Nina shilingi milioni 64, niwekeze kwenye biashara gani kati ya hizi?

mkuu kama kuna na fursa za vibarua tunaomba tujulishane.,
 
Asante sana mkuu. Nitamfuatilia huyu jamaa wa Uganda, seems yuko mbali sana aisee.
Umbali sio muhimu ila ni kujifunza tu
Yaani wenzetu wana bahati na dual citizenship
Amekaa [emoji631] miaka 15 karudi nyumbani kuwekeza na leo anasambaza kuku na mbuzi na nguruwe Kampala

Ila sisi diaspora tunaambiwa ni watoto wa wakubwa daa
Kila alieko nje ni mkubwa kwa bongo

Ukianza usisahau kuleta mrejesho
 
..mkuu nikushauri kwenye investment yenye future business ya baadae.
1. Nunua future potential plots maeneo ya miji inayokua kibiashara kama dsm, mwanza, arusha(utalii)..hizo plots hakikisha unapata title deeds na ziwe maeneo yatakayo kuwa potential/hot cake ndani ya 10yrs kutoka sasa..endelea kufanya manunuzi ya hizi plots hata kwa miaka miwili ijayo ukichanganya plots za makazi na biashara.

2. Ukishakuwa na plots nyingi zenye title deeds sehemu mbalimbali kwenye hiyo mikoa potentials plan kuanzisha kitu kwenye baadhi ya hizo plots ambazo hutalipa rent. Pia unaweza kuzikodisha baadhi ya hizo plots kipindi hicho kwakuwa zipo potential areas.

3. Tumia title deeds/hati za baadhi ya hizo plots kuchukua mikopo bank kipindi utakachokuwa free kusimamia business unayotaka kuifanya maana by that time value za hizo plots zitakuwa juu sana. Pia unaweza kuuza baadhi ya plots kipindi hicho kwa bei ya juu na kufanya business.

4. weka utaratibu wa kufanya saving kwa kununua titled plots au USD(dollar) maana pesa yetu inashuka sana thamani na pia akiba ya Tshs inaliwa sana na inflation.

5. Biashara ni nzuri & imara ikitoka kwenye investment yenye mizizi na ya muda mrefu.
 
Jenga nyumba za kupangisha achana na magari mkuu
Bora kujenga lodge! Nyumba za kupangisha zina usumbufu mwingi kwenye kodi.

Labda upate eneo zuri, halafu ujenge appartments kwa ajili ya watu wenye uwezo, walau utapata kodi yako kwa wakati. Ila siyo vyumba vya elfu 50 mpaka laki 150! Huko utakumbana na wapangaji vichomi mpaka basi.
 
Kama kweli upo ddm njoo ilazo hapa Kris corner Kisha anzA kupita pita ujifanye unauliziee Bei ya chumba Cha kupanga hz apartment

Bei Ni Mia nne Hadi Mia tano

Hvyo jitahidi uingie kwenye real estate na lodge kwa ddm umetoka vzr san

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Nipo Dom, na hiyo mitaa unayoitaja nimepiga sana misele na kufanya tafiti.
 
Agiza viti ,meza, table cover ,table verse , moveables stage , Led light .
Tafuta store anza biashara ivyo vitu avitumii umeme .
Party and rental supplies. Hutojuta
Mkuu hebu fafanua kidogo wengine ndio tunakopi aidea hii manake unakuwa unanunua vitu kwa ajili ya kukodisha!!??
 
Jenga nyumba/vyumba/hostels then pangisha. Hii ni nzuri kwa wewe usie na uzoefu wa biashara.

Lakini pia ni asset na ina risks chache kwenye uendeshaji.
Baada ya hapo unaweza ingiza kichwa kwenye biashara nyingine.

Nje ya mada, jf watoe hivi vidubwasha vyao aisee.
 
Iko hv biashara ya real estate ipo vizuri. Unajenga unapangisha. Kisha unakopea hiyo nyumba unafanya biashara nyingine.
pesa ya kodi ndio marejesho yenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…