UK afadhali,mtu anaweza fanya kazi hata kama hana legal permit. Tatizo UK ni visiwa. Kuingia huko ni ngoma nzito. Na kupata visa na kwenyewe si rahisi kihivyo.England mbona super tu? UK ilikataa itifaki ya Sheghen viza na kubaki na UK viza na sterling pound yao walikuwa wanajihami nchi yao dhidi ya wahamiaji holela.
Mpaka Sasa kuna wahamiaji wapo nchi mbalimbali za ulaya wanatamani waingie tu UK.
Jana nilisikia hbr hyo hapa ila vzr umeniwai na unefanya vzr mnk nilisahauHabari zenu wana JF wenzangu,
Wakati wabongo wakiwa busy kulaumiana kuhusu Panya Road, tozo na kuendekeza siasa uchwara.
Kwa upande wa Burundi maelfu kwa maelfu wanazidi kujilipua katika nchi mbali mbali za Ulaya kupitia Serbia.
Kinachotakiwa ni wewe kuwa na passport ya Burundi na 1300 usd mkononi tu.
Warundi wanazidi kumiminika ulaya kupitia njia hiyo, na nasikia kuna baadhi ya wabongo ambao wamekuwa wakivuka boda kuingia Burundi, wakishafika huko wanatafuta passport za kirundi za kusafiria kwa njia wanazozijua wao na hatimae kuondoka.
Huu ni mtonyo na tayari nimeshashuhudia baadhi ya warundi wakirudi kwao ili kwenda kujiandaa na mipango hiyo ya safari.
Kwahiyo kama kuna mbongo yoyote anaujua mchongo huu basi aje aeleze na yeye mawili matatu anayoyajua kuhusu safari hizi.
Hapo chini ni video ya warundi walioingia Serbia kupitia airport ya nchi hiyo.
View attachment 2366842View attachment 2369275
Vipi ukifanikiwa kupata visa ya kwenda kutembea, unaweza tumia huo mwanya kuzamia?UK afadhali,mtu anaweza fanya kazi hata kama hana legal permit. Tatizo UK ni visiwa. Kuingia huko ni ngoma nzito. Na kupata visa na kwenyewe si rahisi kihivyo.
Ndio njia rahisi, hata Marekani wengi wanaingia kwa visiting viza wanabadili status wakiwa Marekani na wengine wanatumia permit fake za Wanigeria, jichunge usifanye kosa tu la kukupeleka Polisi hapo permit fake yako ni lazima ibume kwenye system.Vipi ukifanikiwa kupata visa ya kwenda kutembea, unaweza tumia huo mwanya kuzamia?
Hebu jaribu kuelezea huyo aliyefika ulaya 2017 alitumia mbinu gani mpaka akafanikiwa. Alikua na ndugu? Kuna mtu alimpokea? Alienda kimagendo? Alikua anajishughulisha na nini? Sio mbaya pia nawewe utupe mkakati wakoMkuu kuna mtu toka 2010 hadi leo yuko bongo anapambana na hafanikiwi, na kuna mtu kaingia ulaya mwaka 2017 leo hii ana mafanikio mazuri tu na hana stress tena ya maisha.
Sana yani"Tatizo ndugu zetu wabongo wamesinzia sana. Ukileta taarifa za michongo kama hizi basi jua wengi watakudhihaki na kukuponda, ila ukileta zile zinazohusu Diamond, Zuchu, Kiba nk basi ujue utapongezwa na kusifiwa kwa kile ulichoandika.
Ndio maana ndugu zetu Wakenya na Waganda hutuacha nyuma kila siku linapokuja swala la michongo na fursa za kwenda kuishi ulaya.
Sio rahic kiivo kama mnavyodhani kuna sister na bro wa 2 wapo uk na wana uraia kbs na ila imeshindikan kumchukua dogo akapat vibali vya kuishi amesharudishwa kama mara mbili ivi now anasomea ubaharia wa meli za nje uko huenda akatusua kwa njia iyoVipi ukifanikiwa kupata visa ya kwenda kutembea, unaweza tumia huo mwanya kuzamia?
Kanada napatamani sana kuna ndugu yangu yupo huko hataki ujamaa kabisa na mtu,naskia ukiwa na ndugu ni rahisi kupata vibali...maana ni nchi kubwa na unahitaji watu.Ndio njia rahisi, hata Marekani wengi wanaingia kwa visiting viza wanabadili status wakiwa Marekani na wengine wanatumia permit fake za Wanigeria, jichunge usifanye kosa tu la kukupeleka Polisi hapo permit fake yako ni lazima ibume kwenye system.
Nchi kama Canada inahitaji zaidi watu, lakini wanacontrol utowaji wa viza zao ila ukitusuwa kuingia hawana shida imetoka hiyo.
Na kingine ukiwa na kibali cha kuishi Canada maana yake Marekani unaingia kwa border entry tu kama wewe unavyokwenda Nairobi Kenya tu, Toronto to New York ni Masaa manne tu kwa gari.
Ili kuzuia Canada kuwa uchochoro wa kuingilia Marekani nao wamedhibiti utowaji wa viza yao ingawa kiukweli Canada inahitaji sana watu lakini inailinda Marekani pia kutumia kama transit ya kuingilia Marekani.
Canada ilishachukuwa wakimbizi wa Burundi kwenye makambi huko Ngara na kuleta ndege ikawapeleka Canada na kuwapa Uraia.
Hakika mkuu, yani wabongo kwa kuvutana mashati ni kawaida sana.Mi naoa sio mbaya mtu akajionee mwenyewe ugumu wa Ulaya kuliko kukatishana tamaa tu,hao warundi Wana watu wengi ulaya na USA,Canada ni tofauti na wabongo kwenye kusafiri.
Duh ! Mzee hii ilikuwa ngekewa kabisa ,Mzee BabaNdio njia rahisi, hata Marekani wengi wanaingia kwa visiting viza wanabadili status wakiwa Marekani na wengine wanatumia permit fake za Wanigeria, jichunge usifanye kosa tu la kukupeleka Polisi hapo permit fake yako ni lazima ibume kwenye system.
Nchi kama Canada inahitaji zaidi watu, lakini wanacontrol utowaji wa viza zao ila ukitusuwa kuingia hawana shida imetoka hiyo.
Na kingine ukiwa na kibali cha kuishi Canada maana yake Marekani unaingia kwa border entry tu kama wewe unavyokwenda Nairobi Kenya tu, Toronto to New York ni Masaa manne tu kwa gari.
Ili kuzuia Canada kuwa uchochoro wa kuingilia Marekani nao wamedhibiti utowaji wa viza yao ingawa kiukweli Canada inahitaji sana watu lakini inailinda Marekani pia kutumia kama transit ya kuingilia Marekani.
Canada ilishachukuwa wakimbizi wa Burundi kwenye makambi huko Ngara na kuleta ndege ikawapeleka Canada na kuwapa Uraia.
Nimetoa mfano si lazima tanzana ikopi Kwa kufuata Serbia kuna nchi nyingi tajiri zinastarve Kwa uhitaji WA manpower mfano Australia ,Canada hata US penyewe uhitaji bado ni mkubwaSer
Serbia Ni nchi Tajiri?
Godbles Lema aliomba ukimbizi Canada akiwa Nairobi Kenya na akakubaliwa.Kanada napatamani sana kuna ndugu yangu yupo huko hataki ujamaa kabisa na mtu,naskia ukiwa na ndugu ni rahisi kupata vibali...maana ni nchi kubwa na unahitaji watu.
InawezekanaVipi ukifanikiwa kupata visa ya kwenda kutembea, unaweza tumia huo mwanya kuzamia?
Canada watu wanakwenda kihalali kabisa.Godbles Lema aliomba ukimbizi Canada akiwa Nairobi Kenya na akakubaliwa.
Kinachowasumbuwa wabongo ni kutopeana connection tu, Canada ni nchi inayohitaji sana raslimali watu.
Angalia Wahindi wa Bongo wanavyopeana mchongo wa Canada hadi kuna Mdosi Mtanzania ni meya kabisa Canada.
Oohh yeah.Canada watu wanakwenda kihalali kabisa.
Kuvuka border IPI?Mtoa Mada upo sahihi, last month rafiki yangu Mburundi kaondoka, kaingilia Serbia na sasa yupo Germany!
Kutokana na matatizo ya mara kwa mara ya nchi yao, ni rahisi kwao kuvuka Boda.
Sawa mkuu,,umeshindwa wewe lkn acha wengine wafanye!! Wacha wapoteze mda...unataka muda wa ile unayo dhania ni faida tuuuu...no!! ...Hayo ni matumizi mabaya ya muda....muda ili upate thamani lazima upoteee. Usifikiri kijima.