NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

Mi naomba mnisaidie kuhusu hili swala mnalokopesha watumishi wa umma kupitia simu,bila mtumishi kujaza fomu iende kwa mwajili wake kupitishwa na kuona kama 1/3 yake inamruhusu kukopa?

Je ule ukomo wa kukopa mtumishi unazingatiwa? Na kama unazingatiwa ni afisa gani wa serikali anaye approve hii mikopo ya kupitia kwenye simu?
 
Mimi
Ndugu wana JamiiForums,

Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu nchini kote, NMB inafanyia uchunguzi maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki dhidi ya wafanyakazi waliotajwa na wengine wenye tabia kama hizo.

Ndugu wana jukwaa, NMB inajipambanua kwa kusimamia maadili moja wapo ikiwa ni uaminifu kwa wafanyakazi wake.
NMB pia inapenda kuwa hakikishia wateja na jamii kwa ujumla kwamba itaendelea kusimamia sera zote za benki ikiwa ni pamoja na kutovumilia wafanyakazi wasio waadilifu.


Kama kutatokea umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:

1. Kupitia tovuti: http://www.nmbtz.com
2. Kupitia e-mail maalumu: whistleblower@nmbtz.com
3. Kwa posta &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:

Afisa Mtendaji Mkuu (Bahasha iandikwe "Siri")
Makao Makuu ya NMB,
P. O. Box 9213,
Azikiwe/Jamhuri Street,
Dar es Salaam, Tanzania.

4. Au kwa kupiga simu zifuatazo:
0658 751 000 Tigo
0779 751 000 Zantel
0685 751 000 Airtel
0800 751 000 Vodacom
Mimi naomba kujua kuhusu hili swala LA kukopesha watumishi wa umma kupitia simu zao za mkononi ,je ule utaratibu na kujaza fomu ya mkopo na kupitishwa kwa mwajili wake ili Ku approve kama anastahili kukopa au amefikia ukomo wa kukopa kwa mshahara wake umefutwa?

Kama utaratibu wa 1/3 ya msharaha unatumika bado in afisa gani wa serikali anaye approve hii mikopo ya kwenye simu ?

Na mikopo hii INA masharti gani ?
 
Wakati we Saba Saba nilisikia kupitia vyombo vya habari vikieleza kulegezwa kwa mashariti ya mikopo ya bank ( NMB) Mbona mambo yako tofauti huku ,mikopo imekuwa na masharti magumu kama vile hamtaitoa kwa waliotajwa wakati wa maonyesho Je lipi ni sahihi MIKOPO KUTOLEWA KWA MASHARTI NAFUU AU KINYUME CHAKE
 
Asanteni nmb kwa huduma zenu nzuri,, NMB the best bank.
 
Tafadhali nina hoja.
Pale unapotoa fedha kupitia ATM, unapokea Sms inayokuambia "kama huutambui muamala huu piga simu namba........."
Swali langu ni kuwa, endapo utakuwa huutambui muamala husika, ukipiga simu itasaidia nini wakati fedha ishachukuliwa kwenye account? Au mnatoa msaada gani hapo?
 
Tafadhali nina hoja.
Pale unapotoa fedha kupitia ATM, unapokea Sms inayokuambia "kama huutambui muamala huu piga simu namba........."
Swali langu ni kuwa, endapo utakuwa huutambui muamala husika, ukipiga simu itasaidia nini wakati fedha ishachukuliwa kwenye account? Au mnatoa msaada gani hapo?
Watakuja kukujibu baada ya miezi miwili
 
Tafadhali nina hoja.
Pale unapotoa fedha kupitia ATM, unapokea Sms inayokuambia "kama huutambui muamala huu piga simu namba........."
Swali langu ni kuwa, endapo utakuwa huutambui muamala husika, ukipiga simu itasaidia nini wakati fedha ishachukuliwa kwenye account? Au mnatoa msaada gani hapo?
kama huutambui muamala huo watakuhoji kuhusu kadi yako kama imepotea au iko mazingira gani ,kama kuna dalili za wizi kwenye kadi yako wataifungia ili isiweze kuendelea kutumika zaidi , kisha utashauriwa utoe taarifa polisi ili Bank itoe taarifa zote kuhusu muamala huo kwa polisi kama Picha za mtu aliyetoa pesa, mahala na vitu vingine ili aweze kukamatwa

Kama Bank ndio inahusika katika uzembe na kuruhusu pesa kutolewa utalipwa na kama ni uzembe wa mteja mwenyewe anaandika maumivu tu
 
Ndugu wana JamiiForums,

Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu nchini kote, NMB inafanyia uchunguzi maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki dhidi ya wafanyakazi waliotajwa na wengine wenye tabia kama hizo.

Ndugu wana jukwaa, NMB inajipambanua kwa kusimamia maadili moja wapo ikiwa ni uaminifu kwa wafanyakazi wake.
NMB pia inapenda kuwa hakikishia wateja na jamii kwa ujumla kwamba itaendelea kusimamia sera zote za benki ikiwa ni pamoja na kutovumilia wafanyakazi wasio waadilifu.

Kama kutatokea umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:

1. Kupitia tovuti: http://www.nmbtz.com
2. Kupitia e-mail maalumu: whistleblower@nmbtz.com
3. Kwa posta – Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:

Afisa Mtendaji Mkuu (Bahasha iandikwe "Siri")
Makao Makuu ya NMB,
P. O. Box 9213,
Azikiwe/Jamhuri Street,
Dar es Salaam, Tanzania.

4. Au kwa kupiga simu zifuatazo:
0658 751 000 Tigo
0779 751 000 Zantel
0685 751 000 Airtel
0800 751 000 Vodacom
ATM ya UDOM COED wiki nzima imeharibika lakini haitengenezwi ..kwa nini hii??
 
Nilijiunga Nmb mobile kwenye line ambayo kwa sasa imeshapotea nafanyaje ili niweze kubadirisha. Japo kwa sasa natumiwa notification za miamala yangu kwenye line ninayotumia.
 
Tafadhali nina hoja.
Pale unapotoa fedha kupitia ATM, unapokea Sms inayokuambia "kama huutambui muamala huu piga simu namba........."
Swali langu ni kuwa, endapo utakuwa huutambui muamala husika, ukipiga simu itasaidia nini wakati fedha ishachukuliwa kwenye account? Au mnatoa msaada gani hapo?
Swali zuri sana
 
Kwani unapoenda kutoa hela ATM makato yanakuwa sawa na aliyeenda kwa wakala maana sikuwahi kwenda kwawwakala[emoji847]
 
Mi naomba mnisaidie kuhusu hili swala mnalokopesha watumishi wa umma kupitia simu,bila mtumishi kujaza fomu iende kwa mwajili wake kupitishwa na kuona kama 1/3 yake inamruhusu kukopa? Je ule ukomo wa kukopa mtumishi unazingatiwa? Na kama unazingatiwa ni afisa gani wa serikali anaye approve hii mikopo ya kupitia kwenye simu?
Mkuu utakuwa unakopesha hela za moto wewe
 
Nilijiunga Nmb mobile kwenye line ambayo kwa sasa imeshapotea nafanyaje ili niweze kubadirisha. Japo kwa sasa natumiwa notification za miamala yangu kwenye line ninayotumia.
Nimepoteza kad ya ATM Nifanye nini ili nipate mpya
Mimi nataka mkopo, Dhaman yangu ni nyumba naupataje?

Karibuni sana katika tawi letu la karibu yako na tutawasaidia kutatua changamoto zinazowakabili. #NMBKaribuYako
 
Back
Top Bottom