Haya maridhiano yamekuwa ni ya kula futari na kuvuta muda.
 
Roma si mara ya kwanza kiitikio na ngoma yake kuwa vutu viwili tofauti, ila watu wanapenda mistari yake, jumbe zake. Hip hop ni ujumbe, ujumbe ufike tu, viitikio huwa ni nyongeza.

Wakazi ni mtu ambae hata sijui anaimba nini..
Kabaki kuponda wasanii wenzie Twitter, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utadhani kavuliwa Ubingwaa, lol
 
Roma katisha sana,na kwa wimbo huu,harudi mapema nchini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…