Nimwombe Rais Samia awaondoe haraka wanajeshi wetu kule DRC Congo. Mnapigana na nchi ya EAC


..mbona tayari walishasuluhishwa na Afrika Kusini wakati ule Zimbabwe, Angola, na Namibia, zilipoingilia kusaidia serikali ya Mzee Kabila?
 
Kuna magari zaidi ya 300 kutoka Rwanda yanabeba Mchanga uliokuja na meli kupitia bandari ya Kigoma kutoka Congo yanapita Kigoma -Kasulu - Kibondo- Kakonko -Nyakanazi. Itakuwa Nchi wanachama tunafiadika siyo bure.
Umbali Wote Huo
 

..makampuni ya makabaila yanaweza kupata kila wanachotaka toka Congo kwa kumtumia Tsishekedi badala ya kumwaga damu ya Wacongo kwa kuwatumia Kagame na Museveni.
 
..makampuni ya makabaila yanaweza kupata kila wanachotaka toka Congo kwa kumtumia Tsishekedi badala ya kumwaga damu ya Wacongo kwa kuwatumia Kagame na Museveni.
Ndio uelewe sasa hata hiyo hoja ya mabeberu kusababisha vita ili kuiba madini ya DRC haina mashiko sana.
 
β€˜Kuiba japo madini kidogoβ€™πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜!!!
Hata mimi nakuunga mkono katika hilo,

Lakini ukweli mchungu ni kwamba , hiyo nchi ya kuiba madini iko wapi, Tanzania? Hii hii nchi yetu ambayo tunajiibia madini yetu wenyewe,!! Hivi ni kiongozi gani mwenye akili hiyo aende kuiba madini Congo?

Ili ayapeleke wapi? Kuna kiongozi mwenye akili hiyo ya kwenda kuiba madini Congo kwenye vita wakati anaweza kuiba hapahapa bila kutumia hata manati,

Acha Kagame aibe mwenye uchungu na maendeleo ya nchi yake , lakini sio hawa tuliowapa dhamana ya kutuongoza ,

Wanakula kulaini hapahapa bila kuhangaika na mambo ya vita.

Hebu kaa kwa utulivu uitafakari nchi yako kwanza na uililie hasa,

Hayo angeweza kuyafanya Magufuli tu,

Mtu ambaye alikuwa na vision na target ya kuipeleka Tanzania sehemu fulani
 
Rwanda na Tanzania ni mbingu na ardhi yule hawezi kupigana na jeshi la Tanzania watamchakaza vibaya sana
Nchi yenyewe sawa na mkoa wa Tabora
Udoho wa nchi siyo sababu, angalia umahiri wa jeshi lake. Kwani Irael kubwa?
 
We didn't train him, he was trained by Museveni and USA.
Huyo bwana mdogo kapita kwenye mikono yetu yeye na baba yake wa kiroho M7.

Hata yeye binafsi anajua mstari upi wa kukanyaga na upi hapaswi kukanyaga hata baba yake wa kiroho M7 anafahamu.

Hawa wote ni watoto wetu tumewalea kwa mikono yetu wenyewe.

Hapa E.A ni Kenya tu ndio hatujamlea.

PK stori za Burundi anazifahamu vyema.
 
Ndio uelewe sasa hata hiyo hoja ya mabeberu kusababisha vita ili kuiba madini ya DRC haina mashiko sana.

..Kagame na Museveni ni WARLORDS wa vita inayoendelea Mashariki mwa Congo.

..Vita hiyo inawafaidisha wao na magenge yao yaliyoko ktk majeshi na serikali za nchi zao.

..Wananchi wa kawaida wa Rwanda na Uganda hawafaidiki na wala hawahusiki na vita hiyo.
 

..Congo yenye amani itakuwa na faida kubwa kwa mwananchi wa kawaida wa Tanzania.

..Mipaka ya Tanzania na nchi majirani wenye amani imechangamka kibiashara na wananchi wanapiga pesa.

..Ukitaka kujua faida ya nchi jirani yenye amani linganisha biashara ktk mpaka wa Tunduma[ Zambia ], na biashara ktk mpaka wetu na Msumbiji.
 
Hata kikosi cha SADC ambacho Tanzania amechangia jeshi hawajaenda DRC kupambana na M23, kama wanafanya hivyo ni kinyume na mission iliyowapeleka ya peacekeeping.
Hauko sahihi. Hicho ni Kikosi maalumu (Force Intervention Brigade - FIB) ndani ya walinzi wa amani wa UN (MONUSCO) kikiwa na jukumu la kupambana na waasi kama M23 (Enforcement under chapter 7 of the UN Charter).
 
Ni sawa Joka Kuu,
Ulichozungumza nakiunga mkono,

Nilikuwa namjibu huyo bwana aliyezungumzia Tanzania kuoigana ili iibe madini huko Congo,

Nami nikashangaa , waende kuiba madini kwa sababu gani wakati hata kwetu wanaiba , kwa ulaini kabisa, bila noma,

Na hatuna viongozi wenye mawazo hayo, kwa uchungu gani na maendeleo ya nchi hii
 
Songwe ni mkoa wa kawaida sana kibiashara unazidiwa hata na Iringa.
 
Wanajeshi wenyewe huwa wanahonga hela ili wapate trip za kwenda huko
 
Inabidi waende wengi Congo ili wakawakamate watu wanaovaa sare za jeshi😁😁😁😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…