Chausikumchana
Member
- Jul 20, 2018
- 11
- 3
Mimi naomba kujua kuhusu hili swala LA kukopesha watumishi wa umma kupitia simu zao za mkononi ,je ule utaratibu na kujaza fomu ya mkopo na kupitishwa kwa mwajili wake ili Ku approve kama anastahili kukopa au amefikia ukomo wa kukopa kwa mshahara wake umefutwa?Ndugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu nchini kote, NMB inafanyia uchunguzi maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki dhidi ya wafanyakazi waliotajwa na wengine wenye tabia kama hizo.
Ndugu wana jukwaa, NMB inajipambanua kwa kusimamia maadili moja wapo ikiwa ni uaminifu kwa wafanyakazi wake.
NMB pia inapenda kuwa hakikishia wateja na jamii kwa ujumla kwamba itaendelea kusimamia sera zote za benki ikiwa ni pamoja na kutovumilia wafanyakazi wasio waadilifu.
Kama kutatokea umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:
1. Kupitia tovuti: http://www.nmbtz.com
2. Kupitia e-mail maalumu: whistleblower@nmbtz.com
3. Kwa posta &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:
Afisa Mtendaji Mkuu (Bahasha iandikwe "Siri")
Makao Makuu ya NMB,
P. O. Box 9213,
Azikiwe/Jamhuri Street,
Dar es Salaam, Tanzania.
4. Au kwa kupiga simu zifuatazo:
0658 751 000 Tigo
0779 751 000 Zantel
0685 751 000 Airtel
0800 751 000 Vodacom
zeshchriss
Watakuja kukujibu baada ya miezi miwiliTafadhali nina hoja.
Pale unapotoa fedha kupitia ATM, unapokea Sms inayokuambia "kama huutambui muamala huu piga simu namba........."
Swali langu ni kuwa, endapo utakuwa huutambui muamala husika, ukipiga simu itasaidia nini wakati fedha ishachukuliwa kwenye account? Au mnatoa msaada gani hapo?
Tusubirie bro, naamini watajibu.Watakuja kukujibu baada ya miezi miwili
kama huutambui muamala huo watakuhoji kuhusu kadi yako kama imepotea au iko mazingira gani ,kama kuna dalili za wizi kwenye kadi yako wataifungia ili isiweze kuendelea kutumika zaidi , kisha utashauriwa utoe taarifa polisi ili Bank itoe taarifa zote kuhusu muamala huo kwa polisi kama Picha za mtu aliyetoa pesa, mahala na vitu vingine ili aweze kukamatwaTafadhali nina hoja.
Pale unapotoa fedha kupitia ATM, unapokea Sms inayokuambia "kama huutambui muamala huu piga simu namba........."
Swali langu ni kuwa, endapo utakuwa huutambui muamala husika, ukipiga simu itasaidia nini wakati fedha ishachukuliwa kwenye account? Au mnatoa msaada gani hapo?
ATM ya UDOM COED wiki nzima imeharibika lakini haitengenezwi ..kwa nini hii??Ndugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu nchini kote, NMB inafanyia uchunguzi maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki dhidi ya wafanyakazi waliotajwa na wengine wenye tabia kama hizo.
Ndugu wana jukwaa, NMB inajipambanua kwa kusimamia maadili moja wapo ikiwa ni uaminifu kwa wafanyakazi wake.
NMB pia inapenda kuwa hakikishia wateja na jamii kwa ujumla kwamba itaendelea kusimamia sera zote za benki ikiwa ni pamoja na kutovumilia wafanyakazi wasio waadilifu.
Kama kutatokea umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:
1. Kupitia tovuti: http://www.nmbtz.com
2. Kupitia e-mail maalumu: whistleblower@nmbtz.com
3. Kwa posta – Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:
Afisa Mtendaji Mkuu (Bahasha iandikwe "Siri")
Makao Makuu ya NMB,
P. O. Box 9213,
Azikiwe/Jamhuri Street,
Dar es Salaam, Tanzania.
4. Au kwa kupiga simu zifuatazo:
0658 751 000 Tigo
0779 751 000 Zantel
0685 751 000 Airtel
0800 751 000 Vodacom
FIFA fastaNgoja nikaifufue akaunti yangu ya NMB sasa hivi
Swali zuri sanaTafadhali nina hoja.
Pale unapotoa fedha kupitia ATM, unapokea Sms inayokuambia "kama huutambui muamala huu piga simu namba........."
Swali langu ni kuwa, endapo utakuwa huutambui muamala husika, ukipiga simu itasaidia nini wakati fedha ishachukuliwa kwenye account? Au mnatoa msaada gani hapo?
Kwa wakala pesa ndefu kama buku 3000 hadi 5000...Kwani unapoenda kutoa hela ATM makato yanakuwa sawa na aliyeenda kwa wakala maana sikuwahi kwenda kwawwakala[emoji847]
Mkuu utakuwa unakopesha hela za moto weweMi naomba mnisaidie kuhusu hili swala mnalokopesha watumishi wa umma kupitia simu,bila mtumishi kujaza fomu iende kwa mwajili wake kupitishwa na kuona kama 1/3 yake inamruhusu kukopa? Je ule ukomo wa kukopa mtumishi unazingatiwa? Na kama unazingatiwa ni afisa gani wa serikali anaye approve hii mikopo ya kupitia kwenye simu?
Nilijiunga Nmb mobile kwenye line ambayo kwa sasa imeshapotea nafanyaje ili niweze kubadirisha. Japo kwa sasa natumiwa notification za miamala yangu kwenye line ninayotumia.
Nimepoteza kad ya ATM Nifanye nini ili nipate mpya
Mimi nataka mkopo, Dhaman yangu ni nyumba naupataje?