Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Sabaya alitenda maovu mengi sn inatakiwa apewe mvua za kutoshaHii ndio taarifa ya leo iliyoripotiwa na gazeti la Raia Mwema , ni kwamba DPP ameamua kukata rufaa kwa ile kesi ya kwanza iliyowashangaza wengi ambayo pamoja na Sabaya kufungwa miaka 30 Jela , lakini aliachiwa huru katika mazingira ya kutatanisha , baada ya kukata rufaa na kushinda .
Tuendelee kutega sikio kwa yatakayojili ili kujionea Haki ikitendeka .
KILA UBAYA UTALIPWA
SureFunga huyo kibaka asitupotezee muda.
Wakati anakata watu masikio mbona hiyo huruma yeye hakuwa nayo? acha afungweMbinu ile wameicheza vibaya na kijinga. Badala ya kuleta huruma kwa Sabaya imeongeza chuki kwa Raia dhidi ya serikali.
Atatoka, but sio leo au kesho maana atasota sana sio chini ya miaka 5 ya nenda rudi mahakamani akitokea jela.
Mama Sabaya mbona una hasira sn best|?DPP ni mpuuzi; acha aendelee kupoteza muda wake. Prosecution case ikikosewa kwenye trial phase ni hasara ya kudumu. Huwezi kushinda kwa kukataa rufaa!
Ulitaka atumie baiskeli?Hivi weye shoga-mwandamizi kwa nini huwa unatumia kiuno kufikiri mambo?Unakata rufaa kwenye hamna ili iweje? Jambazi gani anatumia Vx la serikali kuvamia mchana?
View attachment 2267218
Huwa ana tatizo la kuwashwa maeneo ya "kiunoni".Msamehe!ππππMatusi yann mkuu
Kamanda asiyechoka, umechoka hivyo?!Unakata rufaa kwenye hamna ili iweje? Jambazi gani anatumia Vx la serikali kuvamia mchana?
View attachment 2267218
Weye ni kada sugu wa CCM!Hata wanja unaopaka machoni ni wa rangi ya kijani.Unabisha niweke picha yako unavyorembua?Teh!Kada wa Ccm baba yako
Weye ni kada sugu wa CCM!Hata wanja unaopaka machoni ni wa rangi ya kijani.Unabisha niweke picha yako unavyorembua?YehKada wa Ccm baba yako
ndivyo alivyo mara zote.Full mdebwedo!Kamanda asiyechoka, umechoka hivyo?!
Ohooooo !!!"Gerezani sio picnic ni mateso' mbw... na shetwani mkubwa huyu! wakati ukiwatesa watu kwa uporaji na kuwakata maskio na kubaka wake za watu hadharani hukujua ni mateso kwao?
Huyu alitakiwa aachiwe huru awe mtaani tumkate vipandevipande!
Kesi iliyotolewa huku kama hukubaliani na hukumu unakataa Rufaa kama kufungua ufungue kesi nyingine ambayo inatofautiana na ile ya awali aliyoshinda mshtakiwa.Hivi hii mambo inaruhusiwa? DPP kukata rufaa? Sio kuwa anafungua kesi nyingine?
Huyu hapaWeye ni kada sugu wa CCM!Hata wanja unaopaka machoni ni wa rangi ya kijani.Unabisha niweke picha yako unavyorembua?Teh!
Halafu anajiita kamanda asiyejichosha!Jamaa ni mdebwedo sana.ππππHuyu hapa
Jenerali Sabaya analia Jela sio Picknic ni mateso,hakika maisha ni safari ndefu na kuna kupanda na kushuka, Jenerali leo anabadili Jela tu mara Kisongo mara Karanga na kuamrishwa kulala saa 9 alasiri,daaaah[emoji1787][emoji1787]Ndio hasara ya kumteuwaa DDP mnywa mbege
Malipo ni hapahapa.Unakata rufaa kwenye hamna ili iweje? Jambazi gani anatumia Vx la serikali kuvamia mchana?
View attachment 2267218
Malipo ni hapahapa.Unakata rufaa kwenye hamna ili iweje? Jambazi gani anatumia Vx la serikali kuvamia mchana?
View attachment 2267218
Malipo ni hapahapa.Unakata rufaa kwenye hamna ili iweje? Jambazi gani anatumia Vx la serikali kuvamia mchana?
View attachment 2267218