Nini kinaendelea kuhusu Novena ya Mtakatifu Ritha wa Kashia? Mbona imebamba sana?

RITA ni Malaya kama Malaya wengine huko makanisani kwenu,MTAKATIFU ni MUNGU peke yake!

Ng'ombe nyie
 
Mtukufu Rais Ali Hassan Mwinyi
 
Unaongea mitazamo yako binafsi zaid na kilr unachokiamin wewe, sasa hbaya mi siwez kukushawishi otherwise
Yesu alisema mwenyewe mtu mwenye Imani ya mbegu ndogo duniani anaweza akasali mlima ukainuka ukajitupa baharini...wewe Leo hii mtu ana Imani unamuambia Hana Imani kisa sala zimebuma...
 
Hapo anazungumzia Watakatifu walio hai, siyo wafu
 
Hiyo imeshapita mzee,kwani baada ya wewe kuondoka kuna kilichobadilika?
 
Kampotezea! Badala ya kupeleka maombi, anapeleka malalamiko huku akili ikiwa kulee! Mbaga Jr.
Watu wengi sana wanalalamika tu mbele za Mungu, hawaombi. Ndo maana majibu hakuna, Wasome kitabu Cha Nabii habakuki. Aliliona shida ni mfumo kulalamika kukakoma Akaanza kuomba.
 
Watu wengi sana wanalalamika tu mbele za Mungu, hawaombi. Ndo maana majibu hakuna, Wasome kitabu Cha Nabii habakuki. Aliliona shida ni mfumo kulalamika kukakoma Akaanza kuomba.
Unamlalamikia Mungu! Hata umtukane hana cha kupoteza. We are always the losers if we don't do it properly.
 
Dini zilikuja Kwa watu waliovurugwa Tyr. Sasa ushindwe kuomba direct Kwa Mungu unaomba Kwa Rita ama Nyerere hii imekaaje asee? Mimi naomba Kwa Mungu direct. Kila mtu na Mungu wake na Imani yake
hiyo ndo hoja ya msingi, hayo yote uliyoandika mwanzo ni porojo tupu na chuki dhidhi ya wanaomba kupitia watakatifu!
 
Kinachonifurahishaga ni jinsi Waprotestanti (Wakristu wote wasio wakatoliki) wanavojimwaga na kujifanya wanaujua Ukristu kuliko wakatoliki.
Biblia unayotumia Wakatoliki waliicompile ndio ukawa nayo!

Kinachonipa furaha zaidi ni jinsi wanavyojiona wana akili kuliko wakatoliki walio zaidi ya 1.2B, it never ceases to amaze me!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…