Msabato kazini.Wala wakatoliki hatuna muda wa kuwajibu !!Mkija kwenye Hospitali zetu na vyuo vikuu vyetu tulivyo pewa na Mungu kwa maombezi ya Mt.Ritha wa Kashia tuna wakaribisha sana.Ibada ya miungu hiyo.
Nasikitika kusema RC ni mpinga Kristo aliyeeneza Ukristo ulipooza
Msabato halisi upo.!!Kwa Maombezi ya Mt.Ritha wa Kashia kanisa lilijaliwa kila kitu na Lina hudumia jamii yote bila kubagua !!RITA ni Malaya kama Malaya wengine huko makanisani kwenu,MTAKATIFU ni MUNGU peke yake!
Ng'ombe nyie
Sio sahihi kusema hivyo, hospitali zinajengwa na Wakatoliki ambao wengine ni wakwepa kodi, mafisadi na hata wauza dawa za kulevya, mfano Colombia Pablo Escobar alivyojenga.Msabato halisi upo.!!Kwa Maombezi ya Mt.Ritha wa Kashia kanisa lilijaliwa kila kitu na Lina hudumia jamii yote bila kubagua !!
Bila shaka umesoma shule,vyuo vya kanisa katoliki ambavyo vilipatikana kwa maombezi ya watakatifu .
Bila shaka umewahiwa kutibiwa kwenye Hospitali za kanisa katoliki ambazo wakatoliki wanepewa na Mungu kwa maombezi ya Mt.Ritha wa Kashia.
Wingi wa watu sio usahihi... usitumie hoja ya popularity Katika debate yoyote maishani mwako utaaibikaKinachonifurahishaga ni jinsi Waprotestanti (Wakristu wote wasio wakatoliki) wanavojimwaga na kujifanya wanaujua Ukristu kuliko wakatoliki.
Biblia unayotumia Wakatoliki waliicompile ndio ukawa nayo!
Kinachonipa furaha zaidi ni jinsi wanavyojiona wana akili kuliko wakatoliki walio zaidi ya 1.2B, it never ceases to amaze me!
Nimelipia huduma nilizopewa na watu wanaolipwa mishahara...Msabato halisi upo.!!Kwa Maombezi ya Mt.Ritha wa Kashia kanisa lilijaliwa kila kitu na Lina hudumia jamii yote bila kubagua !!
Bila shaka umesoma shule,vyuo vya kanisa katoliki ambavyo vilipatikana kwa maombezi ya watakatifu .
Bila shaka umewahiwa kutibiwa kwenye Hospitali za kanisa katoliki ambazo wakatoliki wanepewa na Mungu kwa maombezi ya Mt.Ritha wa Kashia.
Tofautisha hoja na Taarifa, hapo sijatoa hoja nimetoa taarifa!Wingi wa watu sio usahihi... usitumie hoja ya popularity Katika debate yoyote maishani mwako utaaibika
ZUMBUKUKU wewe,unadhani kila mwenye kueleza ukweli ni Msabato? TAHIRA wewe!Msabato halisi upo.!!Kwa Maombezi ya Mt.Ritha wa Kashia kanisa lilijaliwa kila kitu na Lina hudumia jamii yote bila kubagua !!
Bila shaka umesoma shule,vyuo vya kanisa katoliki ambavyo vilipatikana kwa maombezi ya watakatifu .
Bila shaka umewahiwa kutibiwa kwenye Hospitali za kanisa katoliki ambazo wakatoliki wanepewa na Mungu kwa maombezi ya Mt.Ritha wa Kashia.
Unajua nimmemjibu kutokana na hoja yake. Hivyo usidandie gari lenye kasi, haya leo mmekiri kumbe kuna watakatifu walio hai, yeye hata hilo hataki kulisikia.Hapo anazungumzia Watakatifu walio hai, siyo wafu
Huna hoja ndugu acha matusi, mbona Paul hapo amewaita watu watakatifu ?RITA ni Malaya kama Malaya wengine huko makanisani kwenu,MTAKATIFU ni MUNGU peke yake!
Ng'ombe nyie
Enenda zako imani yako imekuponya.Ingekuwa simple hv pasingekuwa na tabu duniani
Acheni upumbavu enyi wajinga.Mimi niliambiwa na mtu nikabisha kabla hata sijaanza kuisali usiku nikiwa nimelala nikamuona huyo mama kavaa manguo marefu nilishangaa sana
Asubuh nikaenda kununua vitabu viwili vya novena kimoja mtakatifu Rita kingine mtakatifu Philomena
Ile nafika tu nyumban nikatokewa na kasichana kadogo kazuri kananambia kenyewe Nika mtakatifu Philomena
Niliogopa vibaya
Huyo mtakatifu Philomena ni baraa utakuja kunikumbuka ukibeep ana piga mda huo huo tena hakawii dakika hiyo hiyo
Hivi uwaga mnatumia vigezo gani kumpa utakatifu mtu msiyeujua UTU wake? Alafu mbona huo utakatifu wamejaa wazungu watupu, hakuna chinese, Arabians, Africans, ama Japanese people, na hata kama wapo basi ni wachache saana nao ambao wanafuata mila&desturi za kanisa katolic, kwamba mtu ili awe mtakatifu lazima afuate hizo njia zenu? Na vipi mnapata kibali cha Mungu yupi?Na hao wenye dini wanakushangaa na wewe ulivyo mgonjwa wa akili kupenda kutazama mpira,kulewa pombe bar na kufanya yale mengine yaliyo nje ya utaratibu wao wa kidini ambayo yote mvumbuzi wake hakutokana na ukoo wenu wala bara lako la Africa
Sikiza mzee,hii dunia hakuna siku tutafanana kwa kila kitu wewe utaelewa hiki yule ataelewa kile mimi nitaelewa vile alimradi tuna itikadi tofauti tuna uelewa tofauti tunawaza tofauti kila mmoja wetu so relax acha watu wafanye yale wanayoamini as longer as hawajaja kwako kukugongea mlango kukulazimisha ushiriki.
Unaombaje kwa mtu aliyekufa? Hata kumuomba aliyehai hilo jambo halipo maana si yeye anayeponya tofautisheni mambo, wazungu waliharibu sana akili za waafrika,Kuombewa na Watakatifu ni imani ya Wakatoliki, kama vile kuombewa na wachungaji, mitume na manabii kwa Waprotestanti. Kila mtu abaki na imani yake, kila mtu aombewe na anayemuamini 😂😂😂
Lakini hakuna aliyekuzuia kuabudu mizimu ya kiafrika kama unaona imani ya wazungu inaharibu akili. Mbona unakomalia wengine wawe kama wewe? Si kimya kimya tu ungeupita uzi uanzishe uzi wa dini au kanisa la mwafrika ambalo unaamini haliharibu akili (kama unayo lakini)?Unaombaje kwa mtu aliyekufa? Hata kumuomba aliyehai hilo jambo halipo maana si yeye anayeponya tofautisheni mambo, wazungu waliharibu sana akili za waafrika,
Wengine mpo karibu sana na Mungu, niombee na mimi😎Hii novena kweli na miujiza maana mimi pia ni huwa nikisali nikifika siku ya pili lazima nipate majibu yangu
Naweza nikakuombea halafu hunaWengine mpo karibu sana na Mungu, niombee na mimi😎
Imani ipoo kubwa.Naweza nikakuombea halafu huna
imani ... Kuamini kwako ndio kupona.