Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Unapenda kubishana kama Muha.Kama kichwa cha habari kinavyosema. yeyote yule, anzisha mada yoyote tulianzishe ki mdahalo (debate), wakati wowote.
Karibuni sana. Uwanja wa wazi huu, yeyote anaweza kuchangia na kuingilia mada. Hakuna kanuni rasmi isipokuwa kanuni za JF na za dola ziheshimiwe.
Bibi mjinga wewe [emoji706]