Uchaguzi 2020 Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa: Vyama vya Siasa vinavyotaka kushirikiana Uchaguzi Mkuu vimeshachelewa kwa mujibu wa Sheria

Uchaguzi 2020 Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa: Vyama vya Siasa vinavyotaka kushirikiana Uchaguzi Mkuu vimeshachelewa kwa mujibu wa Sheria

Sheria inazungumzia COALITION sio COOPERATION.

42DD888A-C301-4930-888B-3FB7C9E44EBB.jpeg
 
Anajisumbua tu

Hawezi kulazimisha kila mwanachama binafsi au chama chenyewe kumnadi mgombea wake.

Chama kikiamua kinaweza kumnadi mgombea wa chama kingine n. k

Kiufupi Sheria haikatazi chama fulani kumuunga mkono mgombea wa chama kingine bila kuwepo coalition rasmi
 
Mchungaji mzinifu anamwelekeza muumini wake kuwa kuzini ni dhambi,msamamizi namba moja wa sheria mama za nchi ni Rais wa TZ yeye azifuati sasa hao wafuate ili iweje??.
 
CCM matumbo joto... TL kamwaga pombe; walevi wote wa madaraka tutwatambua mmoja baada ya mwingine...
 
Hawa watu waliopewa madaraka kushika nafasi mbalimbali awamu hii ni aibu kwa taifa letu.
CCM Kila mahali wanahakikisha kuna hurdles ili kufanya maisha ya Wapinzani magumu. Wanabana Kila mahali... Tume pekee haitoshi Sasa wako na msajili pia. Haki bado Sana Tanzania .... Ndiyo maana Lissu anahubiri haki.
 
Issue ni kwamba hii nchi haijawahi kuingia kwenye civil chaos ndio maana watu hawajui ni namna gani ilivyo rahisi kuchafua hali ya hewa.

Wahusika wenye mamlaka wasije wakalipua baruti maana vumbi likitimka kila mtu atapiga chafya.

Kumkataza mtu wa chama A asimuunge mkono mtu wa chama B nako ni kubinya uhura na haki za kisiasa.
 
Kinachofanyika ni Membe “kujitoa” kwenye kinyang’anyiro na kuwaambia wafuasi wake wachache wampigie kura Lissu hata kama jina lake bado NEC wataliweka kwenye barrot paper.

Kwa hili NEC haina mamlaka ya kuingilia
 
Ofisi inayosimamia usajili wa vyama nchini Tanzania imesisitiza kuwa vyama vya kisiasa vinapaswa kuheshimu sheria vinapoingia katika ushirikiano wa aina yoyote ama miungano kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu nchini humo.

Ofisi hiyo imesema kwamba vyama hivyo vinapaswa kuwasilisha ushirikiano au Muungano huo kwa Msajili wa Vyama miezi mitatu kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi.

1600839093232.png
 
Daa hizi sheria za msajili wa vyama vya siasa... mbona Mrema na TLP yake wanamwuunga mkono Magufuli wala hatukusikia lolote?......Msajili amechomoko kutoka aliko baada tu ya kusikia Maalim Seif anamwuunga mkono Tundu Lissu.....Huyu Lissu hamtaweza kumzuia kuingia Ikulu kama mlivyoshindwa kumzuia asiishi kwa risasi 16
 
Back
Top Bottom