Ngorunde
Platinum Member
- Nov 17, 2006
- 4,672
- 9,806
Za kuambiwa changanya na zako.Kuna watu mna mishahara mikubwa!
Btw, ameomba wazo la biashara.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za kuambiwa changanya na zako.Kuna watu mna mishahara mikubwa!
Umbali sio muhimu ila ni kujifunza tuAsante sana mkuu. Nitamfuatilia huyu jamaa wa Uganda, seems yuko mbali sana aisee.
Kasema ni savings ya miezi 8.Yawezekana wanakopeshana bila riba huko kwao.
Sisi wazee wa Halmashauri kazi yetu ni kukusanya pesa walipane wakuu wa idara na madiwani.
Bora kujenga lodge! Nyumba za kupangisha zina usumbufu mwingi kwenye kodi.Jenga nyumba za kupangisha achana na magari mkuu
Njoo ddm Jenga lodg au vyumba vya kupangaAsante mkuu, nitaingia field kwa utafiti, maana mimi pia sina taarifa za kutosha kuhusiana na biashara ya lodge.
Hi ni business fake Sanawekeza kwenye biashara ya usafirishaji wa mizigo.. nunua fuso
Kama kweli upo ddm njoo ilazo hapa Kris corner Kisha anzA kupita pita ujifanye unauliziee Bei ya chumba Cha kupanga hz apartmentHabarini wakuu. Natumaini mnaendelea vizuri na maandalizi ya sikukuu.
Bila kuwachosha sana, nimeweza ku save jumla ya shilingi milioni 64 hadi sasa, kiasi hiki nimeweza kukisave kuanzia mwezi April mwaka huu kutoka kwenye mshahara wangu. Nipo mkoa wa Dodoma.
So far, nimefikiria kuwekeza katika mojawapo ya mambo yafuatayo:
1. Ninunue eneo la shamba kubwa maeneo ya Dodoma nje ya mji au Dodoma vijijini kisha nianzishe kama ranchi hivi ya ufugaji wa mbuzi.
Nimefikiria mbuzi kwa sababu kwa utafiti wangu wa muda mfupi nimeona kuwa mbuzi hawana complications nyingi kulinganisha na wanyama wengine wa kufuga, na pia kuna fursa zaidi kwa mbuzi nchini, na demand ambayo haijawa satsified.
Lengo la hii ni baadae niweze kuwa na kiwanda kabisa cha kuchinja na kuprocess nyama ya mbuzi, na kuweza hata kuuza ndani na nje ya nchi products za nyama ya mbuzi.
2. Nifungue park kwa ajili ya michezo ya watoto kwa Dodoma. Moja ya gaps ambazo nimeziona Dodoma ni kukosekana kwa eneo zuri la maana kwa ajili ya michezo ya watoto na watu kupumzika pia.
Hapa nafikiria ninunue eneo Dodoma then nilitengeneze vizuri na kuweka michezo ya watoto (indoor na outdoor) ya kutosha, pamoja na kutengeneza garden nzuri ya kuvutia kwa ajili ya watu na familia zao kupumzika na kupigia picha.
Kwa nje kwenye ukuta nawaza pia kuwe na frame kadhaa ambazo nitakodisha kwa watu waweke maduka ya vyakula, vinywaji, na vitu vya watoto.
3. Nifungue kiwanda cha maji ya kunywa yale ya kwenye dispenser kwa ajili ya matumizi ya majumbani na maofisini. Nimeona gap pia hapa kwa sababu makampuni yaliyopo hapa Dodoma kwa hii huduma hayatoshelezi mahitaji kwa kiasi kikubwa, mara nyingi sana unakuta yanapotea sokoni kwa muda fulani (no consistency of supply).
4. Ninunue kiwanja saizi ya kati maeneo ambayo sasa hivi ndo yanajengeka (eg Ilazo, NALA) halafu nipige vyumba vya low-cost (behewa style), niweke hapo vyumba kadhaa, then nipangishe nile kodi kila mwezi hata 50K kwa kila room. Baadae kadri ninavyopata mpunga zaidi, niongeze idadi ya vyumba zaidi na zaidi.
Wenye uzoefu wa biashara na ideas na mnaoifahamu Dodoma, niambieni hapo nianze na ipi kati ya hizo kwa mtaji huu nilionao (milioni 64), au hata idea nyingine ambayo sijaitaja hapo juu.
Mimi maisha yangu yote nimeajiriwa tu hadi sasa (nina umri wa miaka 35). Sijawahi kufanya buashara hata ya kuingiza shs 500. Nimeona ni bora pia niangalie upande huu wa business pia maana siwezi ajiriwa milele, na pia kama mjuavyo hizi ajira zetu, leo ipo kesho haipo hasa huku private sector.
Natanguliza shukrani.
Nipo Dom, na hiyo mitaa unayoitaja nimepiga sana misele na kufanya tafiti.Kama kweli upo ddm njoo ilazo hapa Kris corner Kisha anzA kupita pita ujifanye unauliziee Bei ya chumba Cha kupanga hz apartment
Bei Ni Mia nne Hadi Mia tano
Hvyo jitahidi uingie kwenye real estate na lodge kwa ddm umetoka vzr san
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Eat. Not it[emoji28]If u think the money you have doesn't solve ur problem ,then it that money
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
😂😂😂Eat. Not it[emoji28]
Mkuu hebu fafanua kidogo wengine ndio tunakopi aidea hii manake unakuwa unanunua vitu kwa ajili ya kukodisha!!??Agiza viti ,meza, table cover ,table verse , moveables stage , Led light .
Tafuta store anza biashara ivyo vitu avitumii umeme .
Party and rental supplies. Hutojuta
Hizo biashara za laana especially wale waliojenga lodge mahsusi watu watiane. wengi walikufa mtko juu fatiliaJenga Lodge!!! Hyo hela inatosha Sana,Tena hata lodge mbili,ulifanya hivyo matunda utayaona mapema sana
Huu ni ushauri au ni bomu la mkononi!?Kwa mshahara wako ingia bank chukua loan watakupa Mil 300 hivi.. Nenda Ukraine ukale bata kidogo mkuu
Iko hv biashara ya real estate ipo vizuri. Unajenga unapangisha. Kisha unakopea hiyo nyumba unafanya biashara nyingine.Tatizo la nyumba unazika pesa na faida inakuja kuonekana baada ya miaka mpka 7,8 na kuendelea mbele hapo unadhani kibongobongo hiyo ni hasara chukulia nyumba ya M50 kali unapangisha 500k kwa mwenzi hapo Ela inarudi baada ya miaka 9 hapo ikiwa imepangishwa non stop na kitu ambacho hakiwezekani pia kodi nimechukulia kodi ya 500k ambayo ni kubwa ila kikawaida ni 200k mpka 300k.