The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,541
Umenena kweli na kwa uchungu mkubwa lakini nenda taratibu mzee,usijenaswa kwa ku post maudhui yenye maudhi kwa mfalme.Hivi humu hamna wazee wa miwani myeusi(nyoka) wasije wakakutia nguvuni kisha zako korodani(kokwa) wakazibondabonda kwa mawe.sio watu wazuri wale.
Yupo MAHARI SARAMAKuna mtu alikuwa anachukua mil 7 kila dakika.
Hamkosekani,kwani hayo maneno alilishwa au aliyasema mwenyeweUchochezi huo ndg. ww hauna quote zenye mambo nzuri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na kwa vile ninyi mmesema sina budi kutumbua
Nilishasanda kitambo........nyie endeleeni kunichokoza muone.In order what??????!!!!!!!!.Ujajua kinachotakiwa kuzimwa?.Na kinachotakiwa kuwashwa.!?.Ntumie sanduku la posta.Nkutumie kwabarua.
Na bado hela zitapotea hata kanisani
Hehehehe........mpokeaji yupo busy kukusikiliza kumbe huna cha kusema.Mie nilibipu tu,sim ikapokelewa
"Na kwa bahati mbaya au nzuri mm ndie rais"