Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
π π we jamaa bwana Dah, so wakina mdude wamekimbia
Hawaonekana popote pale walipo wakati walisema hawaogopi chochote kile.lakini cha ajabu wamebaki wapenzi watazamaji kutoka mafichoni kusikojulikana .wahuni ni wahuni tu na usije ukasubutu kumwamini mhuni kama Mdude utakuja kujuta maisha yako yote,maana hawachelewi kukuuza na kukuchuuza mchana kweupeeee .π π we jamaa bwana Dah, so wakina mdude wamekimbia
Haya,umeshinda sasaHawaonekana popote pale walipo wakati walisema hawaogopi chochote kile.lakini cha ajabu wamebaki wapenzi watazamaji kutoka mafichoni kusikojulikana .wahuni ni wahuni tu na usije ukasubutu kumwamini mhuni kama Mdude utakuja kujuta maisha yako yote,maana hawachelewi kukuuza na kukuchuuza mchana kweupeeee .
Iko siku watafanya. Hata Bikina Faso walikuwa hivi hivi. Siku walipokiwasha na Compaore akatimuliwa Ikulu na Bunge yote ikachomwaMange hana hamu nao kabisa!
Weya izi Mwabukusi a.k.a BAK?Nini kinaendelea Mbeya kuhusu Maandaano? Watu wa Mbeya tuambieni kinachoendelea kama hizi picha ni za kweli===============
View attachment 2808544
View attachment 2808545
UPDATES...
Hofu na wasiwasi vimetanda kwa wananchi jijini Mbeya kufuatia askari polisi kuzagaa kwa makundi maeneo mbalimbali tofauti na siku nyingine.
Hata hivyo hakuna mamlaka yoyote iliyoeleza zaidi sababu za maaskari hao kutanda katika maeneo mbalimbali ikiwamo kwenye shughuli za wananchi.
Mwananchi ilipita maeneo mbalimbali ikiwamo mitaa ya Kadege, Mahakama Kuu na kituo cha daladala cha Kabwe na kushuhuhudia askari wakiwa katika makundi wakiwa na vifaa vyao vya kazi.
Baadhi ya wananchi wamesema bado hawajaelewa lengo la askari hao kusambaa katika maeneo mbalimbali huku wengine wakihusisha na maandamano yaliyokuwa yamepangwa kufanywa na wanaojiita wanaharakati.
Alipotafutwa Kamanda wa Polisi mkoani humo, Benjamini Kuzaga simu yake haikupokelewa, huku Mkuu wa Mkoa huo, Juma Homera akieleza kuwa hana taarifa zozote za kuwapo askari katika maeneo hayo.
Chanzo: Mwananchi
Ilitakiwa Mwabukusi &co watoe Taarifa ya zuio la maandamano siyo kuwahadaa WananchiKwani hukuona jana polisi waliandamana?
Ndugu yangu johnthebaptist, nakushauri uache kurukia maswala yanayokuzidi kimo, jikite kwenye majukumu rahisi na salama kama kutetea uovu.Kama Maandamano ya 9/11/2023 yalizuiwa na Polisi kwanini Waandaaji hawakuufahamisha Umma?
Nimeshangaa kusikia kumbe kuna Kesi MahakamaniNdugu yangu johnthebaptist, nakushauri uache kurukia maswala yanayokuzidi kimo, jikite kwenye majukumu rahisi na salama kama kutetea uovu.
Yatakuwa salama zaidiKwa Sasa maandamano nchi hii yatafanyika thread ,space,fb,jf, TikTok nk
Unalazimisha watanzania wamwekewe mdude na chadema ?Mdude na wenzake wangetumia muda huo kujiangalia wao kuliko kutetea watanzania wasiojitambua
Kwahiyo tuseme polisi waliamua kuandamana wao, badala ya raia!Kwani hukuona jana polisi waliandamana?
Ni kweli, CCM wanatamba sababu kundi kubwa la watanzania bado hawajitambui na huu ndiyo mtaji wao pekee.Mdude na wenzake wangetumia muda huo kujiangalia wao kuliko kutetea watanzania wasiojitambua
Nao ni raia wanawakilisha wananchiKwahiyo tuseme polisi waliamua kuandamana wao, badala ya raia!