Hadi sasa nimegundua ni Mawaziri wawili tu wanaoliliwa sana na wale waliokuwa wakiwatumikia.
Mawaziri hao ni aliyehamishwa Wizara mh Mchengerwa na yule aliyetumbuliwa mh Lukuvi.
Why?
Mning'inio, kunywa supu ndio uingie ofisiniHakuna mtumishi anayemlilia Mchengerwa wala Lukuvi.Wana IDs nyingi humu ndani wameamua kuzitumia kujifagilia.
Hujui lolote lini Mchengerwa akawa msukuma wewe. Huyu ni Mtu wa Mtwara na hana tabia hizo unazozungumza , jamani tenda wema nenda zako sie tunaumia kuondoka kwake utumishi we acha tu.Huyu mchengerwa si msukuma huyu , ambae ameshirikiana na jiwe kujaza wasukuma kila sehemu Leo , Leo wasukuma wamekosa mtu wa kuwabeba wanalalamika.
Pengine wale mnaosema wenye nguvu ndio hawamtaki akae pale !! Au !!! ??Mimi Binafsi Mchenger2a kaniumiza sana nadhani washauri wa Mama hapa hawakuwa sahihi kama hakuwa na makosa mengine,hii wizara aliimudu sana na aliwafuta sana Machozi watumishi.
Lukuvi amekula vya kutosha apishe wengine kwanza ana kiburi (kidada cha kihehe)Hadi sasa nimegundua ni Mawaziri wawili tu wanaoliliwa sana na wale waliokuwa wakiwatumikia.
Mawaziri hao ni aliyehamishwa Wizara mh Mchengerwa na yule aliyetumbuliwa mh Lukuvi.
Why?
Mchengerwa mndengerekoHuyu mchengerwa si msukuma huyu , ambae ameshirikiana na jiwe kujaza wasukuma kila sehemu Leo , Leo wasukuma wamekosa mtu wa kuwabeba wanalalamika.
Akiwemo mwigulu nchembaSiwezi Lilia jitu kama Lukuvi limekaa serikali zote sijui kitu kipi cha maana amefanya.
Miji ni hovyo tuu ,migogoro ya ardhi iko ya kutosha nk
Alichokuwa anaweza huyu ni kusema Rais amenituma niwaambie kafuta hati ya mashamba na kuwapa wananchi.
Kama angekuwa ame sample population ya wafanyikazi angesema,it does not seem he did it.And why should he do it anyway,kwa kuleta ka-thread kama haka JF,it does not pay,so I assume he did not do it.Amesikia tu some few workers wanatoa comments zao kuhusu Mchengerwa yeye aka extrapolate or possibly kamtuma kumpigia debe.Cochran's sampling formula inakupa sample size ya kuweza ku-generalize results for the population. Inawezakana johnthebaptist katumia methodology hiyo (sampling). Sio lazima ahoji watumishi wote. Sawa?
Usilete ukabila angalia kaz mkuuHuyu mchengerwa si msukuma huyu , ambae ameshirikiana na jiwe kujaza wasukuma kila sehemu Leo , Leo wasukuma wamekosa mtu wa kuwabeba wanalalamika.
Mchengerwa analiliwa Kwa sababu aliyewekwa badala yake si mtetezi ni mkamdamizaji.Hadi sasa nimegundua ni Mawaziri wawili tu wanaoliliwa sana na wale waliokuwa wakiwatumikia.
Mawaziri hao ni aliyehamishwa Wizara mh Mchengerwa na yule aliyetumbuliwa mh Lukuvi.
Why?
Atakumbushia biashara ya "VIKOKOTOO"Rasmi sasa maoni ya watumishi walio wengi wanaona kumleta Mhagama Utumishi anakuja kuwadidimiza na sera mbovu alizokuwa nazo kipindi cha Mwendazake kama vile kikokotoo
Wamemuomba mama angembakiza Mchengerwa kwani amekuwa waziri aliyekuwa anawasikiliza watumishi kwani kipindi kifupi sana watumishi waliokuwa hawajapanda madaraja walipanda wote bila upendeleo pia malimbikizo ya watumishi yalikuwa yameanza kulipwa
NB Mhagama umeanza kutiliwa mashaka na watumishi kwamba ni mmoja wa waliokandamiza watumishi
Jirekebishe au upewe wizara nyingine
Labda hakupitia kozi maalum,hivyo hawezi kuongoza watu Fulani,ila Mchengerwa yupo vizuri sana maoni yangu Mimi huyu jamaa alipaswa abaki Utumishi au apelekwe TamisemiKatika eNeo la uteuzi amBalo Mama amevuruga Ni hapo kwa Mchengerwa, Hakuna uteuzi aliopata kuufanya mzuri kama kuumpa huyo bwana wizara ya utumishi, alihubiri haki na kukomesha uonevu wa baadhi ya maboss dhidi ya watumishi walio chini yao!
Jaribio lake la vikokotoo namna lilivyozimwa kikatili, nilijua atatumbuliwa on the spot kama ilivyokuwa kwa wengine!Kweli watumishi mmeumizwa sana Poleni.
naamini Mhe. Rais Mama yetu atalifanyia kazi suala hilo.
Lakini pia kama Jeni ujumbe umemfikia basi ni bora akajiengua mapema kuliko kuja kuenguliwa kwa fedheha, upepo unao vuma dhidi yake sio mzuri hivyo ajitafakari mapema kabla ya hatari.
Huyo anafuata upepo tu ndio maana anapendwa na kila Raisi wa Nchi.Mm huyu mama sijawahi kumwelewa tangu nimemfaham kwenye siasa. Ni bonge ya mnafiki