Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali fikirishi, kelele nyingi na ukitoa V8 unabaki na...........?
Kaeni na mavi yenu ndani ya nyumba zenu.Iandike kauli unayoikumbuka kutoka kwa hayati JPMView attachment 2055588
Sisi Ni dona kantrii, wi ala oni ze laiti tlaka,,,,,Iandike kauli unayoikumbuka kutoka kwa hayati JPMView attachment 2055588
Asiyefanya kazi na asileIandike kauli unayoikumbuka kutoka kwa hayati JPMView attachment 2055588
Iandike kauli unayoikumbuka kutoka kwa hayati JPMView attachment 2055588
Kafa miezi kama tisa iliyopita sukari sasa unanunua buku kwa kg moja?, Shangazi yako kapewa nchi unga wa ngano kg 1200 leo tunanunua 2000 bado kidogo tuu i double au ndo kunya anye bata.ivi ulishawai kuwa na jamaa upande wa kenye ukawaulizia wao sukari wananunua shilingi ngapi kwa kg maana hao ndo majirani zetu wakaribu ata lugha ni moja tunaelewana.Aliingia madarakani sukari ikiwa bei ya juu ila yeye akaipunguza.
Report hii ingekuja kabla ya 17 march 2021 ingekuwa sawa hii ni november mama kaenda kupitisha bakuri lake mataifa ya nje anakuja mjinga mmoja kama wewe na kupost upuuzi kama huu ili tuu ubalance kile unachopenda kusikia shame on you.
Unatafuta pa kutokea? Baki na bichwa lako la ujingaReport hii ingekuja kabla ya 17 march 2021 ingekuwa sawa hii ni november mama kaenda kupitisha bakuri lake mataifa ya nje anakuja mjinga mmoja kama wewe na kupost upuuzi kama huu ili tuu ubalance kile unachopenda kusikia shame on you.
1. Pigeni mbizi - ufunguzi wa daraja la kigamboni.Iandike kauli unayoikumbuka kutoka kwa hayati JPMView attachment 2055588
Mkuu @legalgentlemen pekua utakutana na uzi kama huu!!Iandike kauli unayoikumbuka kutoka kwa hayati JPMView attachment 2055588