mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
- Thread starter
-
- #41
PPascal nisaidie kufahamu kwa nini mtanzani wa kutoka bara yaani mimi na wewe, hatuna haki ya kugombea nafasi za juu za uongozi huko zanzibar wakati wenzetu wa zanzibar wana haki kugombea na kuongoza huku bara? Sasa ukiwa kama nguli kwenye jukwaa na kwa afya ya muungano wetu uendelee kudumu kwa muda mrefu huoni kama hili halijakaa vizuri?
Heshima ya makundi ya wajinga Haina faida
Mbinu za kufundisha watu huna bali unalazimisha watu kuelewaUjinga ni kutokujua!, na mjinga ni asiyejua!.
Dawa ya ujinga ni elimu, kufundishwa, kujua na kuerevuka!. Mjinga akifundishwa ujinga unamtoka, anaerevuka. Mjinga akifundishwa asipofundishika huyo ni mpumbavu!.
Mwalimu wa kujitolea wa somo la uraia, anapojitolea kufundisha kuhusu uraia wa Tanzania, ni uraia mmoja tuu. Hakuna uraia wa Tanzania Bara wala uraia wa Zanzibar, bali Zanzibar kuna ukaazi na sio uraia. Zanzibar hakuna uraia kwasababu Zanzibar sio nchi, Zanzibar ni sehemu ya JMT.
Kama mtu alikuwa hajui hili, amefundishwa anaona anadanganywa... , tumuiteje?.
P
Kwa jinsi walivyo kua wabaguzi wale wapuuzi ni bora Kila mmoja achukue mbao zakeSuluhisho ni serikali moja hako ka kijiji ka bahari Kawe tarafa tu ya wilaya ya kigamboni.
Na hiyo itaendelea kwa miaka 10 InshallahNi hivi Tanganyika inatawali na nchi ya Zanzibar. Teuzi zote muhimu, wizara zote muhimu Rais ameweka watu wake sio kwa ajili ya maslahi ya Tangangika. Maslahi ya genge lake.
Sawa lakini kiongozi wako mkuu ni mzazibari na huyo mutaendelea kua nae mpaka 2030 InshallahWazanzibar wote machoko na wapumbavu na ni mambwa hayana akili kutuzidi sisi the mwambaz wa Tanganyika na kwenye hili tutawanyoosha hao ngedere
Tanganyika ipo ila imevaaa koti iangalie vizuuri utaionaTanganyika iko wapi?
Ni hivi hiyo Tanganyika ndio imevaa koti la muungano kwa hiyo muungano ndio tanganyikaHuu muungano unamnyima haki mtanganyika
Hilo koti unaliona wewe tu. Haipo, labda irudishwe.Tanganyika ipo ila imevaaa koti iangalie vizuuri utaiona
Mustahamili tu ndio hivo tena kuna zama na zamuŸ
Kifupi hana uhalali kusimamia makubaliano ya Tanganyika (Tanzania bara)
. Rais wa sasa ni urithi hajagombea chochote, hana ridhaa ya Watanganyika popote. Anachagua mawazili wa hovyo.
Sawa tumekusikia lakini itabidi usubirie mpaka 2030 InshallahKwa jinsi walivyo kua wabaguzi wale wapuuzi ni bora Kila mmoja achukue mbao zake
Mama Tanganyika tena siamini kama ni weweHilo koti unaliona wewe tu. Haipo, labda irudishwe.
Naitamani Tanganyika, nimeiishi. Dah Lakini nani wa kuiendesha Tanzania ikawa kama ile tunayoijuwa? Mimi nasema hakuna.
Wewe umenijibu ila hii kauli ya Tanganyika kuvikwa koti la muungano ni ngumu sana tena sanaNi hivi hiyo Tanganyika ndio imevaa koti la muungano kwa hiyo muungano ndio tanganyika
Ni conflict of interest. Lakini kwa vyovyote vile Mbarawa ni mtuhumiwa wa Rushwa anatakiwa akae pembeniNimefuatilia mjadala ulioandaliwa na serikali leo.
Msemaji mmoja mwenye mlengo wa kiserikali alisema na naomba nimnukuu
"Kasomeni katiba masuala ya viwanda na uwekezaji sio miongoni mwa mambo ya muungano" mwisho wa kumnukuu.
Kauli hii inaonyesha dhahili ilivyo ngumu kwa mmatumbi kutoka Tanzania bara kushiriki iwe kwa mawazo au kwa vitendo katika masuala ya uwekezaji huko visiwani zanzibar (haiwezekaniki)
Hii ni kwakuwa wazanzibari wameweka usimamizi mzuri kwenye mambo yasiyo ya muungano.
Je, inakuweje kwa upande wetu
Mzanzibari akawa kinara kwenye maamuzi ya mambo yasiyo ya muungano?
Je, hili ni jambo lisilo na ulakini mbele ya sheria?
Ukitaka kujua kuna rushwa tazama mkutano wa mbeya leo... magari mengi vile kuliko watu yamebeba wana CCM wote mkoa mzima wakaelimishwe kuhusu DP word ni nani anafadhili haya?Ni conflict of interest. Lakini kwa vyovyote vile Mbarawa ni mtuhumiwa wa Rushwa anatakiwa akae pembeni
Haya mkuu, ni wakati wenu ila msituuze utumwani kama mlivyofanya kwa miaka 500. Umaarufu wa Zanzibar unatokana na damu za Wabara. Soko bidhaa ikiwa ni wabara.Na hiyo itaendelea kwa miaka 10 Inshallah
Poa poa, msituuze jumla Tanganyika yote. Au kutuingiza kwenye masharti yatakayo tuletea tabu mbeleni kama nchi nyingine.Mustahamili tu ndio hivo tena kuna zama na zamu