Ningekutana na Rais leo, Nimgemwuliza kwanini amemtoa Mchengerwa Utawala Bora

Kwakweli Mchengerwa arudushwe tuu utumishi jamaa aliimuda wizara.
 
Hao jamaa hata. Mi naunga. Mkono mama wa mikopo na tozo awajereshe bwana wako vizuri au ndo mambo ya kujiandalia njia nzuri 2025??
 
Huyu mchengerwa si msukuma huyu , ambae ameshirikiana na jiwe kujaza wasukuma kila sehemu Leo , Leo wasukuma wamekosa mtu wa kuwabeba wanalalamika.
Hujui lolote lini Mchengerwa akawa msukuma wewe. Huyu ni Mtu wa Mtwara na hana tabia hizo unazozungumza , jamani tenda wema nenda zako sie tunaumia kuondoka kwake utumishi we acha tu.
 
Mimi Binafsi Mchenger2a kaniumiza sana nadhani washauri wa Mama hapa hawakuwa sahihi kama hakuwa na makosa mengine,hii wizara aliimudu sana na aliwafuta sana Machozi watumishi.
Pengine wale mnaosema wenye nguvu ndio hawamtaki akae pale !! Au !!! ??
 
Hadi sasa nimegundua ni Mawaziri wawili tu wanaoliliwa sana na wale waliokuwa wakiwatumikia.

Mawaziri hao ni aliyehamishwa Wizara mh Mchengerwa na yule aliyetumbuliwa mh Lukuvi.

Why?
Lukuvi amekula vya kutosha apishe wengine kwanza ana kiburi (kidada cha kihehe)
 
Cochran's sampling formula inakupa sample size ya kuweza ku-generalize results for the population. Inawezakana johnthebaptist katumia methodology hiyo (sampling). Sio lazima ahoji watumishi wote. Sawa?
Kama angekuwa ame sample population ya wafanyikazi angesema,it does not seem he did it.And why should he do it anyway,kwa kuleta ka-thread kama haka JF,it does not pay,so I assume he did not do it.Amesikia tu some few workers wanatoa comments zao kuhusu Mchengerwa yeye aka extrapolate or possibly kamtuma kumpigia debe.
 
Huyu mchengerwa si msukuma huyu , ambae ameshirikiana na jiwe kujaza wasukuma kila sehemu Leo , Leo wasukuma wamekosa mtu wa kuwabeba wanalalamika.
Usilete ukabila angalia kaz mkuu
 
Hadi sasa nimegundua ni Mawaziri wawili tu wanaoliliwa sana na wale waliokuwa wakiwatumikia.

Mawaziri hao ni aliyehamishwa Wizara mh Mchengerwa na yule aliyetumbuliwa mh Lukuvi.

Why?
Mchengerwa analiliwa Kwa sababu aliyewekwa badala yake si mtetezi ni mkamdamizaji.
 
Katika eNeo la uteuzi amBalo Mama amevuruga Ni hapo kwa Mchengerwa, Hakuna uteuzi aliopata kuufanya mzuri kama kuumpa huyo bwana wizara ya utumishi, alihubiri haki na kukomesha uonevu wa baadhi ya maboss dhidi ya watumishi walio chini yao!
 
Atakumbushia biashara ya "VIKOKOTOO"
 
Huyo Mmama hafai kabisa huko, ni wale wamama wasanii sanii tu
 
Katika eNeo la uteuzi amBalo Mama amevuruga Ni hapo kwa Mchengerwa, Hakuna uteuzi aliopata kuufanya mzuri kama kuumpa huyo bwana wizara ya utumishi, alihubiri haki na kukomesha uonevu wa baadhi ya maboss dhidi ya watumishi walio chini yao!
Labda hakupitia kozi maalum,hivyo hawezi kuongoza watu Fulani,ila Mchengerwa yupo vizuri sana maoni yangu Mimi huyu jamaa alipaswa abaki Utumishi au apelekwe Tamisemi
 
Jaribio lake la vikokotoo namna lilivyozimwa kikatili, nilijua atatumbuliwa on the spot kama ilivyokuwa kwa wengine!

Nikaja kushangaa akaachwa!

Kweli huyu ni kipenzi cha watawala, tunamsagia sumu ya kunguni lakini haiwezi mdhuru vyovyote.
 
Hilo ni pigo kubwa kwa watumishi ndani ya muda mfupi.Mchengelwa kwa kuwajali watumishi alileta tabasamu kubwa kwao,Huyu anaye kuja ni mtu ambae watumishi wanamjua kama mtu ambae hana uthubutu wa kuwatetea wala kuumia kwa shida za watumishi.Nfio maana unaona watumishi wamenyong'onyea ghafla
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…