EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Basi kuwa sisi🤣🤣🤣HAki siwaachi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi kuwa sisi🤣🤣🤣HAki siwaachi!
Hebu ntongoze nikatae uniite MANUNU😂😂😂😂Yaani huo ndio muda kukaa kuwaza kuhusu maisha binafsi na maendeleo yako.
Kutongozwa kunasaidia nini?
Mbona wanakuacha?
Hio sio kazi ya mwanamke, mwanamke anayeingilia jukumu la mwanaume especially kama hili % kubwa ategemee kupigwa na kitu kizito na hapo ndio shida inapoanzia.Toa maelezo
Kutongoza n kazi ya mwanaume sio mwanamke hata ww unajua hilo ila unajifanya huelewi.Itaje...
Kijinsia sawa, lakini binadamu si tuna akili, we kama umekipenda kweli kitu kwanini usichukue hatua kukipata?? eti mzabzabKutongoza n kazi ya mwanaume sio mwanamke hata ww unajua hilo ila unajifanya huelewi.
Hizo hatua za mwanamke n tofauti na za mwanaume.Kijinsia sawa, lakini binadamu si tuna akili, we kama umekipenda kweli kitu kwanini usichukue hatua kukipata?? eti mzabzab
Ahahahaha mkuu upo mkoa gani ahahaha daaah pole mkuuWazima jamani
Baada na kuachana na boyfriend wangu, sasa ni miez 5 sipo kwenye mahusiano, niko mpweke Sana sijui yule kaniachia gundu mwezenu ata sitongozwi yani kila nikijipitisha walipo wanaume hakuna ata anayenisimamisha au ata wakuniomba namba,nikijiangalia kwenye kioo najiona bado navutia, nimetumia madawa ya mvuto lakini wapi.
Ahaa, ndo vile vimitego vyenu... 😂Hizo hatua za mwanamke n tofauti na za mwanaume.
Mdada alini block ili hali nampenda ningefanya nini.Kijinsia sawa, lakini binadamu si tuna akili, we kama umekipenda kweli kitu kwanini usichukue hatua kukipata?? eti mzabzab
wewe tulia zako tu😂Mdada alini block ili hali nampenda ningefanya nini
Niliingia kwa fundi akanipa teleportswewe tulia zako tu😂
ukakataliwa bado sio....Niliingia kwa fundi akanipa teleports
Kuna mambo mengi hata nje ya hilo[emoji12]akili yako tu.Ahaa, ndo vile vimitego vyenu... [emoji23]