Nyundo na wenzake wakutwa na hatia, wahukumiwa kifungo cha Maisha Jela
Hili sio jambo lakufurahia na kushangilia, Jamaa wamekosea kwakweli walifanya kitendo kibaya ila hiyo haiwaondoi kwenye kundi la binadamu, tumepoteza vijana watano kwa mpigo ni jambo la kusikitika na kutafakali hususani sie Vijana bado tunasafari ndefu na mapitio mengi ila inashangaza watu kufurahia wenzao kuharibikiwa, Sio poa wamekosea kweli na wamehukumiwa kwa haki ila sawa ila hili sio jambo la kufurahia
 
Hili sio jambo lakufurahia na kushangilia, Jamaa wamekosea kwakweli walifanya kitendo kibaya ila hiyo haiwaondoi kwenye kundi la binadamu, tumepoteza vijana watano kwa mpigo ni jambo la kusikitika na kutafakali hususani sie Vijana bado tunasafari ndefu na mapitio mengi ila inashangaza watu kufurahia wenzao kuharibikiwa, Sio poa wamekosea kweli na wamehukumiwa kwa haki ila sawa ila hili sio jambo la kufurahia
Unamaanisha nini,kwahiyo aliyrbakwa ndio anastahili kusikitika?

Upo serious au umeshtuka usingizini kisha ukagusa keybord
 
kwani wewe ejuaje ni wao kwenye video? Hujawahi kuona video za kuedit? Na hapo ndipo gap lilipo kwenye hii kesi. Kwa aina ya makosa kuna kosa limekosekana ambalo lilitakiwa liwepo ila sasa lazima kifaa kilichorekodi na kutuma lazima nacho kiwepo. Huo ndio mtihani uliokuwepo na hautaishi miaka mingi sana wataenda kutokea Mahakama ya Juu ya Rufaa
Duh,kwahiyo hapo tobo ni editing,lkn si kuna wataalamu wa hayo mambo,naamini watakuwa wamejiridhisha mpk kufikia hiyo hukumu
 
Unamaanisha nini,kwahiyo aliyrbakwa ndio anastahili kusikitika?

Upo serious au umeshtuka usingizini kisha ukagusa keybord
Namaanisha Wamekosea ila sio sababu ya wewe kufurahia matatizo mazito kiwango hiki kwa binadamu mwenzio labda kama una urakini kwenye nafsi yako
 
Wanastahili hiyo adhabu ningekuwa hakimu ningewaongezea na viboko mia kila mmoja

Unaenda jela maisha kisa K!!
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma, imewahukumu kifungo cha maisha gerezani washtakiwa wanne maarufu ‘waliotumwa na afande’, baada ya kuwatia hatiani kwa kosa la kubaka kwa kundi na kumwingilia kinyume cha maumbile binti, mkazi wa Yombo Dovya, jijini Dar es Salaam.

Ni katika kesi ya jinai namba 23476 ya mwaka 2024 iliyokuwa inawakabili washtakiwa hao akiwamo MT 140105 Clinton Damas, maarufu Nyundo ambaye ni askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), askari Magereza C.1693 Praygod Mushi, Nickson Jackson ‘Machuche’ na Amin Lema anayejulikana pia kwa jina la Kindamba.

Hukumu hiyo imetolewa leo Jumatatu, Septemba 30, 2024. Pia, Mahakama hiyo imewataka kila mmoja kumlipa binti huyo fidia ya Sh1 milioni.

Pia soma
Hapa kuna mambo mawili , kukata rufaa na rufaa kusua sua , kutoka kwa msamaha wa rais
 
Back
Top Bottom