RWANDA na kuifukuza EAC haraka iwezekanavyo.
Mama yetu mpendwa nakuomba uwaondoe haraka watoto wa taifa letu wanaopigana na M23 kule DRC.damu yao inamwagika kwa sababu gani?
View: https://www.youtube.com/watch?v=HHtxvhSPgAQ&t=124s&pp=ygUWdGhlIHBlb3BsZSAgd2hvIGFzayBtZQ%3D%3D
Kwenye M23 wengi ni Watusi wa Congo na katika matakwa yao hawasemi kuwa wanataka kujitenga na Kongo ila wanataka Haki zao za Kijamii na Serikali Kongo irudi kwenye Meza ya mapatano.hapa shida ni kwamba hilo kundi la M23 ni la watusi asili ya Rwanda ,burundi na uganda wanatafuti kujitenga na DRC.kwa hiyo kagame anawatetea wenzake kama alnavyokiri kwenye hiyo clip
For the status we are not the police of african continent, hatuko hata top 10 ya strong militaries in africa , na hatuna hiyo capacity for nowWanajeshi wetu wapo kusaidia ndugu zetu congo wapate Amani.
Hiyo ni KAZI yetu Tanzania.
We are the police of African continent.
Pk soon hutomuona tena.
Yuko sahihi sasa hivi hatuna jeshi kama zamani, watu kule wako busy kula kwa urefu wa kamba zaoUnaota amka utajikojolea😁
Pamoja na kukubaliana na 'perspective' yako sehemu kubwa, hali tuliyo nayo leo kama nchi usiitegemee kuwa kama ilivyokuwepo wakati ule.Hapo ni tpdf kukiwasha, kwa, akili, na kuiba jspo madini kidogo, kama tuliweza kuikomboa kusini mwa Afrika, hatushindwi Congo,
Wewe ni matusi unayeishi Tanzania, mhamiaji haramuKwenye M23 wengi ni Watusi wa Congo na katika matakwa yao hawasemi kuwa wanataka kujitenga na Kongo ila wanataka Haki zao za Kijamii na Serikali Kongo irudi kwenye Meza ya mapatano.
Uwepo wa Watusi wa Rwanda kwenye M23 ni kuwasaidia Jamaa zao jambo ambalo hata Wakongo wanasema wazi wazi kuwa watawasaidia Wahutu kurudi Rwanda na kama nilivyowahi kusema humu mimi nimetembea kwenye hiyo Neighborhood Watutsi wanachukiwa bila sababu na wakizubaa Second Genocide haiko mbali kwahiyo wasaidiane waseme Never Again!
January Makamba alitoa taarifa February mwaka huu akiwasahihisha gazeti la Jamuhuri waliokuwa wakisifia jeshi la Tz kuwapiga M23 kwamba kikosi cha Tanzania ambacho ni sehemu ya SADC huko DRC hawapo kwa ajili ya kupigana na kundi lolote la waasi.Hapana. Kikosi cha SADC ni cha mapambano na M23, ndiyo matakwa ya DRC walio waalika kwenda huko; tofauti kabisa na kikosi cha Kenya ambacho walidai wanakwenda kupambana, lakini walipofika Goma, 'mission' ikabadilika. Ndiyo maana Tshekedi na serikali yake walipoligundua hilo, wakaamua kuachana nao na kuwaamuru waondoke.
Kikosi cha SADC kipo ku'enforce peace', siyo ku-peacekeep.'
Ndiyo maana unaona sasa makombora yakirushwa na kuua askari SADC: Afrika Kusini na Tanzania sasa. Kabla ya hapo hukusikia kikosi cha Kenya, au hata Monusc walioishi Kongo kwa miaka zaidi ya 25 wakishambuliwa na waasi hao.
Asiyeona hatari iliyopo kwetu juu ya mgogoro huo atakuwa kipofu wa akili.ni kweli .wakenye walikuwa wanashirikiana ana M23 na PK kuendelea kuiba madini ya congo.
lakini tuwachekea nyani iko siku tutaokoata mabua. kama DRC congo haiko salama nchi za EAC haziko salama kiivyo.take my wards
Vita sio rahisi hivyo kama unavyofikiri hata kama nchi ni ndogo kiasi gani, Angalia kule Ukraine urusi anavyotokwa jasho, angalia hapo Mashariki ya kati ambavyo Israel imekuwa ikipigana na mataifa makubwa ya Waarabu, Angalia Eritrea na Ethiopia. Mifano ni mingi sana.Rwanda na Tanzania ni mbingu na ardhi yule hawezi kupigana na jeshi la Tanzania watamchakaza vibaya sana
Nchi yenyewe sawa na mkoa wa Tabora
Sasa ujue tatizo limeibukia hapo!January Makamba alitoa taarifa February mwaka huu akiwasahihisha gazeti la Jamuhuri waliokuwa wakisifia jeshi la Tz kuwapiga M23 kwamba kikosi cha Tanzania ambacho ni sehemu ya SADC huko DRC hawapo kwa ajili ya kupigana na kundi lolote la waasi.
Mawazo ya hovyo kama haya ndio yanayochangia kuleta vurugu huko DRC MasharikiWewe ni matusi unayeishi Tanzania, mhamiaji haramu
Huo mgogoro huko DRC Mashariki uko kwa karibu miongo mitatu sasa, haujawahi kuwa na wala hauna madhara yoyote ya maana kwa Tanzania.Asiyeona hatari iliyopo kwetu juu ya mgogoro huo atakuwa kipofu wa akili.
Acha story nyingi za vijiweni, ingia mtandaoni usome mwenye kuhusu SAMIDRC.Sasa ujue tatizo limeibukia hapo!
Fahamu vizuri mambo yanavyokwenda chini kwa chini kiasi cha serikali yetu sasa kurubuniwa na Kagame.
Ni Makamba huyo huyo alliyefanya ziara huko huko Rwanda mwezi huo huo na kukutana na Kagame na kutangaza ziara yake ilikuwa ni ya mafanikio makubwa. Usisahau Makamba ni wa kutokea maeneo hayo hayo kwa upande wa mama. Sasa kama Tanzania itakuwa imeamua kubadili 'objectives' za SADC na aliyewaalika huko; basi tujiandae nasi kufunga vilago kama walivyofanya Kenya.
Hata hivyo, naona M23 bado hawaamini kuwa 'mission' yetu imebadilika, maanake jana/juzi tu wametulipua na kuondoa uhai wa vijana wetu watatu. Pengine bado hawaelewi kwamba tumebadili mawazo baada ya kukutana na 'sponsor' wao mkuu, Kagam
EEEeenHeeee! Na ni juzi tu Kagame kajigamba juu ya uwezo alionao wa kupambana na yeyote!Vita sio rahisi hivyo kama unavyofikiri hata kama nchi ni ndogo kiasi gani, Angalia kule Ukraine urusi anavyotokwa jasho, angalia hapo Mashariki ya kati ambavyo Israel imekuwa ikipigana na mataifa makubwa ya Waarabu, Angalia Eritrea na Ethiopia. Mifano ni mingi sana.
Hutaki kuambiwa ukweliMawazo ya hovyo kama haya ndio yanayochangia kuleta vurugu huko DRC Mashariki