Nini kinaendelea Mbeya kuhusu Maandamano? Watu wa Mbeya tuambieni kama hizi picha ni za kweli

Nini kinaendelea Mbeya kuhusu Maandamano? Watu wa Mbeya tuambieni kama hizi picha ni za kweli

😂 😂 we jamaa bwana Dah, so wakina mdude wamekimbia
😂 😂 we jamaa bwana Dah, so wakina mdude wamekimbia
Hawaonekana popote pale walipo wakati walisema hawaogopi chochote kile.lakini cha ajabu wamebaki wapenzi watazamaji kutoka mafichoni kusikojulikana .wahuni ni wahuni tu na usije ukasubutu kumwamini mhuni kama Mdude utakuja kujuta maisha yako yote,maana hawachelewi kukuuza na kukuchuuza mchana kweupeeee .
 
Hawaonekana popote pale walipo wakati walisema hawaogopi chochote kile.lakini cha ajabu wamebaki wapenzi watazamaji kutoka mafichoni kusikojulikana .wahuni ni wahuni tu na usije ukasubutu kumwamini mhuni kama Mdude utakuja kujuta maisha yako yote,maana hawachelewi kukuuza na kukuchuuza mchana kweupeeee .
Haya,umeshinda sasa

Ova
 
Wapemba waliandamana. Helikopta zilitoka Dar kwenda kuwatwanga risasi.
 
Nini kinaendelea Mbeya kuhusu Maandaano? Watu wa Mbeya tuambieni kinachoendelea kama hizi picha ni za kweli
View attachment 2808544
View attachment 2808545
===============

UPDATES...
Hofu na wasiwasi vimetanda kwa wananchi jijini Mbeya kufuatia askari polisi kuzagaa kwa makundi maeneo mbalimbali tofauti na siku nyingine.

Hata hivyo hakuna mamlaka yoyote iliyoeleza zaidi sababu za maaskari hao kutanda katika maeneo mbalimbali ikiwamo kwenye shughuli za wananchi.

Mwananchi ilipita maeneo mbalimbali ikiwamo mitaa ya Kadege, Mahakama Kuu na kituo cha daladala cha Kabwe na kushuhuhudia askari wakiwa katika makundi wakiwa na vifaa vyao vya kazi.

Baadhi ya wananchi wamesema bado hawajaelewa lengo la askari hao kusambaa katika maeneo mbalimbali huku wengine wakihusisha na maandamano yaliyokuwa yamepangwa kufanywa na wanaojiita wanaharakati.

Alipotafutwa Kamanda wa Polisi mkoani humo, Benjamini Kuzaga simu yake haikupokelewa, huku Mkuu wa Mkoa huo, Juma Homera akieleza kuwa hana taarifa zozote za kuwapo askari katika maeneo hayo.

Chanzo: Mwananchi
Weya izi Mwabukusi a.k.a BAK?
 
Mdude Nyagali ametoa Taarifa Kwamba maandamano yao yalizuiwa na Polisi hivyo wako Mahakamani kutafuta Haki

Swali langu kwa Mdude na Mwabukusi ni Hili:

Kwanini hamkuwatangazia Wananchi Kwamba maandamano hayatakuwepo hadi pale mtakapowatangazia tena?

Mlitaka Wananchi waingie barabarani wakakutane na Moto wa Polisi?

Hii Tabia siyo poa mtawaponza watu bure

Jumaa kareem 😀
 
Kwa Sasa maandamano nchi hii yatafanyika thread ,space,fb,jf, TikTok nk
 
Mdude na wenzake wangetumia muda huo kujiangalia wao kuliko kutetea watanzania wasiojitambua
 
Nchi hii maandamano ni mawili tu
1. Ku support namna mama anavyoupinga mwingi
2. Maandano ya kwenda kwenye mazishi.
 
Mdude na wenzake wangetumia muda huo kujiangalia wao kuliko kutetea watanzania wasiojitambua
Ni kweli, CCM wanatamba sababu kundi kubwa la watanzania bado hawajitambui na huu ndiyo mtaji wao pekee.
 
Back
Top Bottom