Ogopa sana mtu wa namna hii, tena kimbia!

Haha mwambie ukweli bhana, bukheri wa afya wakati psychologically you're being tortured my dear?
Come over here to kill that stress together with me, in your ups and downs I'll always be with you.
Mi siumwi jaman...Hilo Kilikuwa pito tu

Unataka nije msibani tuache kuhuzunika hapo tuanze kulana mateπŸ™„
 
Mi siumwi jaman...Hilo Kilikuwa pito tu

Unataka nije msibani tuache kuhuzunika hapo tuanze kulana mateπŸ™„
Haha leo huzuni yetu ni ya aina moja tu, nadhani unaijua. Mate ina siku yake....
 
Kuna Mwamba kashatuwakilisha vyema huku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…