Chausikumchana
Member
- Jul 20, 2018
- 11
- 3
Mi naomba mnisaidie kuhusu hili swala mnalokopesha watumishi wa umma kupitia simu,bila mtumishi kujaza fomu iende kwa mwajili wake kupitishwa na kuona kama 1/3 yake inamruhusu kukopa?
Je ule ukomo wa kukopa mtumishi unazingatiwa? Na kama unazingatiwa ni afisa gani wa serikali anaye approve hii mikopo ya kupitia kwenye simu?
Je ule ukomo wa kukopa mtumishi unazingatiwa? Na kama unazingatiwa ni afisa gani wa serikali anaye approve hii mikopo ya kupitia kwenye simu?