Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
Aiseeeee !!!CCM ni wendawazimu....nimekumbuka Jimbo la Ilemela Mbunge wa CHADEMA aliwahi kununua Ambulance serikali wakaikataa,...akapambana sana..Nakumbuka PM Pinda enzi hizo akaingilia kati. Ikapokelewa,...CCM hao wakafanya namna dereva wa halmashauri wakamseti gari ikapata ajali mbaya sana ikawa nyang'anyang'a....kutahamaki gari haikuwa na bima...ikatoka barabarani..Hawakuishia hapo...Mbunge aliyeinunua na kuwakabidhi halmashauri CCM wakamcharanga Mapanga hatari .Ni ngumu mno kufahamu CCM wanasimamia nini ,hasa linapofika suala la huduma kwa wananchi.
CCM haina tofauti na bokoharamCCM ni wendawazimu....nimekumbuka Jimbo la Ilemela Mbunge wa CHADEMA aliwahi kununua Ambulance serikali wakaikataa,...akapambana sana..Nakumbuka PM Pinda enzi hizo akaingilia kati. Ikapokelewa,...CCM hao wakafanya namna dereva wa halmashauri wakamseti gari ikapata ajali mbaya sana ikawa nyang'anyang'a....kutahamaki gari haikuwa na bima...ikatoka barabarani..Hawakuishia hapo...Mbunge aliyeinunua na kuwakabidhi halmashauri CCM wakamcharanga Mapanga hatari .Ni ngumu mno kufahamu CCM wanasimamia nini ,hasa linapofika suala la huduma kwa wananchi.
Lengo ni maji yatoke. OVerMradi wa Maji unaohudumia zaidi ya kaya 150, uliofadhiliwa na kusimamiwa na Chadema, na hatimaye kuzinduliwa na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, umesababisha Mtafaruku mkubwa huko Njombe.
Hii ni baada ya viongozi wa serikali kuwakalia kooni wanakijiji na kuwahoji kwanini waliwaleta Chadema kuzindua mradi huo.
Haya hapa ni Mahojiano ya viongozi hao na wanakijiji.
Kula chuma hicho:
View attachment 2631015
Umeweka angalizo muhimu sanaWananchi waweke Ulinzi wao hapo....Kwa akilli za CCM na kama wameanza hivi hicho kisima kinakwenda kuhujumiwa muda si mrefu,kimiundo mbinu au kutiliwa sumu tena Pollonium kabisa wababuke wote,kama MWAKYEMBE,enzi zile,wapate sababu ya kukifunga na kuwakamata Viongozi wa CHADEMA..CCM siasa za Ushindani hawazimudu.
Imejaa watu wajinga haswaccm walivyo na akili za ajabu huo mradi wote wataubomoa kuwaadhibu wananchi
100%Imejaa watu wajinga haswa
Katika laana kubwa ambayo watanzania tunayo ni kuichagua na kuikumbatia CCMCCM ni wendawazimu....nimekumbuka Jimbo la Ilemela Mbunge wa CHADEMA aliwahi kununua Ambulance serikali wakaikataa,...akapambana sana..Nakumbuka PM Pinda enzi hizo akaingilia kati. Ikapokelewa,...CCM hao wakafanya namna dereva wa halmashauri wakamseti gari ikapata ajali mbaya sana ikawa nyang'anyang'a....kutahamaki gari haikuwa na bima...ikatoka barabarani..Hawakuishia hapo...Mbunge aliyeinunua na kuwakabidhi halmashauri CCM wakamcharanga Mapanga hatari .Ni ngumu mno kufahamu CCM wanasimamia nini ,hasa linapofika suala la huduma kwa wananchi.
"CCM kuna MAFISI"-J.Kikwete.Duh! Ila Ccm ifike muda baadhi ya mambo waone aibu kuyafanya. Kuzindua mradi imekuwa nongwa?
Jambo jema limefanywa na mpinzani na lina tija kwa wananchi shukuru, mbona Mbowe tunamlaum kumfagilia Samia Ccm hawalalamiki?
Safari ya ustaarabu kwa Ccm bado ni ndefu sana ukiwa.
Au mtendaji kuna fungu kakosa kwenye huo mradi?
Balaa tupu100%
Viongozi wasio na akili ndio wana fikra hizi mara zote CCM inatugawa sanaMradi wa Maji unaohudumia zaidi ya kaya 150, uliofadhiliwa na kusimamiwa na Chadema, na hatimaye kuzinduliwa na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, umesababisha Mtafaruku mkubwa huko Njombe.
Hii ni baada ya viongozi wa serikali kuwakalia kooni wanakijiji na kuwahoji kwanini waliwaleta Chadema kuzindua mradi huo.
Haya hapa ni Mahojiano ya viongozi hao na wanakijiji.
Kula chuma hicho:
View attachment 2631015
Tafuta na wewe wakuzindua ndg kamanda mchomvu 😂Huu ni uzandiki na uhainiView attachment 2631263