Ninaomba nijibiwe, Waziri Mbarawa anao uhalali wa kushiriki maamuzi yanayoihusu bandari? (Kisheria)

Ninaomba nijibiwe, Waziri Mbarawa anao uhalali wa kushiriki maamuzi yanayoihusu bandari? (Kisheria)

Pascal nisaidie kufahamu kwa nini mtanzani wa kutoka bara yaani mimi na wewe, hatuna haki ya kugombea nafasi za juu za uongozi huko zanzibar wakati wenzetu wa zanzibar wana haki kugombea na kuongoza huku bara? Sasa ukiwa kama nguli kwenye jukwaa na kwa afya ya muungano wetu uendelee kudumu kwa muda mrefu huoni kama hili halijakaa vizuri?
P
Anapaswa kukubali kuwa changamoto ya haya yote yatatatuliwa kwa kuwa na muungano wenye usawa kwa pande zote mbili
 
Si sahihi. Jambo lisilo la muungano haliwezi kusimamiwa na serikali ya muungano. Haijalishi wanasiasa na machawa wao wanasema nini, ila hilo si sahihi hata kidogo.
 
Ujinga ni kutokujua!, na mjinga ni asiyejua!.
Dawa ya ujinga ni elimu, kufundishwa, kujua na kuerevuka!. Mjinga akifundishwa ujinga unamtoka, anaerevuka. Mjinga akifundishwa asipofundishika huyo ni mpumbavu!.
Mwalimu wa kujitolea wa somo la uraia, anapojitolea kufundisha kuhusu uraia wa Tanzania, ni uraia mmoja tuu. Hakuna uraia wa Tanzania Bara wala uraia wa Zanzibar, bali Zanzibar kuna ukaazi na sio uraia. Zanzibar hakuna uraia kwasababu Zanzibar sio nchi, Zanzibar ni sehemu ya JMT.
Kama mtu alikuwa hajui hili, amefundishwa anaona anadanganywa... , tumuiteje?.
P
Mbinu za kufundisha watu huna bali unalazimisha watu kuelewa
Na mwalimu wa namna hiyo tukuiteje sasa
 
Ni hivi Tanganyika inatawali na nchi ya Zanzibar. Teuzi zote muhimu, wizara zote muhimu Rais ameweka watu wake sio kwa ajili ya maslahi ya Tangangika. Maslahi ya genge lake.
Na hiyo itaendelea kwa miaka 10 Inshallah
 
Wazanzibar wote machoko na wapumbavu na ni mambwa hayana akili kutuzidi sisi the mwambaz wa Tanganyika na kwenye hili tutawanyoosha hao ngedere
Sawa lakini kiongozi wako mkuu ni mzazibari na huyo mutaendelea kua nae mpaka 2030 Inshallah
 
Katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaruhusu rais kuongoza mihula miwili (2) mfululizo ya urais kwa maana ya miaka 10.. ila ikiwapendeza wabunge wetu wanaweza wakafanya namna kurekebisha hicho kifungu ili kukidhi mahitaji yetu kwa sasa.. Mama Samia aongoze hadi 2040.
 
Makame Mbarawa ni waziri wa jamhuri irrespective anatokea sehemu gani ya Muungano ..hayo mengine wanayoongelea ni pambio TU ..soma katiba.
 
Tanganyika ipo ila imevaaa koti iangalie vizuuri utaiona
Hilo koti unaliona wewe tu. Haipo, labda irudishwe.

Naitamani Tanganyika, nimeiishi. Dah Lakini nani wa kuiendesha Tanganyika ikawa kama ile tunayoijuwa? Mimi nasema hakuna.
 
Ÿ

Kifupi hana uhalali kusimamia makubaliano ya Tanganyika (Tanzania bara)
. Rais wa sasa ni urithi hajagombea chochote, hana ridhaa ya Watanganyika popote. Anachagua mawazili wa hovyo.
Mustahamili tu ndio hivo tena kuna zama na zamu
 
Hilo koti unaliona wewe tu. Haipo, labda irudishwe.

Naitamani Tanganyika, nimeiishi. Dah Lakini nani wa kuiendesha Tanzania ikawa kama ile tunayoijuwa? Mimi nasema hakuna.
Mama Tanganyika tena siamini kama ni wewe
 
Ni hivi hiyo Tanganyika ndio imevaa koti la muungano kwa hiyo muungano ndio tanganyika
Wewe umenijibu ila hii kauli ya Tanganyika kuvikwa koti la muungano ni ngumu sana tena sana
 
Nimefuatilia mjadala ulioandaliwa na serikali leo.

Msemaji mmoja mwenye mlengo wa kiserikali alisema na naomba nimnukuu

"Kasomeni katiba masuala ya viwanda na uwekezaji sio miongoni mwa mambo ya muungano" mwisho wa kumnukuu.

Kauli hii inaonyesha dhahili ilivyo ngumu kwa mmatumbi kutoka Tanzania bara kushiriki iwe kwa mawazo au kwa vitendo katika masuala ya uwekezaji huko visiwani zanzibar (haiwezekaniki)

Hii ni kwakuwa wazanzibari wameweka usimamizi mzuri kwenye mambo yasiyo ya muungano.

Je, inakuweje kwa upande wetu

Mzanzibari akawa kinara kwenye maamuzi ya mambo yasiyo ya muungano?

Je, hili ni jambo lisilo na ulakini mbele ya sheria?
Ni conflict of interest. Lakini kwa vyovyote vile Mbarawa ni mtuhumiwa wa Rushwa anatakiwa akae pembeni
 
Ni conflict of interest. Lakini kwa vyovyote vile Mbarawa ni mtuhumiwa wa Rushwa anatakiwa akae pembeni
Ukitaka kujua kuna rushwa tazama mkutano wa mbeya leo... magari mengi vile kuliko watu yamebeba wana CCM wote mkoa mzima wakaelimishwe kuhusu DP word ni nani anafadhili haya?
 
Na hiyo itaendelea kwa miaka 10 Inshallah
Haya mkuu, ni wakati wenu ila msituuze utumwani kama mlivyofanya kwa miaka 500. Umaarufu wa Zanzibar unatokana na damu za Wabara. Soko bidhaa ikiwa ni wabara.
 
Back
Top Bottom