peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Rais wa Tucta ama shirikisho la vyama vya wafanyakazi amesema wamepokea malalamiko mengi kutoka kwa watumishi wa serikali kuhusu nyongeza za mishahara ya 23% waliokua wanaitegemea kama alivyoahidi rais kwenda kinyume na matarajio yao.
Rais wa TUCTA amesema wamepokea malalamiko na watatolea ufafanuzi hivi karibuni.
Stupid
34,000/=Sie wengine hatujui hesabu kwa wanao jua toeni maelekezo, 150,000 kwa 23% ongezeko lake linakuwa kiasi gani?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ccm ndiyo inafanya zarau hivi kwa watumishi pamoja na kuvumilia miaka 6?
Sielewi mjue yaani adi Azana ilipigwa akanyamaza kiimani alafu amesema uwongo mbona simuelewi
Tulia wewe cheti FEKI, bi mkubwa akila spana uko jet kweli kuja ku defend 😂😂😂 Chawansic investigatorUsidhani umejifocha humu kwa kutoa kashfa kwa Mamlaka,sheria ya makosa ya mitandaoni haijafutwa..
Kwa hiyo wewe kibwengo ndio unajua saana Mwigulu kuliko Rais si ndio?
Acha kuropoka mambo usiyoyajua utakuja kula hasara ya mazima.
Niko mtaaani ndugu yangu
Ana upiga mwingi [emoji23]Rais wa hovyo kuwahi kuongoza Tz....,anadepend kwa Mwigulu ambaye ni competitor wake.....,Mwigulu ni spareware.
MmhUsidhani umejifocha humu kwa kutoa kashfa kwa Mamlaka,sheria ya makosa ya mitandaoni haijafutwa..
Kwa hiyo wewe kibwengo ndio unajua saana Mwigulu kuliko Rais si ndio?
Acha kuropoka mambo usiyoyajua utakuja kula hasara ya mazima.
150,000 X 23.3 ni 3495000 kisha gawa kwa %100Sie wengine hatujui hesabu kwa wanao jua toeni maelekezo, 150,000 kwa 23% ongezeko lake linakuwa kiasi gani?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ipo mlemle.
Hakika leo nimemkumbuka JPM, bora kuambiwa ukweli kuliko hadaa. Kila kitu kimepanda bei kwa kauli za hadaa ... haya ngoja tuendelee kulamba asaliHeri JPM hakuwa mwongo. Alisema wazi kwamba kwa wakati ule hataongeza mishahara ila kuna siku ataongeza pesa nyingi zaidi.
Huu ndio ukweli mchungu, maana hata hii iliyopo mtu anaikanyaga na vyombo vya kuilinda vinafumba macho.Kama now hawawez kusimamiwa then hata katiba mpya ikija still hawatosimamiwa
Katiba ni Jambo moja but wazimamizi wa hiyo katiba ni Jambo lingine
Sisi hatuna shida na katiba, Sisi tunashida na wasimamizi wa katiba ambao bado wataendelea kuwepo hata tukileta katiba mpya kila wiki