FUTURE PLAN
Senior Member
- Jun 11, 2023
- 186
- 212
Haichukui nafasi ya daktari...Afande,vipi?! Na yy mwenendo wake wa kesi vipi?
They deserve it !My Take
Kwa Hukumu hii Haki imetendeka.
Aliyewatuma yeye mbona kuko kimya?
View: https://www.instagram.com/p/DAi6npvoyZm/?igsh=MW1td3UxN2d2cDl5ZA==
Na ndio kitakachokuja kutokeaInawezekana eti...na ukiwaza sana kwa jinsi mihemho ya jamii..hata kama kulikuwa na namna ya kuchomoka jamii isingewapokea..wakikaa miaka 3 na wanaweza shinda rufaa na jamii ikawa imesahau sahau
Nchi yako haifuati Sheria zozote Bali utashi na Maamuzi ya mtu binafsi ili kufurahisha anaowatarget..Hakuna msamaha kwenye hayo makosa
Ushahidi wa nini hukuona ile clip binti kaomba maji ya kunywa wakamnyima,akanuomba msamaha afabde hakusikilizwa,unataka ushahidi gani tenaUnaushahidi? Mahakama haikurupuki mkuu
Na wao wakagongewe yai hukoifike wakati kupunguza msongamano wawe wananyongwa. magereza zinazidiwa wingi wa watu.
Wakate harafu tumuone huyo jaji ambae atatengua hiyo HukumuWatakata rufaa tu mbona
Raisi hajazungumzuia lolote kuhusu hii kesi .HOngera zake rais,haki imetendeka
Unatoga kwa shilingi ngapi?Milioni 1 kila mmoja ni milioni 4 tu. Mie sitoagi mzigo kwa bei hiyo. CHINI SANA
Unamaanisha nini,kwahiyo aliyrbakwa ndio anastahili kusikitika?Hili sio jambo lakufurahia na kushangilia, Jamaa wamekosea kwakweli walifanya kitendo kibaya ila hiyo haiwaondoi kwenye kundi la binadamu, tumepoteza vijana watano kwa mpigo ni jambo la kusikitika na kutafakali hususani sie Vijana bado tunasafari ndefu na mapitio mengi ila inashangaza watu kufurahia wenzao kuharibikiwa, Sio poa wamekosea kweli na wamehukumiwa kwa haki ila sawa ila hili sio jambo la kufurahia
Duh,kwahiyo hapo tobo ni editing,lkn si kuna wataalamu wa hayo mambo,naamini watakuwa wamejiridhisha mpk kufikia hiyo hukumukwani wewe ejuaje ni wao kwenye video? Hujawahi kuona video za kuedit? Na hapo ndipo gap lilipo kwenye hii kesi. Kwa aina ya makosa kuna kosa limekosekana ambalo lilitakiwa liwepo ila sasa lazima kifaa kilichorekodi na kutuma lazima nacho kiwepo. Huo ndio mtihani uliokuwepo na hautaishi miaka mingi sana wataenda kutokea Mahakama ya Juu ya Rufaa
Namaanisha Wamekosea ila sio sababu ya wewe kufurahia matatizo mazito kiwango hiki kwa binadamu mwenzio labda kama una urakini kwenye nafsi yakoUnamaanisha nini,kwahiyo aliyrbakwa ndio anastahili kusikitika?
Upo serious au umeshtuka usingizini kisha ukagusa keybord
Nikweli,mbona mahakama ikienda ndivyo sivyo mnamlaumu Rais? Rais anakuwaga state attorney auRaisi hajazungumzuia lolote kuhusu hii kesi .
Hapa kuna mambo mawili , kukata rufaa na rufaa kusua sua , kutoka kwa msamaha wa raisMahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma, imewahukumu kifungo cha maisha gerezani washtakiwa wanne maarufu ‘waliotumwa na afande’, baada ya kuwatia hatiani kwa kosa la kubaka kwa kundi na kumwingilia kinyume cha maumbile binti, mkazi wa Yombo Dovya, jijini Dar es Salaam.
Ni katika kesi ya jinai namba 23476 ya mwaka 2024 iliyokuwa inawakabili washtakiwa hao akiwamo MT 140105 Clinton Damas, maarufu Nyundo ambaye ni askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), askari Magereza C.1693 Praygod Mushi, Nickson Jackson ‘Machuche’ na Amin Lema anayejulikana pia kwa jina la Kindamba.
Hukumu hiyo imetolewa leo Jumatatu, Septemba 30, 2024. Pia, Mahakama hiyo imewataka kila mmoja kumlipa binti huyo fidia ya Sh1 milioni.
Pia soma