Alikudanganya niniAlikuwa muongo sana
Iandike kauli unayoikumbuka kutoka kwa hayati JPMView attachment 2055588
Aliingia madarakani sukari ikiwa bei ya juu ila yeye akaipunguza.Alikudanganya nini
Wivu wa kihuni huu, kwani nilazima kila post ikupendeze!!!.Mmeishiwa vya kupost???