Nina gundu, wanaume hawanitongozi

Nina gundu, wanaume hawanitongozi

Umekuja sehemu sahihi kabisa, hakika hapa hutakosa wa kukutongoza na kukuweka kabisa.
 
Wazima jamani

Baada na kuachana na boyfriend wangu, sasa ni miez 5 sipo kwenye mahusiano, niko mpweke Sana sijui yule kaniachia gundu mwezenu ata sitongozwi yani kila nikijipitisha walipo wanaume hakuna ata anayenisimamisha au ata wakuniomba namba,nikijiangalia kwenye kioo najiona bado navutia, nimetumia madawa ya mvuto lakini wapi.
Ahahahaha mkuu upo mkoa gani ahahaha daaah pole mkuu
 
Kijinsia sawa, lakini binadamu si tuna akili, we kama umekipenda kweli kitu kwanini usichukue hatua kukipata?? eti mzabzab
Mdada alini block ili hali nampenda ningefanya nini.

Nakumbuka ilibidi niende Kongo.. fundi aliniwezesha kuingia kwao bila kuonekana.

Nilimfaidi sana yule dada. Naingia kwake nipendavyo. Ikawa ndio dawa
 
Back
Top Bottom