Chief Wingia
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 2,653
- 4,744
Nimeishiwa nguvu πππWhy nipimeπππ natoa yote
Hutaki ndoa weweKumlilia Hapana No.
Mwambie asome uzi huuDaah...! Kuna mwamba amemvumbika bint wa watu toka enzi za chuo 2013-2016 hadi muda huu na type hapa tupo tunasubiri ndoa ya hawa wapendanao, maana karibia robo ya maclassmates tayari tumeshafunga ndoa na ukimuliza mwamba anadai bado hajajipamba.
Sema lingineNimeishiwa nguvu πππ
nipe codeSema lingine
Nikupe ngumu au nyepesinipe code
Nyepesi itakuwa bora zaidi,kichwa kinawaza mambo mengiNikupe ngumu au nyepesi
Niikose tu.Hutaki ndoa wewe
Nyepesi sina kwa sasa nikipata ntakupaNyepesi itakuwa bora zaidi,kichwa kinawaza mambo mengi
πππNiikose tu.
Jaribu may be............. mmmmmhhhhh......inaweza ikakusaidia may be ππππππ
Hayanaga muongozo
SawaNyepesi sina kwa sasa nikipata ntakupa
Mtu kama ameamua kukaa kwenye uchumba sugu means anajua anachokitaka, muda ukifika atakipata kama ni ndoa au kuachwa⦠kwanza wanaume wengi wanakua bored na habari ya utanioa lini utanioa lini kwao inasound kama usumbufu hivi
Na ukiazna usmbufu huu mwanaume analoose interest dkk 0Sio ina sound kama usumbufu,,, huo ni U S U M B U F U
ππππHapo kwenye kulia,kwangu atalia mpaka macho yatoke
Sahihi, inatakiwa mwanaume ndio aoneshe nia ya kuoaNa ukiazna usmbufu huu mwanaume analoose interest dkk 0
Utakuwa hupati ndoa ..........ohooooooo shauri yako πππ.Kumlilia Hapana No.
Kabisa ndo mwishowe akwambie sina mahari unajikuta unasema ntakupa au ntakuazima ππSahihi, inatakiwa mwanaume ndio aoneshe nia ya kuoa