Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wanaweza kumtwanga tenaDaa hizi sheria za msajili wa vyama vya siasa... mbona Mrema na TLP yake wanamwuunga mkono Magufuli wala hatukusikia lolote?......Msajili amechomoko kutoka aliko baada tu ya kusikia Maalim Seif anamwuunga mkono Tundu Lissu.....Huyu Lissu hamtaweza kumzuia kuingia Ikulu kama mlivyoshindwa kumzuia asiishi kwa risasi 16