Jamaa alkua katili Sana[emoji20]udom ina uwezo wa kubeba wanafunzi 40000+ na udsm 24000+ na bado tcu wanadahili wanafunzi 30000+ sasa hiv vi chuo vingine si bora vifutwe naomba wazir na tcu waliangalie hili sijuh mnaviita st nin.... na venyew vinataka wanafunzi wapate hela
Saizi ndo tutawafuna kwa chipsi tu ."Bora ulale na mamajaneth kuliko kulala na mwanafunzi"
Marehemu alkua na mdomo mchafu sanaKikwete una moyo wa huruma kweli, nungekuwa mimi wote walioimba Wana imani na mtu fulani ningewapotezA kama nusu hivi
Inategemeana sheria zinaweza kukazwa vilevile japo upigaji ndio ngumu kuzuiaSaizi ndo tutawafuna kwa chipsi tu .
'ukiharibu na wewe unaharibikia hapohapo'...Uzi huu naomba uwe maarumu kwa kuweka kumbukumbu ya Maneno mazuri ya Aliyewahi kuwa Raisi wa Tanzania 2016-2021.
Nukuu ziwe za staha, hii itakua njia nzuri ya kumuenzi Mwendazake
'ukiharibu na wewe unaharibikia hapohapo'...Uzi huu naomba uwe maarumu kwa kuweka kumbukumbu ya Maneno mazuri ya Aliyewahi kuwa Raisi wa Tanzania 2016-2021.
Nukuu ziwe za staha, hii itakua njia nzuri ya kumuenzi Mwendazake
'ukiharibu na wewe unaharibikia hapohapo'...Uzi huu naomba uwe maarumu kwa kuweka kumbukumbu ya Maneno mazuri ya Aliyewahi kuwa Raisi wa Tanzania 2016-2021.
Nukuu ziwe za staha, hii itakua njia nzuri ya kumuenzi Mwendazake
Tetemeko halikuletwa na serikaliUzi huu naomba uwe maarumu kwa kuweka kumbukumbu ya Maneno mazuri ya Aliyewahi kuwa Raisi wa Tanzania 2016-2021.
Nukuu ziwe za staha, hii itakua njia nzuri ya kumuenzi Mwendazake