Nipeni maua yangu - Roma Mkatoliki
Askofu mfufua watu anaiba kura za mpinzani, Je atashindwa kuiba sadaka za waumini?
 
Hii nchi ina..
Wenye-nchi
wala-nchi
wana-nchi
 
Bora tumechoka na hizi amapiano ambazo zaidi ya Vibe hazina push yeoyete !!
 
Ujumbe mwanzo mwisho

Kama kawaida yake,

Ova
 
Hizi ndio nyimbo za kusikilizwa na wanaume sasa sio wale wabana pia eti sijui usishike kirungu utaita wazungu
Sijui zuena,mara am single
Tetema
Inama nkuchomeke mara sjui nkupake
Mafuta .......ujing mtpu

Ova
 
Hizi nyimbo ziwe zinapigwa Mashuleni Nchi nzima, maana wao ndio next generation watakaokuja kulipa haya madeni yanayokopwa na kutumika vibaya.

Huko kwenye reli SGR zimepigwa bilioni moja unusu kwa kila KM.
Mashuleni huko wanawasikilizisha miziki ya kina domo konde zuchu tu
Na masingeli mzee
Wanawajaza tu watoto ujinga

Ova
 
1681982669181.png
 
Hili ni swali dogo tu kwako Roma Mkatoliki popote ulipo , ujumbe wako umeeleweka kwa kiasi chake , na bila shaka wengi wamekuelewa hasa ulipotumia neno maarufu la "Andazi" ungeweza kusema pia Kiazi lakini ukachagua Andazi , tena lile andazi lenye upepo ndani .

Kwamba wewe si Chadema wala si CCM ambacho pia ni chama cha Makonda , hakika hiyo ni haki yako , na huo ndio Uhondo wa Vyama vingi , maana yuko Dovutwa na Hashimu Rungwe pia

Lakini kuna kijiswali kidogo kwamba ikiwa kwa bahati mbaya kunguru akadokoa andazi na kupeperuka nalo , hakuna option nyingine , ikabidi tu watu wakuwekee CCM na CHADEMA , Je utachagua nini ?

Jibu kwa kimya kimya kwa kunong'oneza tutakuelewa tu .
 
Hili ni swali dogo tu kwako Roma Mkatoliki popote ulipo , ujumbe wako umeeleweka kwa kiasi chake , na bila shaka wengi wamekuelewa hasa ulipotumia neno maarufu la "Andazi" ungeweza kusema pia Kiazi lakini ukachagua Andazi , tena lile andazi lenye upepo ndani .

Kwamba wewe si Chadema wala si CCM ambacho pia ni chama cha Makonda , hakika hiyo ni haki yako , na huo ndio Uhondo wa Vyama vingi , maana yuko Dovutwa na Hashimu Rungwe pia

Lakini kuna kijiswali kidogo kwamba ikiwa kwa bahati mbaya kunguru akadokoa andazi na kupeperuka nalo , hakuna option nyingine , ikabidi tu watu wakuwekee CCM na CHADEMA , Je utachagua nini ?

Jibu kwa kimya kimya kwa kunong'oneza tutakuelewa tu .
Amesema yeye sio CCM Wala CHADEMA,
Kuchagua ANDAZI kwenye ushairi ni KUCHAGUA shibe yake...🤣🤣😂
Mbona kajibu....KASEMA DJ KASIMAMISHA MZIKI..... CHADEMA WANAKATA MAUNO🤣🤣😂😂
Kwa mantiki hio,
STILL ANGE CHAGUA ANDAZI

Kwa mawazo yako unadhani ange CHAGUA CHADEMA!!??
 
Back
Top Bottom