Kuna watu nawajuwa wapo England mwaka wa 20 huu..England mbona super tu? UK ilikataa itifaki ya Sheghen viza na kubaki na UK viza na sterling pound yao walikuwa wanajihami nchi yao dhidi ya wahamiaji holela.
Mpaka Sasa kuna wahamiaji wapo nchi mbalimbali za ulaya wanatamani waingie tu UK.
Mwaka 2010 nilikuwa Greece.Mkuu kuna mtu toka 2010 hadi leo yuko bongo anapambana na hafanikiwi, na kuna mtu kaingia ulaya mwaka 2017 leo hii ana mafanikio mazuri tu na hana stress tena ya maisha.
Hiki ulichoandika hakuna ukweli, ukiona mtu ameshindwa kusafiri kurudi nyumbani kwa nchi kama England basi ujuwe ana tatizo la paper, na akikata ticket kutoka hawezi kuruhusiwa kurudi Tena hata viza hawezi kupewa hiyo ndio sababu halisi usidanganywe na mtu.Kuna watu nawajuwa wapo England mwaka wa 20 huu..
Hata nauli ya kuja kuzika wazazi wao imewashinda.
Kwa Sasa England na hata Europe ni mwtatizo matupu sababu ya imigrants.
Greece ni nchi iliyofirisika mpaka EU na hasa Germany ndio wamefanya Mipango kuinusuru Greece.Mwaka 2010 nilikuwa Greece.
Maisha yalikuwa magumu sana ,
Hata nikaamua kurudi nyumbani.
Kuna baadhi ya marafiki zng walinicheka sn,
2015 nikaingia italiy,
Ni miaka mitano baada ya kurudi Tanzania.
Nikipofika italy nikakutana na baadhi ya jamaa zng niliokuwa nao Greece 2010.
Wote hali zao ni mbaya kiuchumi,,sio pale italy wala nyumbani Tanzania.
Ni mimi nikawa nawapa euros 20 mara Euro 30 .,
Kufanikiwa no bahati na pia inategemea anafanya shughuli gani,,
Usione mtu amepata mafanikio,
Kuna Kaka mwarabu huko ,,
Ulaya Sasa sio Kama miaka 30 iliyopita.
Kwa Sasa imeshachafuka sn,
Kila siku watu 5000 wanaoingia ulaya 3000 hawarudi makwao.
Africans,
Asians,
Arabs.
Ndy tatizo kwa Sasa ulaya.
Kwa Sasa burundi haipo ktk inchi zenye Vita.Mtoa Mada upo sahihi, last month rafiki yangu Mburundi kaondoka, kaingilia Serbia na sasa yupo Germany!
Kutokana na matatizo ya mara kwa mara ya nchi yao, ni rahisi kwao kuvuka Boda.
Hivi unaweza kuishi inchi yeyote kwa miaka 30 bila kupewa kibali Cha kuishi?Hiki ulichoandika hakuna ukweli, ukiona mtu ameshindwa kusafiri kurudi nyumbani kwa nchi kama England basi ujuwe ana tatizo la paper, na akikata ticket kutoka hawezi kuruhusiwa kurudi Tena hata viza hawezi kupewa hiyo ndio sababu halisi usidanganywe na mtu.
Greece ni nchi iliyofirisika mpaka EU na hasa Germany ndio wamefanya Mipango kuinusuru Greece.
Kwanza tangu zamani Greece ni kiwanja cha mabaharia watu wa meli, Greece Piraeus ndio uwanja wa mabaharia kusign in meli au kupiga deiwaka za dry dock.
Italy uliingia cha kike Wabongo waliotobowa Italy ni drug dealers, inaonekana unakurupuka bila kuwa na information sahihi.
Hawawezi kukuamini mkuu,huko ulaya hali teteUlaya kwa sasa hakuna jipya,
Kama una shughuli zako zinazokuingizia kipato hata 20000 kwa siku,
Nakushauri endelea na maisha ya bongo.
Kwa sasa fursa zipo
Japan.
South Korea,
Canada,
Marekani.
Australia,
Maisha ya ulaya kwa sasa ni kupoteza muda wako bure.
Kwenye green card wabongo tuko nyuma sana,kuna mtanzania mwenzetu anaishi usa,uwa anatoa sana darasa kule youtube cha ajabu na wakenya wameanza kumteka sasa hivi taratibuNot simple as u think. Nenda Paris wakimbizi wanalala chini ya madaraja kwenye matent. Sasa hivi Ulaya inaharibika na kuna movements za ant migrants. Kule Italia juzi chama cha mlengo wa extrême kulia kimeshinda uchaguzi,,Sweden pia. Yaani Ulaya hapafai. Bora mtu Uende Canada. Mtu cheza Green Card nenda Canada au baki Bongo. Ni bora mtu ubaki Dar kuliko kwenda nchi yeyote ile ya Ulaya.
Wakenya wamemteka kwa sababu wanauhitaji wa kutoka. Wabongo ni watu wa kulalamika kuhusu maisha, lkn ukimpa fursa haifatilii. Ukitaka kuamini kama wabongo huwa hawafuatilii fursa ingia youtube kwenye post za huyo jamaa, utakuta walioangalia na ku comment hawafiki 10, lkn ukiingia kwenye page ya Diamond au mwanadada Mange Kimambi utakuta maelfu ya watu wakiwafuatilia watu hao wanachofanya.Kwenye green card wabongo tuko nyuma sana,kuna mtanzania mwenzetu anaishi usa,uwa anatoa sana darasa kule youtube cha ajabu na wakenya wameanza kumteka sasa hivi taratibu
Burundi bado kuna kundi la waasi linaloishi Congo. Mara nyingi kundi hilo huwa linaingia Burundi kufanya shambulizi la kushtukiza afu wanakimbilia kwenye mapori ya Congo kujificha.Kwa Sasa burundi haipo ktk inchi zenye Vita.
Serbia ni moja kati ya inchi za ulaya.
Kuingia Serbia ni rahisi kuingia ulaya yeyote.
Lakini sio kigezo Cha uraia.
Wabongo sisi tumefungwa afu alietufunga kaitupa funguo chooni.Habari zenu wana JF wenzangu,
Wakati wabongo wakiwa busy kulaumiana kuhusu Panya Road, tozo na kuendekeza siasa uchwara.
Kwa upande wa Burundi maelfu kwa maelfu wanazidi kujilipua katika nchi mbali mbali za Ulaya kupitia Serbia.
Kinachotakiwa ni wewe kuwa na passport ya Burundi na 1300 usd mkononi tu.
Warundi wanazidi kumiminika ulaya kupitia njia hiyo, na nasikia kuna baadhi ya wabongo ambao wamekuwa wakivuka boda kuingia Burundi, wakishafika huko wanatafuta passport za kirundi za kusafiria kwa njia wanazozijua wao na hatimae kuondoka.
Huu ni mtonyo na tayari nimeshashuhudia baadhi ya warundi wakirudi kwao ili kwenda kujiandaa na mipango hiyo ya safari.
Kwahiyo kama kuna mbongo yoyote anaujua mchongo huu basi aje aeleze na yeye mawili matatu anayoyajua kuhusu safari hizi.
Hapo chini ni video ya warundi walioingia Serbia kupitia airport ya nchi hiyo.
View attachment 2366842View attachment 2369275
100% ya ulichoandika hapa kina ukweli. Wabongo tunatia aibu sana.Wakenya wamemteka kwa sababu wanauhitaji wa kutoka. Wabongo ni watu wa kulalamika kuhusu maisha, lkn ukimpa fursa haifatilii. Ukitaka kuamini kama wabongo huwa hawafuatilii fursa ingia youtube kwenye post za huyo jamaa, utakuta walioangalia na ku comment hawafiki 10, lkn ukiingia kwenye page ya Diamond au mwanadada Mange Kimambi utakuta maelfu ya watu wakiwafuatilia watu hao wanachofanya.
Canada watu wanakwenda kihalali kabisa.
Wazungu sio mafala kama mnavyodhaniaMtoa Mada upo sahihi, last month rafiki yangu Mburundi kaondoka, kaingilia Serbia na sasa yupo Germany!
Kutokana na matatizo ya mara kwa mara ya nchi yao, ni rahisi kwao kuvuka Boda.
Sijui tunakwama wapi aisee,jamaa atakua na darasa tarehe 1 okt ubungo plaza nadhani kufundisha namna ya kuomba green card,muitiko ni sifuri bado,naona wakenya wamemuita kabisa aende kenya kuwafundisha,jana jamaa nimeona amepost youtube yupo kenya aisee!Wakenya wamemteka kwa sababu wanauhitaji wa kutoka. Wabongo ni watu wa kulalamika kuhusu maisha, lkn ukimpa fursa haifatilii. Ukitaka kuamini kama wabongo huwa hawafuatilii fursa ingia youtube kwenye post za huyo jamaa, utakuta walioangalia na ku comment hawafiki 10, lkn ukiingia kwenye page ya Diamond au mwanadada Mange Kimambi utakuta maelfu ya watu wakiwafuatilia watu hao wanachofanya.
Kwa watu tulioishi ulaya Kama Mimi hunisumbuwi na ulaya.Hawawezi kukuamini mkuu,huko ulaya hali tete
Acheni masikhara basi kuwa na million sita kwa kijana wa bongo kisa kusafiri ulaya ni ngumu maana hata ukishika hiyo pesa kwa hapa bongo kuna fursa nyingi na nzuri kuliko huko ulaya..Mimi kuna warundi wengi ambao nawafahamu wameshaondoka.
Very soon utakuja kusikia kuwa kuna asilimia kubwa ya wakenya, waganda na wakongo pia wameondoka kupitia njia hiyo ya warundi huku wabongo wakiishia kufuatilia mambo ya taarabu, bongo fleva, singeli, panya road nk.
Excellent!Nimetoa mfano si lazima tanzana ikopi Kwa kufuata Serbia kuna nchi nyingi tajiri zinastarve Kwa uhitaji WA manpower mfano Australia ,Canada hata US penyewe uhitaji bado ni mkubwa
USD 300 kwa mwezi ?Au kwa siku ?USA hakuna kazi ya pesa ndogo kama hii kwa mwezi.Hata kama ni mfanya usafi wa vyooni.Kwa watu tulioishi ulaya Kama Mimi hunisumbuwi na ulaya.
Wengi hukimbilia ulaya sababu ya ulimbukeni mtupu.
Hivi mtu una kazi au shughuli zako za maana utakimbilia kupata $ 300 kwa mwezi?
Sio nauli,hao itakuwa hawana makaratasi. Yaani wakija bongo hawawezi tena kurudi UK.Kuna watu nawajuwa wapo England mwaka wa 20 huu..
Hata nauli ya kuja kuzika wazazi wao imewashinda.
Kwa Sasa England na hata Europe ni matatizo matupu sababu ya imigrants.
Wewe ulikuwa Illegal huko ndo maana. Ukiwa legal na unafanya kazi. Utaipenda Ulaya.Mwaka 2010 nilikuwa Greece.
Maisha yalikuwa magumu sana ,
Hata nikaamua kurudi nyumbani.
Kuna baadhi ya marafiki zng walinicheka sn,
2015 nikaingia italiy,
Ni miaka mitano baada ya kurudi Tanzania.
Nliipofika italy nikakutana na baadhi ya jamaa zng niliokuwa nao Greece kipindi kile 2010.
Wote hali zao ni mbaya kiuchumi,,sio pale italy wala nyumbani Tanzania.
Ni mimi nikawa nawapa euros 20 mara Euro 30 .,
Mimi niliporudi nyumbani nilifanya up and down nyingi mno,,
Na kusogea kimaisha kuliko wao waliobaki pale Greece,
Kufanikiwa kwa mtu ni bahati,
na pia inategemea anafanya shughuli gani,,
Usione mtu amepata mafanikio,
Kuna Kaka mwarabu huko ,,
Ulaya Sasa sio Kama miaka 30 iliyopita.
Kwa Sasa imeshachafuka sn,
Kila siku watu 5000 wanaoingia ulaya 3000 hawarudi makwao.
Africans,
Asians,
Arabs.
Ndy tatizo kwa Sasa ulaya.