Nukuu toka kwa Rais Magufuli (QUOTES)
Alikudanganya nini
Tunajenga kwa pesa zetu kumbe

Screenshot_20211113-134557.png


Screenshot_20211224-064824.png
 
Barakoa ni sawa na titi moja la mwanamke.

Siku moja ina saa 48 sasa utavaa barakoa 4 ndugu zangu?

Mkuu wa wilaya naomba nikueleze "ukweri" hakuna "chakura " cha serikali ? Serikali haina shamba

Mama unataka "kupanuriwa " wapi mbere au nyuma?

Huo ndio ukweri wenyewe ,nasema uongo ndugu zangu? (Akiwa anapiga fix alipenda kuutumia kujilinda)

Tetemeko limeiumiza " serikari" na wananchi na kwa hivyo kira mmoja abebe "msaraba:" wake

"Mriponichagua " niliwaahidi "nitareta" tetemeko?

Mwafwaa!
 
Aliingia madarakani sukari ikiwa bei ya juu ila yeye akaipunguza.
Kafa miezi kama tisa iliyopita sukari sasa unanunua buku kwa kg moja?, Shangazi yako kapewa nchi unga wa ngano kg 1200 leo tunanunua 2000 bado kidogo tuu i double au ndo kunya anye bata.ivi ulishawai kuwa na jamaa upande wa kenye ukawaulizia wao sukari wananunua shilingi ngapi kwa kg maana hao ndo majirani zetu wakaribu ata lugha ni moja tunaelewana.
 
Kampeni za Uchaguzi wa 2010

Mwananchi: mweshimiwa mbona kila tunapo kuchagua wewe unapendelea sana chato mjini kuliko vijiji vingne?

Mgombea ubunge: jaman kwani ukiwa unafagia ndani unatoa uchafu sebreni kwenda chumban au unatoa chumban kwenda sebreni kisha ndio uutoe nje?


"Hii nchi ni tajiri sana".
 
Report hii ingekuja kabla ya 17 march 2021 ingekuwa sawa hii ni november mama kaenda kupitisha bakuri lake mataifa ya nje anakuja mjinga mmoja kama wewe na kupost upuuzi kama huu ili tuu ubalance kile unachopenda kusikia shame on you.
Unatafuta pa kutokea? Baki na bichwa lako la ujinga
 
Iandike kauli unayoikumbuka kutoka kwa hayati JPMView attachment 2055588
1. Pigeni mbizi - ufunguzi wa daraja la kigamboni.

2. Mie sijaleta tetemeko - Bukoba

3. Sikujua urais ni kazi ngumu namna hii

5. Wastaafu waache kiherehere

6. Kama hutaki kulipia huduma ya choo baki na mavi yako ukanye nyumbani kwako.

7. Endelea.......
 
Back
Top Bottom