No offence, ila tunaoishi na wanawake form four na la saba, tunakula maisha sana

Naunga Mkono hoja, baada ya Hilo la kielimu naongeza hili... Awe bikra...
Utakuja kunishukuru, yaani.....
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ yaan watu wa humu kila siku wanaibuka na mapya inategemea na hali ya hewa
Nimebahatika sana.
Hakuna atakuona uko kwenye misutano wala niniπŸ˜…
 
Degree na master siyo kitu mbele ya pesa. Kiburi cha mwanaume pesa. Kitu ambacho pesa haiwezi kufuta ni umalaya. Malaya hata umpe kila kitu atatembeza hilo shimo tu.

Mwanaume tafuta pesa, Oa mwanamke asiyeweza kumaliza pesa unazozitafuta, Omba usipate malaya. Problem solved.
 
Kama wewe ni degree KE nakubaliana na mtoa mada
 
Mwanamke mwanaharakati simtaki hata urafiki wa kawaida nae sitaki, ila nimeoa mwanamke mwenye degree na ana kazi.

Kikubwa anafahamu msimamo wangu, akizingua sina discussion na ametulia tuli tuna watoto kadhaa na miaka kadhaa kwenye ndoa.

Wanaume wenzangu mkipenda uzungu mwingi na demokrasia ndoa na mwanamke msomi lazima iwe ngumu.

Kuna mambo huwa nafanya discussion na mke wangu ila kuna mengine huwa nampa kama maelekezo tu wala sihitaji discussion nikisha jiridhisha kikamilifu kwamba maamuzi yangu ni sahihi na huwa anafanya maana ananiamini kwamba siwezi kumuingiza chaka
 
Halafu upate form four mwalimu wa msingi. No makuu. No umalaya. Maadili Kama yote.
Akiwa mwalimu anakosa sifa za kuwa form four, hivyo naye HAFAI kuwa mke bora kwa vigezo vya mleta uzi
 
Umeandika kwa hasira sana, mleta mada ana hoja yenye mashiko katika uhalisia wa maisha mtaani
 
Kwahio mkuu u wanna say wasomi ndo wenye ego,dharau na maneno mengi [emoji2][emoji2][emoji2] yaan mtu akiwa vidigrii tu nasi ndo sifa za ufeminist anakua nazo it can't be.

[emoji3591][emoji3591][emoji3591] Ndiyo. WASOMI WENGI ndiyo wenye dharau, ego na u feminism uchwara!

Hii theory yako ina apply to both side o to other language any kind of a woman can have those character bila kuangalia levo ya elimu yake.

[emoji3591][emoji3591][emoji3591] Hapana! Mtu wa darasa la 7 au fomu foo ufeminism ataujulia wapi? Kabisa aanze kupigania usawa wa kijinsia pasu 50/50. Sidhani! Kunaweza kuwa na vighairi (exceptions) vya hapa na pale lakini si sana

So kazi n kwako kuchagua yupi ni wise kulingana na ur criteria.

[emoji3591][emoji3591][emoji3591] Been there done that - 4 times! At 76 yrs of age, I am done. Kazi ni kwa hawa madogo wa kizazi chenu hiki chenye changamoto lukuki. Mungu na Awasaidie [emoji1545]
 
Kuwasha moto kwa wanaume kumepungua sana siku hizi kwa sababu dini zimetupumbaza sana hasa dini yangu ya ukristo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…